Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi Chadema, Sasa wavamia Uchaguzi!

Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi Chadema, Sasa wavamia Uchaguzi!

Baadhi ya Wanachadema hawafahamu kuwa, Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi ndani ya @ChademaTz chini ya Kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania ambacho ndani yake kuna Wanaharakati wa ndani wakiongozwa na Dr Slaa mwanaccm ambae ndie alikuwa akiongoza mikutano ya hadhara, Mwabukusi ambae ni Mwanachama wa NCCR Mageuzi, mitandaoni yuko Maria Sarungi mwanachama hai wa CCM na baadhi ya Watz waishio nje (Diaspora) jaribio hilo lililotokea kipindi cha kupinga DP World, Bahati nzuri tulilizima jaribio hilo kwa nguvu kubwa na kuwazuia wasitumie jukwaa la Chadema kufanya mikutano yao.

Sasa wamekuja kwa mlango wa nyuma wamevamia Uchaguzi wa Chadema, wakijiegemeza kwa Tundu Lissu na kufanikiwa kumjaza maneno na fitina kubwa nae akajaa kwenye 18 zao, nyuma yao kuna CCM chini ya Msigwa, na Systeam inayosukuma kete kwa mbali sana na kwa uangalifu mkubwa sana hadi uwe na jicho la tatu ndio utabaini hilo, pia na baadhi ya Wanachadema walioshindwa katika chaguzi za ndani ya chama kuanzia kanda, mikoa na Wilaya ambao kimsingi sio Wapiga Kura bali wapiga kelele. Lengo wakipore chama kwa wanadema na kukidhibiti mikononi mwa ccm na mfumo. Wanachadema msiruhusu chama chenu kiporwe kwa Twita/X na Wasap kisha kukiua chama hiki kwa faida ya ccm.

Tutawashinda, zimefanyika juhudi kadhaa za kumweleza ukweli Lissu kwamba kundi ulilonalo ni kundi linalokwenda kukuua kisiasa na kukupoteza kabisa, lakini ameshupaza shingo tukaamua ikiwa busara imefeli sasa ngoja demokrasia ikaamue, Lissu ataanguka vibaya katika uchaguzi huu yaani akipata kura 100 anatakiwa akafanye sherehe kubwa sana kwao Ikungi. Don't test your master!

Na tutavuka chama kikiwa salama mikononi mwa wanachadema wenyewe! Lakini naomba niweke wazi jambo muhimu ambalo kila mwanachadema anatakiwa kufahamu ni kuwa baada ya uchaguzi huu, Chadema itabadilika na Siasa za nchi hii zitabadilika kwa 100%. Tuwe tayari kwa mabadiliko hayo. Hata ccm wanaoinjinia uchaguzi huu wafahamu kwamba wanaitengeneza Chadema mpya ambayo watakabiliana nayo ikiwa na nguvu ambayo hawatakuja kuiamini maishani mwao! Mfano tu (si rasmi) nani ataamini 2025 akija kuona Jaji Joseph Warioba ndie Mgombea wa Chadema, nasema ni mfano tu usikomaze fuvu. Zingatieni mnacheza na mabingwa wa karata za siasa Afrika, huu ndio utofauti wa harakati na siasa duniani.

Na Yericko Nyerere
Kweli ww ni genge, hivi mbowe na lissu nani anashirikiana ccm? Pumbaf zako
 
Baadhi ya Wanachadema hawafahamu kuwa, Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi ndani ya @ChademaTz chini ya Kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania ambacho ndani yake kuna Wanaharakati wa ndani wakiongozwa na Dr Slaa mwanaccm ambae ndie alikuwa akiongoza mikutano ya hadhara, Mwabukusi ambae ni Mwanachama wa NCCR Mageuzi, mitandaoni yuko Maria Sarungi mwanachama hai wa CCM na baadhi ya Watz waishio nje (Diaspora) jaribio hilo lililotokea kipindi cha kupinga DP World, Bahati nzuri tulilizima jaribio hilo kwa nguvu kubwa na kuwazuia wasitumie jukwaa la Chadema kufanya mikutano yao.

