4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Je hakuna maeneo mengine Dar es Salaam ambako tungeweza kujenga kwa gharama ndogo zaidi ? Maana gharama kubwa kwa haraka ni sababu ya location . View attachment 2675261
Kweli pesa za wajinga huliwa kijinga . Watanzania tunaonewa sana .
Unazungumzia ofisi za chama, wakati mnakabidhi mwekezaji bandari za nchi kwa pesa za madafu ,pumbavu