Kulikuwa na uhalali gani kwa Chief Mkwawa kutambulika kama 'Shujaa?

Unajua ni kwanini Rais Samia anamshinda Tundu Lissu? Ni kwa sababu yule kiwete wa Ubelgiji hana jipya na watanzania wamechoka kelele zake
 
Unajua ni kwanini Rais Samia anamshinda Tundu Lissu? Ni kwa sababu yule kiwete wa Ubelgiji hana jipya na watanzania wamechoka kelele zake
Acheni kuweweseka nyie Wapinzani. Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu.
 
Hivi wewe bado unaamini hizi history fake, leo kane ya 21 humgusi mgerumani hiyo miaka nguvu ya kupigana nao tulitoa wapi? History ina uwongo kibao mara sijui vita vya majimaji hawakupigana huku Town mzizima wakapigane porini kule. Hata hayo mambo sijui babu zetu walichukuliwa watumwa mimi sijawahi kusikia family yoyote ku report babu is missing. Vita vya Uganda tuliambiwa jamaa ana kichwa cha nyoka tukawa tunaamini tukaambiwa leo kachinja mtoto wake kamla tukaamini......
 
Nasikia hata Makomandoo vitani au kwenye operesheni zao huwa wana vidonge vya sumu kiasi kwamba akitekwa fasta anameza ili afe kutunza siri
 
Katika uwanja wa vita askari yeyote anayejiua kwa nia kukwepa kukamatwa na adui Kama mateka anastahili na ana sifa zote za kuitwa shujaa kwani anakuwa ameokoa wenzake kwa maana endapo atakamatwa na adui lazima atabanwa atoe Siri zao,jinsi ya mapigano yao,mafunzo yao, walipo wenzake(ngome), kiongozi wao, mipango yao ya baadae, na aina zao za silaha hizi huwa Ni habari muhimu ambazo adui yako anazihitaji sana, hivyo kujiua kwake kuliokoa mambo mengi kwa faida ya wenzake
 
Nimesoma na mmoja wa akina Mkwawa yeye anapinga kabisa kuwa Chifu alijiua. Huyo mjukuu anadai kuwa babu yao huyo alikuwa Muislam safi anayejitambua aliyejua kuwa kujiua ni haramu katika Uislam kwahiyo asingeweza kujiua. Kwa maelezo hayo inawezekana Mkwawa aliuawa na Wajerumani.
 
Ulikuwepo mstari wa mbele kwenye uwanja wa mapigano? Tukisema wewe ndiye uliyemkata kicha Brigadier Mkwawa ili uchukue nafasi yake tutakua tuko sahihi?
 
Historia nyingi huwa zinadanganya, Mkwawa alipigana na Waafrika wenzake (mamluki) waliokuwa wanaongozwa na Wajerumani. Tukielewa hili tutakuwa tumejua nanna ya kuelezea simulizi hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…