Sasa wamekuja kwa mlango wa nyuma wamevamia Uchaguzi wa Chadema, wakijiegemeza kwa Tundu Lissu na kufanikiwa kumjaza maneno na fitina kubwa nae akajaa kwenye 18 zao, nyuma yao kuna CCM chini ya Msigwa, na Systeam inayosukuma kete kwa mbali sana na kwa uangalifu mkubwa sana hadi uwe na jicho la tatu ndio utabaini hilo, pia na baadhi ya Wanachadema walioshindwa katika chaguzi za ndani ya chama kuanzia kanda, mikoa na Wilaya ambao kimsingi sio Wapiga Kura bali wapiga kelele. Lengo wakipore chama kwa wanadema na kukidhibiti mikononi mwa ccm na mfumo. Wanachadema msiruhusu chama chenu kiporwe kwa Twita/X na Wasap kisha kukiua chama hiki kwa faida ya ccm.

Tutawashinda, zimefanyika juhudi kadhaa za kumweleza ukweli Lissu kwamba kundi ulilonalo ni kundi linalokwenda kukuua kisiasa na kukupoteza kabisa, lakini ameshupaza shingo tukaamua ikiwa busara imefeli sasa ngoja demokrasia ikaamue, Lissu ataanguka vibaya katika uchaguzi huu yaani akipata kura 100 anatakiwa akafanye sherehe kubwa sana kwao Ikungi. Don't test your master!

Na tutavuka chama kikiwa salama mikononi mwa wanachadema wenyewe! Lakini naomba niweke wazi jambo muhimu ambalo kila mwanachadema anatakiwa kufahamu ni kuwa baada ya uchaguzi huu, Chadema itabadilika na Siasa za nchi hii zitabadilika kwa 100%. Tuwe tayari kwa mabadiliko hayo. Hata ccm wanaoinjinia uchaguzi huu wafahamu kwamba wanaitengeneza Chadema mpya ambayo watakabiliana nayo ikiwa na nguvu ambayo hawatakuja kuiamini maishani mwao! Mfano tu (si rasmi) nani ataamini 2025 akija kuona Jaji Joseph Warioba ndie Mgombea wa Chadema, nasema ni mfano tu usikomaze fuvu. Zingatieni mnacheza na mabingwa wa karata za siasa Afrika, huu ndio utofauti wa harakati na siasa duniani.

Na Yericko Nyerere
Siledi lote hili ni sababu ya kuogopa uchaguzi tu!?
Huu muda unaoutumia kujificha uvunguni mwa meza na vitanda ukiandika haya si ungeutumia kumnadi mgombea wako? Maana ameshachukua form.
 
Baadhi ya Wanachadema hawafahamu kuwa, Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi ndani ya @ChademaTz chini ya Kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania ambacho ndani yake kuna Wanaharakati wa ndani wakiongozwa na Dr Slaa mwanaccm ambae ndie alikuwa akiongoza mikutano ya hadhara, Mwabukusi ambae ni Mwanachama wa NCCR Mageuzi, mitandaoni yuko Maria Sarungi mwanachama hai wa CCM na baadhi ya Watz waishio nje (Diaspora) jaribio hilo lililotokea kipindi cha kupinga DP World, Bahati nzuri tulilizima jaribio hilo kwa nguvu kubwa na kuwazuia wasitumie jukwaa la Chadema kufanya mikutano yao.

Sasa wamekuja kwa mlango wa nyuma wamevamia Uchaguzi wa Chadema, wakijiegemeza kwa Tundu Lissu na kufanikiwa kumjaza maneno na fitina kubwa nae akajaa kwenye 18 zao, nyuma yao kuna CCM chini ya Msigwa, na Systeam inayosukuma kete kwa mbali sana na kwa uangalifu mkubwa sana hadi uwe na jicho la tatu ndio utabaini hilo, pia na baadhi ya Wanachadema walioshindwa katika chaguzi za ndani ya chama kuanzia kanda, mikoa na Wilaya ambao kimsingi sio Wapiga Kura bali wapiga kelele. Lengo wakipore chama kwa wanadema na kukidhibiti mikononi mwa ccm na mfumo. Wanachadema msiruhusu chama chenu kiporwe kwa Twita/X na Wasap kisha kukiua chama hiki kwa faida ya ccm.

