Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Umejibu vzr Sana, hawatakuelewa na ndio maaana watanzania wengi wanafeli mitihaniUsitumie nguvu sana. Unaweza ukawa na point fulani ila leo Singida kachezesha wachezaji wa kikosi cha kwanza.
Wachezaji wa kikosi cha kwanza ni wale wote 22 au 23 wanaopaswa kuwa kwenye timu nje ya wale walio football academy. Ila ukiniambia Singida hawakuchezesha 1St 11 hapo nakuelewa. Ña ili kuelewa sio lazima niwasikilize hao Azam mkuu.
Yanga ikifungwa kukiwa hakuna wachezaji fulani mnauliza kwani waliocheza sio wachezaji wa Yanga? Hao wachezaji waliocheza ni haki yao kucheza kwa kuwa wamesajiliwa kwa sababu hiyo
Ni kwamba uwa wanauza mechi ndio maana mechi nyingine wanacheza vizuri but ikifika kucheza na Simba utawaona wanacheza kama vile miguu Ina funza, mara wachezaji muhimu awapo na wakimalizaga tu mechi na Simba timu inarudi kwenye ubora wake sasa iyo tuiiteje?Hhahaha kwa hiyo Tabora waliuza mechi??
Nafikiri unatumia nguvu kuelewa. Ushauri tu Nenda website ya Simba wana orodha ya first team kisha baki nayo ikusaidie baadaeMbona unatumia nguvu kubwa sana kujieleza wakati Watanzania wote tunajua First 11 tafsiri yake kwa lugha ya soka ni kikosi cha kwanza mkuu
Mimi siwaelewi madunduka aiseeKumbe siku wakisajiriwa wachezaji wanagawantika kikosi cha kwanza na cha pili? Mchezaji ni mchezaji tu
Sasa timu si yao hata wakiamua kuchezesha kikosi BWakati najiuliza swali hilo hata mtangazaji wa Azam Sports Patrick Nyembera aliuliza wachambuzi wa Azam Sports swali hilo hilo.
Lakini si mimi wala hao wachambuzi walikuwa na majibu ya kueleweka.
Mbali na hilo licha ya kufungwa lakini Singida Black Stars ni kama walikuwa wanapoteza muda wenyewe kwenye mechi hiyo tofauti kabisa na mechi ya Simba kule Liti Stadium - Singida ambapo waliuma meno mwanzo mwisho.
Ni nini kinaendelea kwenye hizi mechi za Yanga??
Siku ya Tabora haya maswali hayakuulizwa hatukuwaona regular starters wengi tu ila nan aliuliza?Kumbe wewe ni maumivu na wivu tu ndio vinakusumbua auna lolote la maana,,scenario inayojitokezaga mnapocheza na Tabora Kila mtu anajua alafu unaleta hekaya za abunuwasi hapa,,Kila timu ishinde mechi zake!
Hakuna timu Tanzania yenye uthubutu wa kuchezesha kikosi B kwa mechi kama ile ya jana. Hata Simba wana kikosi B lakini huwa hawachezi.Sasa timu si yao hata wakiamua kuchezesha kikosi B
Match ya kwanza ya wanandugu jamaa alipondaWakati najiuliza swali hilo hata mtangazaji wa Azam Sports Patrick Nyembera aliuliza wachambuzi wa Azam Sports swali hilo hilo.
Lakini si mimi wala hao wachambuzi walikuwa na majibu ya kueleweka.
Mbali na hilo licha ya kufungwa lakini Singida Black Stars ni kama walikuwa wanapoteza muda wenyewe kwenye mechi hiyo tofauti kabisa na mechi ya Simba kule Liti Stadium - Singida ambapo waliuma meno mwanzo mwisho.
Ni nini kinaendelea kwenye hizi mechi za Yanga??
Ww ndio hujamuelewa , yy kasema hakuna team huwa inachezesha kikosi Cha pili kwa TanzaniaHujasoma vizuri title na kama umeisoma hujaielewa kabisa. Period
Kocha wao alieleza sababu kabla ya mchezo. Wewe kama uliangalia uchambuzi kwa nini hizo sababu umeziweka kando. Kwa ufupi kocha ndiye mwenye maamuzi ya nani acheze na na nani acheze. Wewe kwenye kazi yako nani kakuingilia? Kama unahisi Yanga ni mbovu peleka timu yako basi tuone.Wakati najiuliza swali hilo hata mtangazaji wa Azam Sports Patrick Nyembera aliuliza wachambuzi wa Azam Sports swali hilo hilo.
Lakini si mimi wala hao wachambuzi walikuwa na majibu ya kueleweka.
Mbali na hilo licha ya kufungwa lakini Singida Black Stars ni kama walikuwa wanapoteza muda wenyewe kwenye mechi hiyo tofauti kabisa na mechi ya Simba kule Liti Stadium - Singida ambapo waliuma meno mwanzo mwisho.
Ni nini kinaendelea kwenye hizi mechi za Yanga??
Kolo umeumia sana mbona bado ngoma ndiyo kwanza inaanzaAkikutakana na Simba hawi km hawa ndugu zenu. Singida black Stars it was too much, Mechi na Dodoma Jiji Mexime akaamua kumuweka kipa wa mazeozeni, Kwa Fountain Gate na KenGold ni aibu hata kusimulia
Umemsahau Tatu MalogoAcha wanunue mechi sisi tushinde kihalali ili ushindani utufanye tuwe bora zaidi kimataifa.
