Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi Chadema, Sasa wavamia Uchaguzi!

Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi Chadema, Sasa wavamia Uchaguzi!

Mkuu, tulia tu yetu macho, jamaa alijifanya kuomba 48hours ili aje na maamuzi sahihi ila akakaza fuvu kwa msaada wa mamluki na wapambe kama hawa, hili lichama litamfia
Kabisa, hawa wapambe wamempoteza Mbowe kwa maslahi yao na watakiua chama sababu ya matumbo.

Haihitaji nguvu ukipita tu mtandaoni unaona upepo unavumia wapi.

Sasa wamerudi kule kwenye njia za CCM kwamba mitandaoni hakuna wapiga kura na mara wa mitandaoni hawatopiga kura kumchagua Lissu huku hongo zimesambazwa na Abduli na imethibitika.
 
Kabisa, hawa wapambe wamempoteza Mbowe kwa maslahi yao na watakiua chama sababu ya matumbo.

Haihitaji nguvu ukipita tu mtandaoni unaona upepo unavumia wapi.

Sasa wamerudi kule kwenye njia za CCM kwamba mitandaoni hakuna wapiga kura na mara wa mitandaoni hawatopiga kura kumchagua Lissu huku hongo zimesambazwa na Abduli na imethibitika.
Uchaguzi ni namba, siyo kelele mtandaoni, Lisu hakujiandaa kumshinda Mbowe.

Turufu za kisiasa uchaguzi wa ndani unapoanza lazima uwe na mtandao wako wa kuja kukupigia kura, nilitamani sana Lisu ndio adeal na wahuni wa ccm lakini its too late, huu siyo uchaguzi wa TLS, Lisu hawezi kumshinda Mbowe, mwenzake alishaziandaa kura zake kwenye mikoa na kanda.
 
Uchaguzi ni namba, siyo kelele mtandaoni, Lisu hakujiandaa kumshinda Mbowe.
Namba hizo hizo ndio Chadema wamekuwa wakiibiwa na majizi ya CCM miaka yote ?
Turufu za kisiasa uchaguzi wa ndani unapoanza lazima uwe na mtandao wako wa kuja kukupigia kura, nilitamani sana Lisu ndio adeal na wahuni wa ccm lakini its too late, huu siyo uchaguzi wa TLS, Lisu hawezi kumshinda Mbowe, mwenzake alishaziandaa kura zake kwenye mikoa na kanda.
Mtandao huu kwa sasa utampa ushindi Mbowe ni wa pesa za Abdul ndio maana nimesema sitoshangaa Lissu akishindwa ushawishi aliobaki nao Mbowe ni wa kifedha ila ile organic haipo tena pitia mitandao tu utaona .

Binafsi mimi pia support yangu kwa Mbowe nikiri niliiwithdraw pale chama kilipokubali kushiriki huu uchaguzi ulioamuliwa kwa matokeo ya Mkwe kumfurahisha mama mkwe.
 
Umeandika mambo mengi ila ni vague. Halafu punguza kimbelembele kwa Mbowe.
Chief huyu jamaa kama si mamluki basi kuna namna push up na pump za mbowe zinamuhusu, maana anayoyasema hayaaksi uhalisia wake kabla TAL hajachukua form
 
Baadhi ya Wanachadema hawafahamu kuwa, Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi ndani ya @ChademaTz chini ya Kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania ambacho ndani yake kuna Wanaharakati wa ndani wakiongozwa na Dr Slaa mwanaccm ambae ndie alikuwa akiongoza mikutano ya hadhara, Mwabukusi ambae ni Mwanachama wa NCCR Mageuzi, mitandaoni yuko Maria Sarungi mwanachama hai wa CCM na baadhi ya Watz waishio nje (Diaspora) jaribio hilo lililotokea kipindi cha kupinga DP World, Bahati nzuri tulilizima jaribio hilo kwa nguvu kubwa na kuwazuia wasitumie jukwaa la Chadema kufanya mikutano yao.