Tutawashinda, zimefanyika juhudi kadhaa za kumweleza ukweli Lissu kwamba kundi ulilonalo ni kundi linalokwenda kukuua kisiasa na kukupoteza kabisa, lakini ameshupaza shingo tukaamua ikiwa busara imefeli sasa ngoja demokrasia ikaamue, Lissu ataanguka vibaya katika uchaguzi huu yaani akipata kura 100 anatakiwa akafanye sherehe kubwa sana kwao Ikungi. Don't test your master!

Na tutavuka chama kikiwa salama mikononi mwa wanachadema wenyewe! Lakini naomba niweke wazi jambo muhimu ambalo kila mwanachadema anatakiwa kufahamu ni kuwa baada ya uchaguzi huu, Chadema itabadilika na Siasa za nchi hii zitabadilika kwa 100%. Tuwe tayari kwa mabadiliko hayo. Hata ccm wanaoinjinia uchaguzi huu wafahamu kwamba wanaitengeneza Chadema mpya ambayo watakabiliana nayo ikiwa na nguvu ambayo hawatakuja kuiamini maishani mwao! Mfano tu (si rasmi) nani ataamini 2025 akija kuona Jaji Joseph Warioba ndie Mgombea wa Chadema, nasema ni mfano tu usikomaze fuvu. Zingatieni mnacheza na mabingwa wa karata za siasa Afrika, huu ndio utofauti wa harakati na siasa duniani.

Na Yericko Nyerere
Wewe kama unamuunga mkono.mbowe ni mpumbavu moja kwa moja fullstop
 
Yericko akiangalia anavyopigwa za kichwa kwenye mitandao ya jamii
1000314656.jpg
 
Na tutavuka chama kikiwa salama mikononi mwa wanachadema wenyewe! Lakini naomba niweke wazi jambo muhimu ambalo kila mwanachadema anatakiwa kufahamu ni kuwa baada ya uchaguzi huu, Chadema itabadilika
Hii ni habari njema, chuchu ya mabadiliko haya ni TL!. FM hawezi kubadilisha chochote kwasababu amefikia optimum yake.
na Siasa za nchi hii zitabadilika kwa 100%. Tuwe tayari kwa mabadiliko hayo.
Asante kwa taarifa hii
Hata ccm wanaoinjinia uchaguzi huu wafahamu kwamba wanaitengeneza Chadema mpya ambayo watakabiliana nayo ikiwa na nguvu ambayo hawatakuja kuiamini maishani mwao!
CCM wanamtaka FM, TL akigombea, GenZii by saa 4:00 wako vile viwanja pale feri, hawana hata haja ya kusubiri matokeo!.
Mfano tu (si rasmi) nani ataamini 2025 akija kuona Jaji Joseph Warioba ndie Mgombea wa Chadema, nasema ni mfano tu usikomaze fuvu.
Muheshimu Mzee wetu huyu, huyu sio kichaa!. Ila nyinyi watu wa ajabu sana!, mtaji mnao Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ? sijui mnashindwa vipi kuutumia mtaji huu!.
Zingatieni mnacheza na mabingwa wa karata za siasa Afrika, huu ndio utofauti wa harakati na siasa duniani.

Na Yericko Nyerere
Mabingwa wa siasa Afrika kiongozi miaka 20 mbunge 1!.
Kila la kheri
P
 
Yeriko unaitaja system nyuma ya Lissu? Kwani kilichokuwa nyuma ya Mbowe ni nini kama sio hiyohiyo system?

Umeongea here say ambayo na sisi tunaweza kuongea tu, tulitegemea uje na concrete evidence kussuport ulichoandika vingenevyo ni porojo porojo ambazo kila mtu anaweza kuongea.

Wabunge COVID 19 ni wake wa viongozi wakubwa ndani ya CDM na wengine ni wachumba kabisa, akina mama wamekuwa wakila posho miaka nenda rudi, huko kwenye vikao vyenu mmeshawahi kuwahoji wenzenu au hata kuwatoa kwenye nyadhifa zao ili kuondoa sintofahamu na kuavoid conflict of interest, lakini pia kuweka sawa image ya chama.
Hili sakata la wale akina mama wabunge maarufu kama COVID 19
Hapa nipo nilipoamini Mbowe ni tapeli.
Kuna jamaa yangu amewahi kufika nyumbani Kwa mwamba huko Hai anasema
mwamba anavuta bange vibaya mno.
 
We jamaa unazidi kujiharibia hata hiyo heshima yako ndogo iliyobakia.

