Ukute mumeo kazini anajisifu kuwa ana mke ana akiliš¤£Je hakuna maeneo mengine Dar es Salaam ambako tungeweza kujenga kwa gharama ndogo zaidi ? Maana gharama kubwa kwa haraka ni sababu ya location ya Masaki . View attachment 2675261
Tumalize ya bandari zetu kwanzaJe hakuna maeneo mengine Dar es Salaam ambako tungeweza kujenga kwa gharama ndogo zaidi ? Maana gharama kubwa kwa haraka ni sababu ya location ya Masaki . View attachment 2675261
Nashukuru wameufanyia Kazi ushauri wa mzee Mzee Mgaya na johnthebaptistMimi nawapongeza kwa kufanikiwa kujenga ofisi mpya na ya kisasa. Maana ile ya mwanzo ya kukodi pale Ufipa, ilikuwa inawadhalilisha.
Je hakuna maeneo mengine Dar es Salaam ambako tungeweza kujenga kwa gharama ndogo zaidi ? Maana gharama kubwa kwa haraka ni sababu ya location ya Masaki . View attachment 2675261
Hujui kwamba hata location ina impacts kwenye kuji brand??Je hakuna maeneo mengine Dar es Salaam ambako tungeweza kujenga kwa gharama ndogo zaidi ? Maana gharama kubwa kwa haraka ni sababu ya location ya Masaki . View attachment 2675261
sawa sasa turudi kwenye bandari yetu na dp worldNashukuru wameufanyia Kazi ushauri wa mzee Mzee Mgaya na johnthebaptist
Na mijanamke yenye matako hujiamini inaweza kila kitu kumbe ubongo wote huchuliwa na makalio yao kama huyo mleta madaUkute mumeo kazini anajisifu kuwa ana mke ana akiliš¤£
Kama mtu alikuwa katika upangaji na akafanikiwa kujenga nyumba yake mwenyewe nadhani anastahili kupongezwa. Gharama za nyumba aachiwe mwenyewe. Maana akijenga yenye thamani ndogo atasemwa na akijenga yenye thamani kubwa napo atasemwa.criticism kwa Chadema ni kubwa kuliko kwa watawala waliotengeneza Chimwaga kwa kodi zenu?
Mkuu ina maana huyu ni nke wa ntu?Ukute mumeo kazini anajisifu kuwa ana mke ana akiliš¤£
Ni pesa za wananchiKama mtu alikuwa katika upangaji na akafanikiwa kujenga nyumba yake mwenyewe nadhani anastahili kupongezwa. Gharama za nyumba aachiwe mwenyewe. Maana akijenga yenye thamani ndogo atasemwa na akijenga yenye thamani kubwa napo atasemwa.
Cha msingi mtu amepata kwake basi!!!!!!!
Hiyo nyumba haikujengwa na Chadema kama ofisi yao. Ni ama wameamua kupanga sehemu nyingine yenye hadhi au wameiunununua (na huenda kwa mkopo) katika kujiandaa na uchaguzi ujao. Neno acquire halimaanishi built.Kama mtu alikuwa katika upangaji na akafanikiwa kujenga nyumba yake mwenyewe nadhani anastahili kupongezwa. Gharama za nyumba aachiwe mwenyewe. Maana akijenga yenye thamani ndogo atasemwa na akijenga yenye thamani kubwa napo atasemwa.
Cha msingi mtu amepata kwake basi!!!!!!!
Na bandari zetu ni mali ya nani vile?Ni pesa za wananchi
Hakikasawa sasa turudi kwenye bandari yetu na dp world