Kulikuwa na sababu yeyote leo kuweka Mashada kwenye kaburi la Magufuli?

Kulikuwa na sababu yeyote leo kuweka Mashada kwenye kaburi la Magufuli?

Ni takribani miezi 6 tu imepita viongozi walikuwa Chato kuweka mashada kwenye kaburi la Magufuli mashada mengine yangalipo na hayajakauka, ni sababu zipi zimefanya tena leo kuweka mashada kwenye kaburi lile lile, kama lengo lilikuwa kuzima mwenge kwa nini wasingeitumia siku ya leo kwa shughuli iliyowapeka na kama kulikuwa na mtu angependa kutembelea kaburi kwanini asingeenda jana au kesho kupisha hii siku muhimu ya kumbukumbu ya Nyerere?

Njia nzuri ya kukumbuka siku ya marehemu ni kusafisha kaburi lake au kulitembelea na kuwafariji wafiwa, kwa vile leo ilikuwa siku ya Nyerere ilikuwa sahihi kabisa kuzuru kaburi la Nyerere na kumfariji Mama Maria badala ya kuweka maua kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 1974282
Usijidai hujui leo shughuli ilikua kuzima mwenge pale chato na kumbukizi ya kifo cha nyerere yaani nyerere day. Kwanza jiulize kwa nini mwenge kuzimwa chato kama sio kwa heshima ya magufuli. Halafu mtafika chato bila kuzuru wapi amelala magufuli?
 
Ccm iko kinyume shuguli ya nyerere baba wataifa harafu wanahaha na magufuli akiamka asikie mzee lugemalila Yuko nje huyu mama atajibu nn sijui
 
Kulikuwa na ubaya wowote? Btw Mama Mjane mwenyewe wa muhusika alikuwa huko kwenye mashada! Ushabiki mwingine ni wa kijinga kabisa
 
Usijidai hujui leo shughuli ilikua kuzima mwenge pale chato na kumbukizi ya kifo cha nyerere yaani nyerere day. Kwanza jiulize kwa nini mwenge kuzimwa chato kama sio kwa heshima ya magufuli. Halafu mtafika chato bila kuzuru wapi amelala magufuli?
Wameiharibu kabisa siku hii.
 
M
Kulikuwa na ubaya wowote? Btw Mama Mjane mwenyewe wa muhusika alikuwa huko kwenye mashada! Ushabiki mwingine ni wa kijinga kabisa
Mipango yenyewe ndiyo ya kijinga badala ya kumkumbuka Nyerere wamekumbuka kaburi la mwingine.
 
Katika vitu ambavyo Einnstein nilichelew kumumin ni pale aliposema
"Two things are infinite the universe and human stupidity; and I’m not sure about th’universe!"
Mimi niliamin kinyume chake.
Kipindi hicho ilikua lazima usielewe Mana mawazo yote usikute ilikua kuhusu bumu na mengineyo yakitaaluma nakupiga mizinga wazazi ,Sasa unapigwa wewe ndomana unakumbuka kots zawatu

Hiyo ndo babu na Bibi yetu ccm usishangae
 
Ni takribani miezi 6 tu imepita viongozi walikuwa Chato kuweka mashada kwenye kaburi la Magufuli mashada mengine yangalipo na hayajakauka, ni sababu zipi zimefanya tena leo kuweka mashada kwenye kaburi lile lile, kama lengo lilikuwa kuzima mwenge kwa nini wasingeitumia siku ya leo kwa shughuli iliyowapeka na kama kulikuwa na mtu angependa kutembelea kaburi kwanini asingeenda jana au kesho kupisha hii siku muhimu ya kumbukumbu ya Nyerere?

Njia nzuri ya kukumbuka siku ya marehemu ni kusafisha kaburi lake au kulitembelea na kuwafariji wafiwa, kwa vile leo ilikuwa siku ya Nyerere ilikuwa sahihi kabisa kuzuru kaburi la Nyerere na kumfariji Mama Maria badala ya kuweka maua kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 1974282
Hakukuwa na sababu ni siasa tu
 
Ni takribani miezi 6 tu imepita viongozi walikuwa Chato kuweka mashada kwenye kaburi la Magufuli mashada mengine yangalipo na hayajakauka, ni sababu zipi zimefanya tena leo kuweka mashada kwenye kaburi lile lile, kama lengo lilikuwa kuzima mwenge kwa nini wasingeitumia siku ya leo kwa shughuli iliyowapeka na kama kulikuwa na mtu angependa kutembelea kaburi kwanini asingeenda jana au kesho kupisha hii siku muhimu ya kumbukumbu ya Nyerere?

