one nronga
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 414
- 163
Wanasheria nguli ni aina ya akina werema au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..,Ninapoishi (nyumbani) ni mita chini ya mia moja kutoka kituo cha kupiga kura. Sijui itanibidi nihame na familia baada ya kupiga kura au itakuwa vipi? Wanajukwaa ninaomba ushauri.
Asanteni sana.
vitisho hivyo wapelekeeni mazezeta wenzenu wa fisiem, kila siku mitaani watu wanakusanyika kwenye misiba na harusi bila vibali iweje mkusanyiko wa kusubiria matokeo ya hatma ya maisha yao kwa miaka mitano ijayo ndio ihitahi hicho kibali?Polisi wanakuambia, mkusanyiko wowote ule unatakiwa kuwa na kibali.
Hivyo, kabla hamjabaki kwenye hayo maeneo mtakayobaki, hakikisheni mmepata vibali vya polisi ili kwa mujibu wa sharia., ila watu wakibaki bila kibali cha polisi, huo ni uvunjifu wa amani.
SIdhani kama ni hekima kuwaambia watu wabaki vituoni. Fikiria
1. Ukawa mmewaambia watu wenu wabaki
2. CCM watuambie watu tubaki
3. ACT wawaambie watu wao wabaki
4-8 na vyama vingine wawaambie watu wao wabaki
Je, nini kitatokea kwenye hayo makundi yatakayobaki kama sio uvunjifu wa amani? hivi mnafikiri amani ikivunjika na wewe utakatiwa ticket ya ndege kwenda nje au ni hao viongozi wanaowahamasisha tu ambao tayari wengi wao wanavisa za kwenda nje ya nchi tayari? akili za kuambiwa, changanyeni na za kwenu.
A QUOTE FROM JAMII FORUMS MEMBER CALLED UTAMADUNI
Mimi Nitakuwa Wa Kwanza Kuwapeleka Ma Ccm The Hague! Wakamsalimie Fatouh Bensouda.
Kesi itapangiwa muda wa kusikilizwa tarehe 26
Mkuu wala liberal approach haihitajiki kwani kifungu kipo wazi kabisa kuwa kukaa mita mia mbili toka sehemu ya kupigia kura sio kosa. Ila haisemi mkiwa hapo muwe kwa ajili ya kulinda kura. Kwa hiyo watu wakae mita hizo mia mbili ila polisi wakija wasiseme tupo hapa tunalinda kura hata kama mioyoni mwao lengo ni kulinda kura.
Mkuu wala liberal approach haihitajiki kwani kifungu kipo wazi kabisa kuwa kukaa mita mia mbili toka sehemu ya kupigia kura sio kosa. Ila haisemi mkiwa hapo muwe kwa ajili ya kulinda kura. Kwa hiyo watu wakae mita hizo mia mbili ila polisi wakija wasiseme tupo hapa tunalinda kura hata kama mioyoni mwao lengo ni kulinda kura.
Mie nitadeal nae kwa kuzomea picha yake kila nikiiona!!Actually wamemshtaki Kikwete. Huyu bwana uropokaji wake utakuja kumponza. Acha amalize Urais wake ili watu waanze kudeal nae.
Jaji yoyote yule hapa anatoa hukumu sahihi bila wasiwasi huku akipiga mluzi na akicheza cheza na htc yake coz JK at this point hana madhara kwake!Ndugu yangu hiyo ni hofu ya wengi kwani nao majudges ni wateule wao kwa maana ya ajira ingawa wakishawateua hawana uwezo wa kuwatimua. Tuombe mungu awe upande wetu.