Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,160
- 9,151
And some people take everything serious for no good reasonPolitikisi tu, nathingi moo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And some people take everything serious for no good reasonPolitikisi tu, nathingi moo
Mama bado anaendeshwa na mihemko ya Sukuma gang.Ni takribani miezi 6 tu imepita viongozi walikuwa Chato kuweka mashada kwenye kaburi la Magufuli mashada mengine yangalipo na hayajakauka, ni sababu zipi zimefanya tena leo kuweka mashada kwenye kaburi lile lile, kama lengo lilikuwa kuzima mwenge kwa nini wasingeitumia siku ya leo kwa shughuli iliyowapeka na kama kulikuwa na mtu angependa kutembelea kaburi kwanini asingeenda jana au kesho kupisha hii siku muhimu ya kumbukumbu ya Nyerere?
Njia nzuri ya kukumbuka siku ya marehemu ni kusafisha kaburi lake au kulitembelea na kuwafariji wafiwa, kwa vile leo ilikuwa siku ya Nyerere ilikuwa sahihi kabisa kuzuru kaburi la Nyerere na kumfariji Mama Maria badala ya kuweka maua kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 1974282
Sikuelew kwa sabab sikuamin ujinga ni infinity.Kipindi hicho ilikua lazima usielewe Mana mawazo yote usikute ilikua kuhusu bumu na mengineyo yakitaaluma nakupiga mizinga wazazi ,Sasa unapigwa wewe ndomana unakumbuka kots zawatu
Hiyo ndo babu na Bibi yetu ccm usishangae
Kaburi la Diana mke wa mwana wa malkia wa Uingereza bado wanamuwekea mashada ya maua na ili hali kafa kitambo! Ni dalili za upendo tu! JPM alipendwa sana.Ni takribani miezi 6 tu imepita viongozi walikuwa Chato kuweka mashada kwenye kaburi la Magufuli mashada mengine yangalipo na hayajakauka, ni sababu zipi zimefanya tena leo kuweka mashada kwenye kaburi lile lile, kama lengo lilikuwa kuzima mwenge kwa nini wasingeitumia siku ya leo kwa shughuli iliyowapeka na kama kulikuwa na mtu angependa kutembelea kaburi kwanini asingeenda jana au kesho kupisha hii siku muhimu ya kumbukumbu ya Nyerere?
Njia nzuri ya kukumbuka siku ya marehemu ni kusafisha kaburi lake au kulitembelea na kuwafariji wafiwa, kwa vile leo ilikuwa siku ya Nyerere ilikuwa sahihi kabisa kuzuru kaburi la Nyerere na kumfariji Mama Maria badala ya kuweka maua kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 1974282
NdiyoJibu hoja acha kuingiza uchama, kwahiyo kila wakienda Chato lazima waweke maua kwenye kaburi lake.
Ata marehemu naye unamuonea wivu[emoji15][emoji15][emoji15] kufa nawewe kama unaona anafaidi sana kuwekewa maua.
Eee Magufuli ni mwasisi wa Tanzania mpyaJibu hoja acha kuingiza uchama, kwahiyo kila wakienda Chato lazima waweke maua kwenye kaburi lake.
Ulimchukia jumla Magufuli wewe kibakaNi takribani miezi 6 tu imepita viongozi walikuwa Chato kuweka mashada kwenye kaburi la Magufuli mashada mengine yangalipo na hayajakauka, ni sababu zipi zimefanya tena leo kuweka mashada kwenye kaburi lile lile, kama lengo lilikuwa kuzima mwenge kwa nini wasingeitumia siku ya leo kwa shughuli iliyowapeka na kama kulikuwa na mtu angependa kutembelea kaburi kwanini asingeenda jana au kesho kupisha hii siku muhimu ya kumbukumbu ya Nyerere?
Njia nzuri ya kukumbuka siku ya marehemu ni kusafisha kaburi lake au kulitembelea na kuwafariji wafiwa, kwa vile leo ilikuwa siku ya Nyerere ilikuwa sahihi kabisa kuzuru kaburi la Nyerere na kumfariji Mama Maria badala ya kuweka maua kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 1974282
Ni takribani miezi 6 tu imepita viongozi walikuwa Chato kuweka mashada kwenye kaburi la Magufuli mashada mengine yangalipo na hayajakauka, ni sababu zipi zimefanya tena leo kuweka mashada kwenye kaburi lile lile, kama lengo lilikuwa kuzima mwenge kwa nini wasingeitumia siku ya leo kwa shughuli iliyowapeka na kama kulikuwa na mtu angependa kutembelea kaburi kwanini asingeenda jana au kesho kupisha hii siku muhimu ya kumbukumbu ya Nyerere?
