Elections 2015 Kulinda kura: Wakili Peter Kibatala afungua kesi Mahakama Kuu

Elections 2015 Kulinda kura: Wakili Peter Kibatala afungua kesi Mahakama Kuu

Aisee safi sana brother mungu akubaliki kuna watu wanadhani hii nchi ni ya upande mmoja tu, hawajui kwamba hii nchi ni yetu sote.
 
Kesi itapangiwa muda wa kusikilizwa tarehe 26

No. Ipo under certificate of urgency. Unakumbuka ile kesi ya escrow kuzuia bunge lisijadili ile issue, ililetwa asubuhi mchana huo huo ikasikilizwa na amri ikatolewa, ila kwa mkono wa Mungu amri ya mahakama ilitumia neno lenye utata na ikapelekea bunge kuendelea na mjadala.
 
Aiseeee kwel jino kwa jino wataelewa tu kwel haya mambo ulipo tupo nishida
 
Watakutana na wanasheria nguli wa serikali ndipo tutaona ukweli,hapo ni hoja ndito zitawapa ruhusa kulinda kura napo bado ni ngumu
 
Tunawaombea kwa Mungu watetezi wetu,kila la kheri..
 
Naaam, eti hata rais wa nchi anavunja sheria live! Kwanini sheria hii walishindwa kubadili kwa hati ya dharula?

Walikua na uhakika na zile mbinu zingine sasa zimefeli na uku muda umekwisha ndio maana wanahaha kama mchwa kutafuta kwenye mianya ili waitumie hiyo mianya. Tulikua tunamshangaa Mr. Nkunzinza kule burundi kumbe na Tz wapo akina Nkurunzinza
 
Hapa ndiyo pazuri ila naomba UKAWA wasizubaishwe hapa bali wathibiti mianya yote ya kusimamia kura
 
Ndio uzuri Wa kuwa na wanasheria wenye weledi Wa hali ya juu huyu Kibatala ni tishio kwa maccm.
 
Tayari wakili jembe na nguli Peter Kibatala akiambatana na wanasheria nguli wa Ukawa Prof Safari, Mallya na Tundu Lissu asubuhi ya leo amefungua kesi mahakama kuu kuishitaki NEC kwa ukiukwaji wa sheria juu ya wananchi kukaa mita mia mbili na kulinda kura. Tayari jalada lishapelekwa kwa pilato na wanasheria nguli wa Ukawa wamejipanga kwa hoja za nguvu na ushahidi wa kutosha.
Pia jopo la wanasheria nguli wa Ukawa wameiomba mahakama kuu ya Tanzania kutoa tafsiri ya kisheria juu ya matamshi ya rais wa nchi kuwa alitumia mamlaka gani kuvaa kazi za tume.

Ukiwa na mtoto sijui anajiita UKAWA ni bora ukabadilishana na Lowassa akakupa kuku unywe mchuzi.Ili awe anamdekia barabara na kulinda kura.Yaani mtu asifanye kazi akakae kituoni anamlindia KULA Fred Lowassa.AKILI AU TOPE???!!Huyu Kibatala yupo kazini nadhani analipwa na FISADI LOWASSA.
 
Watakutana na wanasheria nguli wa serikali ndipo tutaona ukweli,hapo ni hoja ndito zitawapa ruhusa kulinda kura napo bado ni ngumu

Wanasheria nguli wakasababisha serikali idaiwe mabillion kwa kesi wanazochemsha kila wakati?
 
Ukiwa na mtoto sijui anajiita UKAWA ni bora ukabadilishana na Lowassa akakupa kuku unywe mchuzi.Ili awe anamdekia barabara na kulinda kura.Yaani mtu asifanye kazi akakae kituoni anamlindia KULA Fred Lowassa.AKILI AU TOPE???!!Huyu Kibatala yupo kazini nadhani analipwa na FISADI LOWASSA.
kwani ajabu ni nini mkuu???,yaani upige kura harafu uziache wahuni wazichakachue ndio umefanya nini???,si bora ungelala kwenu tu.
Anauza sura tu hana jipya ni kawaida yake kuuza sura.

:-D:-Dna mwenyekiti yeye aliuza nini wakati analopoka dodoma???.
 
Back
Top Bottom