Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi Chadema, Sasa wavamia Uchaguzi!

Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi Chadema, Sasa wavamia Uchaguzi!

Huyu jamaa Nimeacha kumfatilia huu mwezi wa 12 tu Nilipoona Akili yake imeanza kupungua maana
Yericko Nyerere ninayemfahamu ni Mtu aliyekuwa makini nimeshaenda na nikamfata mpaka Kwake hapo Mbarajange Mbutu huko...

Na nikapiga naye story Nilifurahia sana kwakuwa ana Akili sana Ila amekuja Kuniacha hoi Amekuwa Chawa mpaka anaudi sana..



Yericko , ni mtu muongo -muongo na kupitia huo uongo uongo ndo umemfanya ajulikane.
 
Inaonekana yeriko nyerere hajawahi kuwa na akili kama alivyodhaniwa na wengi au alivyowaaminisha wengi, sema tu alijua kupangilia story zake zikaonekana kama facts kumbe sio.

Hoja ya kusema Lissu anatumika na CCM ni hoja dhaifu sana kupata kutokea.
Mtu ambae alikua katika mstari mwembamba sana wa kati ya kifo na uhai wake baada ya kupigwa risasi, ni ngumu sana kumnunua mtu huyo maana hmna kinachomuogopesha tena.

Mbowe ndiye anayetumiwa na CCM. Maana hata hoja zake za kuendelea kutaka kua mwenyekiti ni dhaifu sana na hazina mashiko.
Kitendo cha yeye kuitisha press conference na kupata coverage ya media zote pia kinatia mashaka, maana inaonekana kuna nguvu nyuma ya hili sakata ambayo inamsapoti Mbowe, Either kwa kujua au kwa yeye kutokujua.

CHADEMA wenyewe hua wanasema ukiona kiongozi wa upinzani anapendwa na CCM jua huyo sio mpinzani wa kweli, kuna namna anakua anawapa manufaa CCM kuliko upinzani wake anaounyesha.
Na kwa hili inaonekana wazi kabisa kua mbowe amewafurahisha wana CCM wengi kwa kuendelea kutaka kubaki kua mwenyekiti, Tofauti na Lissu ambaye wana CCM wengi wanaonekana kumchukia.
 
Baadhi ya Wanachadema hawafahamu kuwa, Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi ndani ya @ChademaTz chini ya Kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania ambacho ndani yake kuna Wanaharakati wa ndani wakiongozwa na Dr Slaa mwanaccm ambae ndie alikuwa akiongoza mikutano ya hadhara, Mwabukusi ambae ni Mwanachama wa NCCR Mageuzi, mitandaoni yuko Maria Sarungi mwanachama hai wa CCM na baadhi ya Watz waishio nje (Diaspora) jaribio hilo lililotokea kipindi cha kupinga DP World, Bahati nzuri tulilizima jaribio hilo kwa nguvu kubwa na kuwazuia wasitumie jukwaa la Chadema kufanya mikutano yao.

Sasa wamekuja kwa mlango wa nyuma wamevamia Uchaguzi wa Chadema, wakijiegemeza kwa Tundu Lissu na kufanikiwa kumjaza maneno na fitina kubwa nae akajaa kwenye 18 zao, nyuma yao kuna CCM chini ya Msigwa, na Systeam inayosukuma kete kwa mbali sana na kwa uangalifu mkubwa sana hadi uwe na jicho la tatu ndio utabaini hilo, pia na baadhi ya Wanachadema walioshindwa katika chaguzi za ndani ya chama kuanzia kanda, mikoa na Wilaya ambao kimsingi sio Wapiga Kura bali wapiga kelele. Lengo wakipore chama kwa wanadema na kukidhibiti mikononi mwa ccm na mfumo. Wanachadema msiruhusu chama chenu kiporwe kwa Twita/X na Wasap kisha kukiua chama hiki kwa faida ya ccm.

Tutawashinda, zimefanyika juhudi kadhaa za kumweleza ukweli Lissu kwamba kundi ulilonalo ni kundi linalokwenda kukuua kisiasa na kukupoteza kabisa, lakini ameshupaza shingo tukaamua ikiwa busara imefeli sasa ngoja demokrasia ikaamue, Lissu ataanguka vibaya katika uchaguzi huu yaani akipata kura 100 anatakiwa akafanye sherehe kubwa sana kwao Ikungi. Don't test your master!