Sasa wamekuja kwa mlango wa nyuma wamevamia Uchaguzi wa Chadema, wakijiegemeza kwa Tundu Lissu na kufanikiwa kumjaza maneno na fitina kubwa nae akajaa kwenye 18 zao, nyuma yao kuna CCM chini ya Msigwa, na Systeam inayosukuma kete kwa mbali sana na kwa uangalifu mkubwa sana hadi uwe na jicho la tatu ndio utabaini hilo, pia na baadhi ya Wanachadema walioshindwa katika chaguzi za ndani ya chama kuanzia kanda, mikoa na Wilaya ambao kimsingi sio Wapiga Kura bali wapiga kelele. Lengo wakipore chama kwa wanadema na kukidhibiti mikononi mwa ccm na mfumo. Wanachadema msiruhusu chama chenu kiporwe kwa Twita/X na Wasap kisha kukiua chama hiki kwa faida ya ccm.

Tutawashinda, zimefanyika juhudi kadhaa za kumweleza ukweli Lissu kwamba kundi ulilonalo ni kundi linalokwenda kukuua kisiasa na kukupoteza kabisa, lakini ameshupaza shingo tukaamua ikiwa busara imefeli sasa ngoja demokrasia ikaamue, Lissu ataanguka vibaya katika uchaguzi huu yaani akipata kura 100 anatakiwa akafanye sherehe kubwa sana kwao Ikungi. Don't test your master!

Na tutavuka chama kikiwa salama mikononi mwa wanachadema wenyewe! Lakini naomba niweke wazi jambo muhimu ambalo kila mwanachadema anatakiwa kufahamu ni kuwa baada ya uchaguzi huu, Chadema itabadilika na Siasa za nchi hii zitabadilika kwa 100%. Tuwe tayari kwa mabadiliko hayo. Hata ccm wanaoinjinia uchaguzi huu wafahamu kwamba wanaitengeneza Chadema mpya ambayo watakabiliana nayo ikiwa na nguvu ambayo hawatakuja kuiamini maishani mwao! Mfano tu (si rasmi) nani ataamini 2025 akija kuona Jaji Joseph Warioba ndie Mgombea wa Chadema, nasema ni mfano tu usikomaze fuvu. Zingatieni mnacheza na mabingwa wa karata za siasa Afrika, huu ndio utofauti wa harakati na siasa duniani.

Na Yericko Nyerere
Kiongozi, wewe mbona, unajitoa ufahamu, unakuja na Maandiko ya kishamba yaliyojaa propaganda nyepesi.

Hivi wewe unafikiri watanzania ni wajinga??
Endelea na RIWAYA pendwa zako, vitabu ambavyo ume copy na kupaste!!

Mambo bya CHADEMA, unayoandika ni ya kufikirika sana.

Huu ndo mwisho wenu wa kuramba asali, Lissu ndo habari ya mjini!!

Lissu ndo Mwenyekiti ajaye,Narudia Tena, endelea na riwaya pendwa zako, hapa jamii forums watu wanajitambua.
 
Yeriko unaitaja system nyuma ya Lissu? Kwani kilichokuwa nyuma ya Mbowe ni nini kama sio hiyohiyo system?

Umeongea here say ambayo na sisi tunaweza kuongea tu, tulitegemea uje na concrete evidence kussuport ulichoandika vingenevyo ni porojo porojo ambazo kila mtu anaweza kuongea.

Wabunge COVID 19 ni wake wa viongozi wakubwa ndani ya CDM na wengine ni wachumba kabisa, akina mama wamekuwa wakila posho miaka nenda rudi, huko kwenye vikao vyenu mmeshawahi kuwahoji wenzenu au hata kuwatoa kwenye nyadhifa zao ili kuondoa sintofahamu na kuavoid conflict of interest, lakini pia kuweka sawa image ya chama.
 
Inaonekana yeriko nyerere hajawahi kuwa na akili kama alivyodhaniwa na wengi au alivyowaaminisha wengi, sema tu alijua kupangilia story zake zikaonekana kama facts kumbe sio.

Hoja ya kusema Lissu anatumika na CCM ni hoja dhaifu sana kupata kutokea.
Mtu ambae alikua katika mstari mwembamba sana wa kati ya kifo na uhai wake baada ya kupigwa risasi, ni ngumu sana kumnunua mtu huyo maana hmna kinachomuogopesha tena.

Mbowe ndiye anayetumiwa na CCM. Maana hata hoja zake za kuendelea kutaka kua mwenyekiti ni dhaifu sana na hazina mashiko.
Kitendo cha yeye kuitisha press conference na kupata coverage ya media zote pia kinatia mashaka, maana inaonekana kuna nguvu nyuma ya hili sakata ambayo inamsapoti Mbowe, Either kwa kujua au kwa yeye kutokujua.