Mwanzo ulisema Lissu ni msaliti kwasababu amekuwa akiongea siri za Chama (kamati kuu) hadharani jambo ambalo halipo katika maadili ya chama.

Lakini leo unakuja tena na madai mengine ambayo kwa madai yako yalifanyika ndani ya Chama na tukirejea kauli yako maana yake yalipaswa yawe siri.

Kivipi tena kwako iwe halali kuja hadharani kuyatoa yaliyokuwa sirini na wakati hayo hayo yakitolewa na mwingine aonekane adui wa Chama?
Katapeli tu haka kajamaa. Na kaongo kaongo kachawi haka kachawa
 
Hii ni habari njema, chuchu ya mabadiliko haya ni TL!. FM hawezi kubadilisha chochote kwasababu amefikia optimum yake.

Asante kwa taarifa hii

CCM wanamtaka FM, TL akigombea, GenZii by saa 4:00 wako vile viwanja pale feri, hawana hata haja ya kusubiri matokeo!.

Muheshimu Mzee wetu huyu, huyu sio kichaa!. Ila nyinyi watu wa ajabu sana!, mtaji mnao Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ? sijui mnashindwa vipi kuutumia mtaji huu!.

Mabingwa wa siasa Afrika kiongozi miaka 20 mbunge 1!.
Kila la kheri
P
Kaka kwa heshima yako. Nakuambia huyu mchumia tumbo chawa hatakuelewa hapa. Japo umeongea hambo la kweli sana. Mbowe asha zeeka ni mida apishe mtu mwenye maono mapya nguvu na udhubutu. Shida iliyopo kama kuna maslahi mapana ya kifedha hawataachia kiurahisi. Na machawa watatandazwa kumsema lissu hata kwa mambo ya kugushi. Kama haya anayoongea huyu mchawi
 
Ule upuuzi mliotunga kwa Wangwe mkafanikiwa enzi zile tambueni kwa sasa hauna nafasi tena.
Tumeshawatambua wajasiliasiasa mnaojinufaisha kwa mgongo wa CDM.
Lisu anafaa na wanachama wa kawaida tumeshajua uhuni went.
Mngekuwa na akili mngemshauri huyo Mbowe asigombee, haiwezekani chama akigeuze kuwa mali yake binafsi na nyie machawa wake
 
Baadhi ya Wanachadema hawafahamu kuwa, Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi ndani ya @ChademaTz chini ya Kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania ambacho ndani yake kuna Wanaharakati wa ndani wakiongozwa na Dr Slaa mwanaccm ambae ndie alikuwa akiongoza mikutano ya hadhara, Mwabukusi ambae ni Mwanachama wa NCCR Mageuzi, mitandaoni yuko Maria Sarungi mwanachama hai wa CCM na baadhi ya Watz waishio nje (Diaspora) jaribio hilo lililotokea kipindi cha kupinga DP World, Bahati nzuri tulilizima jaribio hilo kwa nguvu kubwa na kuwazuia wasitumie jukwaa la Chadema kufanya mikutano yao.

Sasa wamekuja kwa mlango wa nyuma wamevamia Uchaguzi wa Chadema, wakijiegemeza kwa Tundu Lissu na kufanikiwa kumjaza maneno na fitina kubwa nae akajaa kwenye 18 zao, nyuma yao kuna CCM chini ya Msigwa, na Systeam inayosukuma kete kwa mbali sana na kwa uangalifu mkubwa sana hadi uwe na jicho la tatu ndio utabaini hilo, pia na baadhi ya Wanachadema walioshindwa katika chaguzi za ndani ya chama kuanzia kanda, mikoa na Wilaya ambao kimsingi sio Wapiga Kura bali wapiga kelele. Lengo wakipore chama kwa wanadema na kukidhibiti mikononi mwa ccm na mfumo. Wanachadema msiruhusu chama chenu kiporwe kwa Twita/X na Wasap kisha kukiua chama hiki kwa faida ya ccm.

Tutawashinda, zimefanyika juhudi kadhaa za kumweleza ukweli Lissu kwamba kundi ulilonalo ni kundi linalokwenda kukuua kisiasa na kukupoteza kabisa, lakini ameshupaza shingo tukaamua ikiwa busara imefeli sasa ngoja demokrasia ikaamue, Lissu ataanguka vibaya katika uchaguzi huu yaani akipata kura 100 anatakiwa akafanye sherehe kubwa sana kwao Ikungi. Don't test your master!