Na tutavuka chama kikiwa salama mikononi mwa wanachadema wenyewe! Lakini naomba niweke wazi jambo muhimu ambalo kila mwanachadema anatakiwa kufahamu ni kuwa baada ya uchaguzi huu, Chadema itabadilika na Siasa za nchi hii zitabadilika kwa 100%. Tuwe tayari kwa mabadiliko hayo. Hata ccm wanaoinjinia uchaguzi huu wafahamu kwamba wanaitengeneza Chadema mpya ambayo watakabiliana nayo ikiwa na nguvu ambayo hawatakuja kuiamini maishani mwao! Mfano tu (si rasmi) nani ataamini 2025 akija kuona Jaji Joseph Warioba ndie Mgombea wa Chadema, nasema ni mfano tu usikomaze fuvu. Zingatieni mnacheza na mabingwa wa karata za siasa Afrika, huu ndio utofauti wa harakati na siasa duniani.

Na Yericko Nyerere
Kwasasa iko chama
 
Baadhi ya Wanachadema hawafahamu kuwa, Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi ndani ya @ChademaTz chini ya Kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania ambacho ndani yake kuna Wanaharakati wa ndani wakiongozwa na Dr Slaa mwanaccm ambae ndie alikuwa akiongoza mikutano ya hadhara, Mwabukusi ambae ni Mwanachama wa NCCR Mageuzi, mitandaoni yuko Maria Sarungi mwanachama hai wa CCM na baadhi ya Watz waishio nje (Diaspora) jaribio hilo lililotokea kipindi cha kupinga DP World, Bahati nzuri tulilizima jaribio hilo kwa nguvu kubwa na kuwazuia wasitumie jukwaa la Chadema kufanya mikutano yao.

Sasa wamekuja kwa mlango wa nyuma wamevamia Uchaguzi wa Chadema, wakijiegemeza kwa Tundu Lissu na kufanikiwa kumjaza maneno na fitina kubwa nae akajaa kwenye 18 zao, nyuma yao kuna CCM chini ya Msigwa, na Systeam inayosukuma kete kwa mbali sana na kwa uangalifu mkubwa sana hadi uwe na jicho la tatu ndio utabaini hilo, pia na baadhi ya Wanachadema walioshindwa katika chaguzi za ndani ya chama kuanzia kanda, mikoa na Wilaya ambao kimsingi sio Wapiga Kura bali wapiga kelele. Lengo wakipore chama kwa wanadema na kukidhibiti mikononi mwa ccm na mfumo. Wanachadema msiruhusu chama chenu kiporwe kwa Twita/X na Wasap kisha kukiua chama hiki kwa faida ya ccm.

Tutawashinda, zimefanyika juhudi kadhaa za kumweleza ukweli Lissu kwamba kundi ulilonalo ni kundi linalokwenda kukuua kisiasa na kukupoteza kabisa, lakini ameshupaza shingo tukaamua ikiwa busara imefeli sasa ngoja demokrasia ikaamue, Lissu ataanguka vibaya katika uchaguzi huu yaani akipata kura 100 anatakiwa akafanye sherehe kubwa sana kwao Ikungi. Don't test your master!

Na tutavuka chama kikiwa salama mikononi mwa wanachadema wenyewe! Lakini naomba niweke wazi jambo muhimu ambalo kila mwanachadema anatakiwa kufahamu ni kuwa baada ya uchaguzi huu, Chadema itabadilika na Siasa za nchi hii zitabadilika kwa 100%. Tuwe tayari kwa mabadiliko hayo. Hata ccm wanaoinjinia uchaguzi huu wafahamu kwamba wanaitengeneza Chadema mpya ambayo watakabiliana nayo ikiwa na nguvu ambayo hawatakuja kuiamini maishani mwao! Mfano tu (si rasmi) nani ataamini 2025 akija kuona Jaji Joseph Warioba ndie Mgombea wa Chadema, nasema ni mfano tu usikomaze fuvu. Zingatieni mnacheza na mabingwa wa karata za siasa Afrika, huu ndio utofauti wa harakati na siasa duniani.

Na Yericko Nyerere
Kwasasa iko chama
 
Yericko , ni mtu muongo -muongo na kupitia huo uongo uongo ndo umemfanya ajulikane.


Ukimpata kwenye Simu au mkionana Live Muulize kuhusu Classmate wake wa VETA wakuitwa Samantta.

Yericko nilikuwa nashangaa watu wanavyomuamini .

Tangu mwaka 2010 huyu jamaa nimefahamu huwa namuonaga hajakomaa akili bado

Mwaka 2015 japo nilikuwa naisapoti Chadema .