CHADEMA wenyewe hua wanasema ukiona kiongozi wa upinzani anapendwa na CCM jua huyo sio mpinzani wa kweli, kuna namna anakua anawapa manufaa CCM kuliko upinzani wake anaounyesha.
Na kwa hili inaonekana wazi kabisa kua mbowe amewafurahisha wana CCM wengi kwa kuendelea kutaka kubaki kua mwenyekiti, Tofauti na Lissu ambaye wana CCM wengi wanaonekana kumchukia.
CCM wamewekeza bilioni kadhaa kuhakikisha kuwa Mbowe anaendelea kuwa Sultan ndiyo hizo wamegawiwa kima Yericko Nyerere na chawa wengine huoni kutwa kucha wako mitandaoni kumsifia Sultan na kumbagaza Lissu. Mbowe amekuwa chombo kiteule cha CCM kupoozesha mageuzi ya kisiasa nchini.
 
Baadhi ya Wanachadema hawafahamu kuwa, Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi ndani ya @ChademaTz chini ya Kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania ambacho ndani yake kuna Wanaharakati wa ndani wakiongozwa na Dr Slaa mwanaccm ambae ndie alikuwa akiongoza mikutano ya hadhara, Mwabukusi ambae ni Mwanachama wa NCCR Mageuzi, mitandaoni yuko Maria Sarungi mwanachama hai wa CCM na baadhi ya Watz waishio nje (Diaspora) jaribio hilo lililotokea kipindi cha kupinga DP World, Bahati nzuri tulilizima jaribio hilo kwa nguvu kubwa na kuwazuia wasitumie jukwaa la Chadema kufanya mikutano yao.

Sasa wamekuja kwa mlango wa nyuma wamevamia Uchaguzi wa Chadema, wakijiegemeza kwa Tundu Lissu na kufanikiwa kumjaza maneno na fitina kubwa nae akajaa kwenye 18 zao, nyuma yao kuna CCM chini ya Msigwa, na Systeam inayosukuma kete kwa mbali sana na kwa uangalifu mkubwa sana hadi uwe na jicho la tatu ndio utabaini hilo, pia na baadhi ya Wanachadema walioshindwa katika chaguzi za ndani ya chama kuanzia kanda, mikoa na Wilaya ambao kimsingi sio Wapiga Kura bali wapiga kelele. Lengo wakipore chama kwa wanadema na kukidhibiti mikononi mwa ccm na mfumo. Wanachadema msiruhusu chama chenu kiporwe kwa Twita/X na Wasap kisha kukiua chama hiki kwa faida ya ccm.

Tutawashinda, zimefanyika juhudi kadhaa za kumweleza ukweli Lissu kwamba kundi ulilonalo ni kundi linalokwenda kukuua kisiasa na kukupoteza kabisa, lakini ameshupaza shingo tukaamua ikiwa busara imefeli sasa ngoja demokrasia ikaamue, Lissu ataanguka vibaya katika uchaguzi huu yaani akipata kura 100 anatakiwa akafanye sherehe kubwa sana kwao Ikungi. Don't test your master!

Na tutavuka chama kikiwa salama mikononi mwa wanachadema wenyewe! Lakini naomba niweke wazi jambo muhimu ambalo kila mwanachadema anatakiwa kufahamu ni kuwa baada ya uchaguzi huu, Chadema itabadilika na Siasa za nchi hii zitabadilika kwa 100%. Tuwe tayari kwa mabadiliko hayo. Hata ccm wanaoinjinia uchaguzi huu wafahamu kwamba wanaitengeneza Chadema mpya ambayo watakabiliana nayo ikiwa na nguvu ambayo hawatakuja kuiamini maishani mwao! Mfano tu (si rasmi) nani ataamini 2025 akija kuona Jaji Joseph Warioba ndie Mgombea wa Chadema, nasema ni mfano tu usikomaze fuvu. Zingatieni mnacheza na mabingwa wa karata za siasa Afrika, huu ndio utofauti wa harakati na siasa duniani.

Na Yericko Nyerere
Mimi nimekuelewa kuwa mbowe anang'ang'ania Chama ili aje aiuze CHADEMA ama tuseme AIAZIME kwa wana chama wa kuleee... mfano wa Lowassa come 2025. Ili apate pesa as usual maana anajua TAL hawezi fanya hivyo kamwe
 
Back
Top Bottom