Njia nzuri ya kukumbuka siku ya marehemu ni kusafisha kaburi lake au kulitembelea na kuwafariji wafiwa, kwa vile leo ilikuwa siku ya Nyerere ilikuwa sahihi kabisa kuzuru kaburi la Nyerere na kumfariji Mama Maria badala ya kuweka maua kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 1974282
Kwani tarehe ya mwenge kuzimwa ilipangwa lini? Naona sukuma gang bado ni tishio kwa magaidiWaliamua kuwahada sukuma gang. Mbunge wa pale Chato katumbuliwa uwaziri. Sukuma gang chalii , ila wanahadaiwa.
Kwa nini Nyerere hajawekewa maua leo siku yake?
Hili jambo limenisikitisha Sana ,kwenda tuu kwao kusalimia ndugu zake ingetosha,mwenye shughuli ni mama Nyerere.Ni takribani miezi 6 tu imepita viongozi walikuwa Chato kuweka mashada kwenye kaburi la Magufuli mashada mengine yangalipo na hayajakauka, ni sababu zipi zimefanya tena leo kuweka mashada kwenye kaburi lile lile, kama lengo lilikuwa kuzima mwenge kwa nini wasingeitumia siku ya leo kwa shughuli iliyowapeka na kama kulikuwa na mtu angependa kutembelea kaburi kwanini asingeenda jana au kesho kupisha hii siku muhimu ya kumbukumbu ya Nyerere?
Njia nzuri ya kukumbuka siku ya marehemu ni kusafisha kaburi lake au kulitembelea na kuwafariji wafiwa, kwa vile leo ilikuwa siku ya Nyerere ilikuwa sahihi kabisa kuzuru kaburi la Nyerere na kumfariji Mama Maria badala ya kuweka maua kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 1974282
Kilichofanyika leo ni sawa na siku ya Pasaka kusherehekewa siku ya Idi el Haji, hakuna uhusiano kabisa. Kila adhimisho Lina siku yake, leo ni Nyerere day, Magufuli day ni March 17. Washauri wa Rais Samia wamemdhalilisha Mwalimu na mjane mama Maria. Mashada ya maua yangewekwa Butiama siyo Chato, huu upuuzi wa kuadhimisha Pasaka siku ya Idi usirudiwe tena, kila adhimisho Lina siku yake.Ni takribani miezi 6 tu imepita viongozi walikuwa Chato kuweka mashada kwenye kaburi la Magufuli mashada mengine yangalipo na hayajakauka, ni sababu zipi zimefanya tena leo kuweka mashada kwenye kaburi lile lile, kama lengo lilikuwa kuzima mwenge kwa nini wasingeitumia siku ya leo kwa shughuli iliyowapeka na kama kulikuwa na mtu angependa kutembelea kaburi kwanini asingeenda jana au kesho kupisha hii siku muhimu ya kumbukumbu ya Nyerere?
Njia nzuri ya kukumbuka siku ya marehemu ni kusafisha kaburi lake au kulitembelea na kuwafariji wafiwa, kwa vile leo ilikuwa siku ya Nyerere ilikuwa sahihi kabisa kuzuru kaburi la Nyerere na kumfariji Mama Maria badala ya kuweka maua kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 1974282
Acha kujitoa ufahamu, unajua ni kwa nini watu wameenda Chato, ila ni kutafuta umaarufu rahisi ndiyo kunawaponza CDMKwahiyo mama mjane Maria kaenda Chato kumfariji Mama janeth Magufuli.
Mbaya ni nini kumkumbuka Jiwe, kama mwenge mwaka ujao ukienda kuzimwa Lupaso, ambayo itakuwa kilele cha Nyerere day na Siku ya vijana, then kwa mtazamo wako viongozi wataoenda kule wasiende kuweka mashada kwenye kaburi la Mkapa kisa ni Nyerere day?M
Mipango yenyewe ndiyo ya kijinga badala ya kumkumbuka Nyerere wamekumbuka kaburi la mwingine.