HeheheHakuna timu Tanzania yenye uthubutu wa kuchezesha kikosi B kwa mechi kama ile ya jana. Hata Simba wana kikosi B lakini huwa hawachezi.
Mfano mechi ya Manchester Utd Vs Spurs juzi hapa. Walikuwa na wachezaji wa kikosi cha kwanza wasio majeruhi 12 na zaidi ya wachezaji wa kikosi cha kwanza zaidi ya 10 ni majeruhi. Wachezaji 6 waliokuwa Sub sio wachezaji wa kikosi cha kwanza cha Manchester utd walitoka Academy. Ni Linderlof pekee ndio alikuwa mchezaji wa kikosi cha kwanza kwenye benchi.
Wachezaji wote walioanza mechi walikuwa wa kikosi cha kwanza ingawa si wote ni regular starter.
Singida walichezesha wachezaji wa kikosi cha kwanza ambao baadhi yao wakiwa si wanaoanza siku zote[first 11].
jonathan sowah yule aliyewasumbua sana yanga enzi zile,ni kikoso cha pili?Wakati najiuliza swali hilo hata mtangazaji wa Azam Sports Patrick Nyembera aliuliza wachambuzi wa Azam Sports swali hilo hilo.
Lakini si mimi wala hao wachambuzi walikuwa na majibu ya kueleweka.
Mbali na hilo licha ya kufungwa lakini Singida Black Stars ni kama walikuwa wanapoteza muda wenyewe kwenye mechi hiyo tofauti kabisa na mechi ya Simba kule Liti Stadium - Singida ambapo waliuma meno mwanzo mwisho.
Ni nini kinaendelea kwenye hizi mechi za Yanga??
Mlishaambiwa mechi ya Simba na Tabora Yacouba alikuwa majeruhi na Makambo alikuwa na kadi tatu za njano ila wengine wote wa first eleven walicheza msilazimishe kufananisha scenarios zenu na za Simba, mfano ile mechi yenu na Dodoma yule ni kipa namba tatu wa timu na baada ya ile mechi alisema yeye mwenyewe kwamba hakuwa na match fitness, alikuwa hajacheza mechi kumi na tatu mfululizo ghafla ndio akaja kupangwa kwenye mechi ngumu kama ile ilihali kipa wao namba moja hakuwa na tatizoKumbe wewe ni maumivu na wivu tu ndio vinakusumbua auna lolote la maana,,scenario inayojitokezaga mnapocheza na Tabora Kila mtu anajua alafu unaleta hekaya za abunuwasi hapa,,Kila timu ishinde mechi zake!
Kiwango cha tabora inapocheza na Simba uwa kikoje? Mbona uwa wanacheza utadhani wanadai mishahara? Kwanini iwe wanapocheza na Simba tu? Mechi ya yanga na Tabora aijawai kuwa rahisi uwa wanamaliza Kila kitu chao na mechi nyingine za wapinzani,,lakini Simba akifika pale anajipigia tu kuanzia goli 3 na kuendelea,,kama sio upangaji wa matokeo ni nini? Kocha kopunovich aliwai kusema kuwa alishangaa mambo yaliyokuwa yanaendelea siku Moja kabla ya mechi na Simba,,iyo tu ni ishara ya mambo ya ovyo ya kupanga matokeo kati ya Tabora na simbaMlishaambiwa mechi ya Simba na Tabora Yacouba alikuwa majeruhi na Makambo alikuwa na kadi tatu za njano ila wengine wote wa first eleven walicheza msilazimishe kufananisha scenarios zenu na za Simba, mfano ile mechi yenu na Dodoma yule ni kipa namba tatu wa timu na baada ya ile mechi alisema yeye mwenyewe kwamba hakuwa na match fitness, alikuwa hajacheza mechi kumi na tatu mfululizo ghafla ndio akaja kupangwa kwenye mechi ngumu kama ile ilihali kipa wao namba moja hakuwa na tatizo
Oohh kwahiyo na ninyi tuseme mkicheza na simba mnakamia ila mkicheza na timu zinazowafunga kama azam na tabora mnalegeza siyo, maana ninyi mko radhi mfungwe au kutoa draw na timu yoyote ile ila siyo simba, ilihali simba msimu huu wamefungwa na yanga tu kwahiyo tuseme na ninyi ni tawi la azam na tabora siyoKiwango cha tabora inapocheza na Simba uwa kikoje? Mbona uwa wanacheza utadhani wanadai mishahara? Kwanini iwe wanapocheza na Simba tu? Mechi ya yanga na Tabora aijawai kuwa rahisi uwa wanamaliza Kila kitu chao na mechi nyingine za wapinzani,,lakini Simba akifika pale anajipigia tu kuanzia goli 3 na kuendelea,,kama sio upangaji wa matokeo ni nini? Kocha kopunovich aliwai kusema kuwa alishangaa mambo yaliyokuwa yanaendelea siku Moja kabla ya mechi na Simba,,iyo tu ni ishara ya mambo ya ovyo ya kupanga matokeo kati ya Tabora na simba