Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Je hakuna maeneo mengine Dar es Salaam ambako tungeweza kujenga kwa gharama ndogo zaidi ? Maana gharama kubwa kwa haraka ni sababu ya location . View attachment 2675261
Kweli pesa za wajinga huliwa kijinga . Watanzania tunaonewa sana .
RNA anadai... Chama changu chadema š¤£š¤£š¤£š¤£