Njia nzuri ya kukumbuka siku ya marehemu ni kusafisha kaburi lake au kulitembelea na kuwafariji wafiwa, kwa vile leo ilikuwa siku ya Nyerere ilikuwa sahihi kabisa kuzuru kaburi la Nyerere na kumfariji Mama Maria badala ya kuweka maua kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 1974282
Kama Sherehe za kuzima mwenge umefanyika kitaifa Chato. Sioni tatizo mtu kwenda kwenye kaburia la Hayati Magufuli. Magufuli katendea mema nchi yetu tutamkumbuka kwa mema.



Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kulikuwa na ubaya wowote? Btw Mama Mjane mwenyewe wa muhusika alikuwa huko kwenye mashada! Ushabiki mwingine ni wa kijinga kabisa
Kwahiyo mama mjane Maria kaenda Chato kumfariji Mama janeth Magufuli.
 
Yule bwana hata akiwekewa mashada ya dhahabu hawezi kuamka, fanyeni mambo mengine huyo kwa sasa ni mkazi(kihaya) wa kuzimu
Yaan wanamuogopa mtu ambae kishabakaia mifupa!! Sasa hayo mashada siwangeenda kuweka kwenye kaburi la nyerere
 
Acheni unafiki,Nyerere kafinyiwa iyo kumbukizi mara ngapi?
Limefagiliwa na kutiwa maua mara ngapi?
Mara hii tukio linafanyika chato na marehemu mpya hata mwaka hajamaliza mwaka,ndo mnaona wivu watu kwenda kusalimu na kuawpa pole wafiwa.?

Kuna mijitu inawivu mpk kwa Marehemu,
Pohoo....ptuuu....koho..koh...koh.
Ptuuuuuuu...
 
Acheni unafiki,Nyerere kafinyiwa iyo kumbukizi mara ngapi?
Limefagiliwa na kutiwa maua mara ngapi?
Mara hii tukio linafanyika chato na marehemu mpya hata mwaka hajamaliza mwaka,ndo mnaona wivu watu kwenda kusalimu na kuawpa pole wafiwa.?

Kuna mijitu inawivu mpk kwa Marehemu,
Pohoo....ptuuu....koho..koh...koh.
Ptuuuuuuu...
kumbukizi ya muda gani? jiwe alifariki lini na leo ni lini
 
Ni takribani miezi 6 tu imepita viongozi walikuwa Chato kuweka mashada kwenye kaburi la Magufuli mashada mengine yangalipo na hayajakauka, ni sababu zipi zimefanya tena leo kuweka mashada kwenye kaburi lile lile, kama lengo lilikuwa kuzima mwenge kwa nini wasingeitumia siku ya leo kwa shughuli iliyowapeka na kama kulikuwa na mtu angependa kutembelea kaburi kwanini asingeenda jana au kesho kupisha hii siku muhimu ya kumbukumbu ya Nyerere?

Njia nzuri ya kukumbuka siku ya marehemu ni kusafisha kaburi lake au kulitembelea na kuwafariji wafiwa, kwa vile leo ilikuwa siku ya Nyerere ilikuwa sahihi kabisa kuzuru kaburi la Nyerere na kumfariji Mama Maria badala ya kuweka maua kwenye kaburi la Magufuli.

View attachment 1974282
Siyo vizuri kufanya siasa kwenye vifo vya viongozi wetu...Fanyeni siasa kwenye mambo mengine tuwaenzi viongozi wetu kwakuwapumzisha na mivutano kama hii isiyo na tija....Roho zao zipumzike kwa amani!
 
Acheni unafiki,Nyerere kafinyiwa iyo kumbukizi mara ngapi?
Limefagiliwa na kutiwa maua mara ngapi?
Mara hii tukio linafanyika chato na marehemu mpya hata mwaka hajamaliza mwaka,ndo mnaona wivu watu kwenda kusalimu na kuawpa pole wafiwa.?

Kuna mijitu inawivu mpk kwa Marehemu,
Pohoo....ptuuu....koho..koh...koh.
Ptuuuuuuu...
Uchonganishi wao umekuwa neutralized sasa wanakuja na mbinu nyingine ya kuleta divisions kwa watanzania....Hawa ndugu laana itawasumbua sana!
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Back
Top Bottom