Mbowe aliwapa nafasi kubwa Kama Team ya kampeni Taifa Ila mambo ya hovyo aliyokuwa anapost na ya uongo nilimuona hajitambui .

Ni vile watz wanapenda mambo negative Kama hayo ndo inapelekea watu Kama Yericko Kuonekana wana akili
Angalia jinsi yeriko Nyerere anavyomdanganya huyo kijana Mpaka kijana wa watu anapandwa na orgasm
 

Attachments

  • 65e3097358946f2e9435b286f525b30b.mp4
    22.8 MB
Nina wasiwasi na njia unazotumia kuuza vitabu vyako na je unapata wateja kweli kwa uchambuzi huu?

Tukirudi kwenye mada , siamini hayo unayoita mapinduzi hata kama yalitokea hiyo June 2023 kwenye kupinga mkataba wa DP World, watu wengi hata wasio na vyama waliupinga mkataba ule

Mimi naomba mumsahauri Mbowe na mumpe tafakuri hii je kuna uchaguzi wowote umewahi kutrend kama huu wa 2025?

Jibu ni hapana , miaka yote chaguzi za Chadema zilikuwa ni walk in the park kwa Mbowe ila kuna vitu wanachama na wafuasi wa Chadema kwa wingi sasa wameona hawezi tena.

Mfano ushenzi uliofanyika 2020 for any individual of sound mind asingekubali kushiriki uchaguzi wa 2024 ambao umeenda kwa trend ile ile na mnakuja na wimbo wa tumeibiwa tena?

Yani 2005 ,2010,2015, 2020 unaibiwa tu na huji na suluhu ya kudumu, huu nk umri wa mtoto anayekaribia utu uzima why working with the same outdated tactics?

Tukija kwenye maridhiano mimi binafsi nilipinga utapeli ulioitwa maridhiano, maridhiano na kuiponya nchi ilitakiwa ni kuanzia mchakato mzima ulioiingiza serikali hii ya Samia na Magufuli madarakani 2020 urudiwe katika njia sahihi na kwa tume huru na katiba mpya, Mbowe aliahidi bila hivi vitu hakuna uchaguzi ila ushiriki wa chama 2024 ni dalili hata mwakani ni yaleyale ya tumeibiwa na mnasubiri miaka mingine 5 mshiriki na kuibiwa.

Cha mwisho katika chaguzi zingine zote miaka ya nyuma ziliendelea bila kuonyesha influence ya nje ya chama , ila uchaguzi wa mwaka huu hamshituki Mbowe aliyeitwa Mugabe, Ayatollah mmliki wa SACCOS ya Chadema anaungwa mkono na makada wa CCM kwa wingi ?

Ndio maana tangu mwanzo nimetangulia kukuuliza vitabu vyako n uhalisia wako maana nilitarajia kama unavyojiita "Jasusi" basi ungekuwa ushapata clue na mshangao kwanini mgombea wenu na mwenyekiti anaungwa mkono na maadui zenu hii ni red flag kubwa ila umeshindwa kuichambua kijasusi maana umetanguliza akili za tumbo kuliko za ubongo.

Kuhusu Lissu kushindwa ninatarajia hivyo na sitashangaa sababu popote pesa za CCM zikishaingia basi hakuna haki itatendeka .

Mbowe atashinda na mtafurahi ila watanzania kwa sasa sio wajinga[nimeona screenshot zako mitandaoni unavyokaangwa ] nina hakika watawafunza adabu 2025 na mtageuka chama cha kumuunga mkono mgombea wa CCM kama TLP maana mkijiangalia chamanj hamuoni mtu mwenye ushawishi.
 
Jamaa kwa makusudi unatmika kubomoa chama, iko wazi kuwa wewe ni mamluki , bahati mbaya sana hata FAM hajashtuka kwa tamaa zake mwenyewe, umepata fursa ili baadae ukalipwe kwa kupasua chama, TAL katoa hoja zijibuni kwa hoja sio propaganda zilijaaa chuki kumchafua, anyway mwambie anayekutuma kuwa imebakia kidogo iwe hivi👇
 

Attachments

  • 20241226_175613.jpg
    20241226_175613.jpg
    53.7 KB · Views: 3
Baadhi ya Wanachadema hawafahamu kuwa, Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi ndani ya @ChademaTz chini ya Kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania ambacho ndani yake kuna Wanaharakati wa ndani wakiongozwa na Dr Slaa mwanaccm ambae ndie alikuwa akiongoza mikutano ya hadhara, Mwabukusi ambae ni Mwanachama wa NCCR Mageuzi, mitandaoni yuko Maria Sarungi mwanachama hai wa CCM na baadhi ya Watz waishio nje (Diaspora) jaribio hilo lililotokea kipindi cha kupinga DP World, Bahati nzuri tulilizima jaribio hilo kwa nguvu kubwa na kuwazuia wasitumie jukwaa la Chadema kufanya mikutano yao.

