Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je hakuna maeneo mengine Dar es Salaam ambako tungeweza kujenga kwa gharama ndogo zaidi ? Maana gharama kubwa kwa haraka ni sababu ya location ya Masaki . View attachment 2675261
Acha upumbavu, muliishabikia ACT walipozindua ofisi yao na kuiponda Chadema, leo mshageuka MAVI yenu.Upigaji tuu Benjamin Netanyahu
Uko sahihiUkute mumeo kazini anajisifu kuwa ana mke ana akili🤣
Acha upumbavu, muliishabikia ACT walipozindua ofisi yao na kuiponda Chadema, leo mshageuka MAVI yenu.
Umesema kweliUpigaji tuu Benjamin Netanyahu
Wewe ndio mjinga hiyo bil 2 huoni kama ni pesa kubwa ?Acha upumbavu, muliishabikia ACT walipozindua ofisi yao na kuiponda Chadema, leo mshageuka MAVI yenu.
HawatakuelewaUpigaji tuu Benjamin Netanyahu
Dodoma lini?criticism kwa Chadema ni kubwa kuliko kwa watawala waliotengeneza Chimwaga kwa kodi zenu?
Je hakuna maeneo mengine Dar es Salaam ambako tungeweza kujenga kwa gharama ndogo zaidi ? Maana gharama kubwa kwa haraka ni sababu ya location . View attachment 2675261
Kweli pesa za wajinga huliwa kijinga . Watanzania tunaonewa sana .
Wapuuzi watupu nyie.Je hakuna maeneo mengine Dar es Salaam ambako tungeweza kujenga kwa gharama ndogo zaidi ? Maana gharama kubwa kwa haraka ni sababu ya location . View attachment 2675261
Kweli pesa za wajinga huliwa kijinga . Watanzania tunaonewa sana .
Wanajuwa wamenyimwa agenda ya ofisi huku swala la bandari zimewachanganya na kichaka chakujificha kimechomwa moto,,Mmeanza tena. Daah...! Binadamu bwana hasa Watanzania hatuna lililo sawa. Ile ofisi ya mwanzo kutwa mlikuwa mnaiponda Chadema kwa ile ofisi ya ufipa. Wamejenga ofisi nzuri,tayari yameanza tena maneno.
WAJINGA MNAZIDI KUONGEZEKA ENDELEENI NA HUO UJINGAJe hakuna maeneo mengine Dar es Salaam ambako tungeweza kujenga kwa gharama ndogo zaidi ? Maana gharama kubwa kwa haraka ni sababu ya location . View attachment 2675261
Kweli pesa za wajinga huliwa kijinga . Watanzania tunaonewa sana .