Na tutavuka chama kikiwa salama mikononi mwa wanachadema wenyewe! Lakini naomba niweke wazi jambo muhimu ambalo kila mwanachadema anatakiwa kufahamu ni kuwa baada ya uchaguzi huu, Chadema itabadilika na Siasa za nchi hii zitabadilika kwa 100%. Tuwe tayari kwa mabadiliko hayo. Hata ccm wanaoinjinia uchaguzi huu wafahamu kwamba wanaitengeneza Chadema mpya ambayo watakabiliana nayo ikiwa na nguvu ambayo hawatakuja kuiamini maishani mwao! Mfano tu (si rasmi) nani ataamini 2025 akija kuona Jaji Joseph Warioba ndie Mgombea wa Chadema, nasema ni mfano tu usikomaze fuvu. Zingatieni mnacheza na mabingwa wa karata za siasa Afrika, huu ndio utofauti wa harakati na siasa duniani.

Na Yericko Nyerere
Hapo unaona umecheza bonge la mindgame! Ni hivi, muda wa Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm umepita akae kushoto. Hayo mabadiliko yalingonja nini muda wote hadi msubiri uchaguzi upite ndio yaje?
 
Jibu hoja jina halikusaidii chochote
kiona jitu linajibu hivyo ujue ni takataka za darasa la 7/12 failures.
Badala ya kujibuhoja analeta character assassination ujue ni takataka
 
Hapo unaona umecheza bonge la mindgame! Ni hivi, muda wa Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm umepita akae kushoto. Hayo mabadiliko yalingonja nini muda wote hadi msubiri uchaguzi upite ndio yaje?
Nani kaupitisha muda wa kuwa Mwenyekiti? Lisu si mnasema is very influential, aanzishe chama chake ana wafuasi milioni 50 😀 😀 😀 😀 😀 , then he will sail through!

Nadhani mngelimshauri Lisu aache kuropoka, aache kuwa na tamaa ya ukubwa, aache CONFRONTATIONS na wenzake.... atumie diplomacy and the like. Huwezi ku achive political goals by confrontation ukiwa peke yako. Hakuna Mtanzania ambaye yuko tayari kupigwa risasi akafa, wengine wakasonga mbele ZINAKOTOKA RISASI. TU WAOGA WA KUFA INCLUDING YOU AND ME na ndiyo maana tunajificha kwenye fake IDs!

Ushujaa anaowadanganya nao hataufanya mbele ya polisi, TISS, JWTZ na wengine kama hao kwa mazingira ya Tanzania yalivyo. You need another approach to achieve goals and to me, achieving your goals in peacemeals... but being safe.

Sidhani kama ni sifa kuwa DEAD HERO kwa karne hizi za kisasa
 
Wee mzee wa makaratasi unayotuuziaga nimeamua kumpa mke wangu afungie vitumbua na kashata kwa wateja wake
 
Nani kaupitisha muda wa kuwa Mwenyekiti? Lisu si mnasema is very influential, aanzishe chama chake ana wafuasi milioni 50 😀 😀 😀 😀 😀 , then he will sail through!

Nadhani mngelimshauri Lisu aache kuropoka, aache kuwa na tamaa ya ukubwa, aache CONFRONTATIONS na wenzake.... atumie diplomacy and the like. Huwezi ku achive political goals by confrontation ukiwa peke yako. Hakuna Mtanzania ambaye yuko tayari kupigwa risasi akafa, wengine wakasonga mbele ZINAKOTOKA RISASI. TU WAOGA WA KUFA INCLUDING YOU AND ME na ndiyo maana tunajificha kwenye fake IDs!

Ushujaa anaowadanganya nao hataufanya mbele ya polisi, TISS, JWTZ na wengine kama hao kwa mazingira ya Tanzania yalivyo. You need another approach to achieve goals and to me, achieving your goals in peacemeals... but being safe.

Sidhani kama ni sifa kuwa DEAD HERO kwa karne hizi za kisasa
Aanzishe chama chake, kwani hiyo cdm kaanzisha Mbowe, au amekaa muda mrefu hadi unaamini ni chake?
 
Back
Top Bottom