Sasa wamekuja kwa mlango wa nyuma wamevamia Uchaguzi wa Chadema, wakijiegemeza kwa Tundu Lissu na kufanikiwa kumjaza maneno na fitina kubwa nae akajaa kwenye 18 zao, nyuma yao kuna CCM chini ya Msigwa, na Systeam inayosukuma kete kwa mbali sana na kwa uangalifu mkubwa sana hadi uwe na jicho la tatu ndio utabaini hilo, pia na baadhi ya Wanachadema walioshindwa katika chaguzi za ndani ya chama kuanzia kanda, mikoa na Wilaya ambao kimsingi sio Wapiga Kura bali wapiga kelele. Lengo wakipore chama kwa wanadema na kukidhibiti mikononi mwa ccm na mfumo. Wanachadema msiruhusu chama chenu kiporwe kwa Twita/X na Wasap kisha kukiua chama hiki kwa faida ya ccm.

Tutawashinda, zimefanyika juhudi kadhaa za kumweleza ukweli Lissu kwamba kundi ulilonalo ni kundi linalokwenda kukuua kisiasa na kukupoteza kabisa, lakini ameshupaza shingo tukaamua ikiwa busara imefeli sasa ngoja demokrasia ikaamue, Lissu ataanguka vibaya katika uchaguzi huu yaani akipata kura 100 anatakiwa akafanye sherehe kubwa sana kwao Ikungi. Don't test your master!

Na tutavuka chama kikiwa salama mikononi mwa wanachadema wenyewe! Lakini naomba niweke wazi jambo muhimu ambalo kila mwanachadema anatakiwa kufahamu ni kuwa baada ya uchaguzi huu, Chadema itabadilika na Siasa za nchi hii zitabadilika kwa 100%. Tuwe tayari kwa mabadiliko hayo. Hata ccm wanaoinjinia uchaguzi huu wafahamu kwamba wanaitengeneza Chadema mpya ambayo watakabiliana nayo ikiwa na nguvu ambayo hawatakuja kuiamini maishani mwao! Mfano tu (si rasmi) nani ataamini 2025 akija kuona Jaji Joseph Warioba ndie Mgombea wa Chadema, nasema ni mfano tu usikomaze fuvu. Zingatieni mnacheza na mabingwa wa karata za siasa Afrika, huu ndio utofauti wa harakati na siasa duniani.

Na Yericko Nyerere

Waleeee wanakuja ..

GfuY-ekXQAAK7pI.jpeg
 
Jamaa kwa makusudi unatmika kubomoa chama, iko wazi kuwa wewe ni mamluki , bahati mbaya sana hata FAM hajashtuka kwa tamaa zake mwenyewe, umepata fursa ili baadae ukalipwe kwa kupasua chama, TAL katoa hoja zijibuni kwa hoja sio propaganda zilijaaa chuki kumchafua, anyway mwambie anayekutuma kuwa imebakia kidogo iwe hivi👇
Hii picha inasema mengi!

Ngangari Ngunguri 2000 -2015 sasa ni mdebwedo!
 
Nina wasiwasi na njia unazotumia kuuza vitabu vyako na je unapata wateja kweli kwa uchambuzi huu?

Tukirudi kwenye mada , siamini hayo unayoita mapinduzi hata kama yalitokea hiyo June 2023 kwenye kupinga mkataba wa DP World, watu wengi hata wasio na vyama waliupinga mkataba ule

Mimi naomba mumsahauri Mbowe na mumpe tafakuri hii je kuna uchaguzi wowote umewahi kutrend kama huu wa 2025?

Jibu ni hapana , miaka yote chaguzi za Chadema zilikuwa ni walk in the park kwa Mbowe ila kuna vitu wanachama na wafuasi wa Chadema kwa wingi sasa wameona hawezi tena.

Mfano ushenzi uliofanyika 2020 for any individual of sound mind asingekubali kushiriki uchaguzi wa 2024 ambao umeenda kwa trend ile ile na mnakuja na wimbo wa tumeibiwa tena?

Yani 2005 ,2010,2015, 2020 unaibiwa tu na huji na suluhu ya kudumu, huu nk umri wa mtoto anayekaribia utu uzima why working with the same outdated tactics?

Tukija kwenye maridhiano mimi binafsi nilipinga utapeli ulioitwa maridhiano, maridhiano na kuiponya nchi ilitakiwa ni kuanzia mchakato mzima ulioiingiza serikali hii ya Samia na Magufuli madarakani 2020 urudiwe katika njia sahihi na kwa tume huru na katiba mpya, Mbowe aliahidi bila hivi vitu hakuna uchaguzi ila ushiriki wa chama 2024 ni dalili hata mwakani ni yaleyale ya tumeibiwa na mnasubiri miaka mingine 5 mshiriki na kuibiwa.

Cha mwisho katika chaguzi zingine zote miaka ya nyuma ziliendelea bila kuonyesha influence ya nje ya chama , ila uchaguzi wa mwaka huu hamshituki Mbowe aliyeitwa Mugabe, Ayatollah mmliki wa SACCOS ya Chadema anaungwa mkono na makada wa CCM kwa wingi ?

Ndio maana tangu mwanzo nimetangulia kukuuliza vitabu vyako n uhalisia wako maana nilitarajia kama unavyojiita "Jasusi" basi ungekuwa ushapata clue na mshangao kwanini mgombea wenu na mwenyekiti anaungwa mkono na maadui zenu hii ni red flag kubwa ila umeshindwa kuichambua kijasusi maana umetanguliza akili za tumbo kuliko za ubongo.

Kuhusu Lissu kushindwa ninatarajia hivyo na sitashangaa sababu popote pesa za CCM zikishaingia basi hakuna haki itatendeka .

Mbowe atashinda na mtafurahi ila watanzania kwa sasa sio wajinga[nimeona screenshot zako mitandaoni unavyokaangwa ] nina hakika watawafunza adabu 2025 na mtageuka chama cha kumuunga mkono mgombea wa CCM kama TLP maana mkijiangalia chamanj hamuoni mtu mwenye ushawishi.

Labda atawauzia shemeji zake:

IMG_20241224_085321.jpg
 
Baadhi ya Wanachadema hawafahamu kuwa, Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi ndani ya @ChademaTz chini ya Kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania ambacho ndani yake kuna Wanaharakati wa ndani wakiongozwa na Dr Slaa mwanaccm ambae ndie alikuwa akiongoza mikutano ya hadhara, Mwabukusi ambae ni Mwanachama wa NCCR Mageuzi, mitandaoni yuko Maria Sarungi mwanachama hai wa CCM na baadhi ya Watz waishio nje (Diaspora) jaribio hilo lililotokea kipindi cha kupinga DP World, Bahati nzuri tulilizima jaribio hilo kwa nguvu kubwa na kuwazuia wasitumie jukwaa la Chadema kufanya mikutano yao.

Sasa wamekuja kwa mlango wa nyuma wamevamia Uchaguzi wa Chadema, wakijiegemeza kwa Tundu Lissu na kufanikiwa kumjaza maneno na fitina kubwa nae akajaa kwenye 18 zao, nyuma yao kuna CCM chini ya Msigwa, na Systeam inayosukuma kete kwa mbali sana na kwa uangalifu mkubwa sana hadi uwe na jicho la tatu ndio utabaini hilo, pia na baadhi ya Wanachadema walioshindwa katika chaguzi za ndani ya chama kuanzia kanda, mikoa na Wilaya ambao kimsingi sio Wapiga Kura bali wapiga kelele. Lengo wakipore chama kwa wanadema na kukidhibiti mikononi mwa ccm na mfumo. Wanachadema msiruhusu chama chenu kiporwe kwa Twita/X na Wasap kisha kukiua chama hiki kwa faida ya ccm.

Tutawashinda, zimefanyika juhudi kadhaa za kumweleza ukweli Lissu kwamba kundi ulilonalo ni kundi linalokwenda kukuua kisiasa na kukupoteza kabisa, lakini ameshupaza shingo tukaamua ikiwa busara imefeli sasa ngoja demokrasia ikaamue, Lissu ataanguka vibaya katika uchaguzi huu yaani akipata kura 100 anatakiwa akafanye sherehe kubwa sana kwao Ikungi. Don't test your master!

Na tutavuka chama kikiwa salama mikononi mwa wanachadema wenyewe! Lakini naomba niweke wazi jambo muhimu ambalo kila mwanachadema anatakiwa kufahamu ni kuwa baada ya uchaguzi huu, Chadema itabadilika na Siasa za nchi hii zitabadilika kwa 100%. Tuwe tayari kwa mabadiliko hayo. Hata ccm wanaoinjinia uchaguzi huu wafahamu kwamba wanaitengeneza Chadema mpya ambayo watakabiliana nayo ikiwa na nguvu ambayo hawatakuja kuiamini maishani mwao! Mfano tu (si rasmi) nani ataamini 2025 akija kuona Jaji Joseph Warioba ndie Mgombea wa Chadema, nasema ni mfano tu usikomaze fuvu. Zingatieni mnacheza na mabingwa wa karata za siasa Afrika, huu ndio utofauti wa harakati na siasa duniani.

Na Yericko Nyerere
Chadema mpya chini ya Lissu.very good.
 
Baadhi ya Wanachadema hawafahamu kuwa, Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi ndani ya @ChademaTz chini ya Kikundi kinachojiita Sauti ya Watanzania ambacho ndani yake kuna Wanaharakati wa ndani wakiongozwa na Dr Slaa mwanaccm ambae ndie alikuwa akiongoza mikutano ya hadhara, Mwabukusi ambae ni Mwanachama wa NCCR Mageuzi, mitandaoni yuko Maria Sarungi mwanachama hai wa CCM na baadhi ya Watz waishio nje (Diaspora) jaribio hilo lililotokea kipindi cha kupinga DP World, Bahati nzuri tulilizima jaribio hilo kwa nguvu kubwa na kuwazuia wasitumie jukwaa la Chadema kufanya mikutano yao.

Sasa wamekuja kwa mlango wa nyuma wamevamia Uchaguzi wa Chadema, wakijiegemeza kwa Tundu Lissu na kufanikiwa kumjaza maneno na fitina kubwa nae akajaa kwenye 18 zao, nyuma yao kuna CCM chini ya Msigwa, na Systeam inayosukuma kete kwa mbali sana na kwa uangalifu mkubwa sana hadi uwe na jicho la tatu ndio utabaini hilo, pia na baadhi ya Wanachadema walioshindwa katika chaguzi za ndani ya chama kuanzia kanda, mikoa na Wilaya ambao kimsingi sio Wapiga Kura bali wapiga kelele. Lengo wakipore chama kwa wanadema na kukidhibiti mikononi mwa ccm na mfumo. Wanachadema msiruhusu chama chenu kiporwe kwa Twita/X na Wasap kisha kukiua chama hiki kwa faida ya ccm.

Tutawashinda, zimefanyika juhudi kadhaa za kumweleza ukweli Lissu kwamba kundi ulilonalo ni kundi linalokwenda kukuua kisiasa na kukupoteza kabisa, lakini ameshupaza shingo tukaamua ikiwa busara imefeli sasa ngoja demokrasia ikaamue, Lissu ataanguka vibaya katika uchaguzi huu yaani akipata kura 100 anatakiwa akafanye sherehe kubwa sana kwao Ikungi. Don't test your master!

Na tutavuka chama kikiwa salama mikononi mwa wanachadema wenyewe! Lakini naomba niweke wazi jambo muhimu ambalo kila mwanachadema anatakiwa kufahamu ni kuwa baada ya uchaguzi huu, Chadema itabadilika na Siasa za nchi hii zitabadilika kwa 100%. Tuwe tayari kwa mabadiliko hayo. Hata ccm wanaoinjinia uchaguzi huu wafahamu kwamba wanaitengeneza Chadema mpya ambayo watakabiliana nayo ikiwa na nguvu ambayo hawatakuja kuiamini maishani mwao! Mfano tu (si rasmi) nani ataamini 2025 akija kuona Jaji Joseph Warioba ndie Mgombea wa Chadema, nasema ni mfano tu usikomaze fuvu. Zingatieni mnacheza na mabingwa wa karata za siasa Afrika, huu ndio utofauti wa harakati na siasa duniani.

Na Yericko Nyerere

Unapindua nini sasa chadema kijana? Chama hakina hata organization kinapinduliwaje? Inaonekana mwandishi hujui maana ya coup d'tat hebu Google basi uondoe aibu ndogondogo hizi? Zinapinduliwa serikali zenye dola sio hii kitu
 
Back
Top Bottom