Elections 2015 Kulinda kura: Wakili Peter Kibatala afungua kesi Mahakama Kuu

Elections 2015 Kulinda kura: Wakili Peter Kibatala afungua kesi Mahakama Kuu

ndio raha ya kua na viongozi watetezi na majasiri..
LAKINI
tatizo liko palepale
kesi ya ngedere kumpelekea nyani !!
 
nimesikia leo wanasema kusubiria matokeo ni kuweka mkusanyiko usio na kibari!

Hii inaitwa kifo ya nyani ikifika miti yote huteleza. Nasema hivyo kwa sababu hata mahakamani hao watu hawatakutwa na hatia zaidi ya kuwapa usumbufu hivyo kuchochea hasira ya kijamii.
 
nimesikia leo wanasema kusubiria matokeo ni kuweka mkusanyiko usio na kibari!

Hii inaitwa kifo ya nyani ikifika miti yote huteleza. Nasema hivyo kwa sababu hata mahakamani hao watu hawatakutwa na hatia zaidi ya kuwapa usumbufu hivyo kuchochea hasira ya kijamii. Na zaidi sana hakuna sheria inayosema uombe kibali cha mkusanyiko, polisi wamekuwa wakilazimishia tu, wameshindwa kesi nyingi mahakamani za aina hiyo. Sheria inasema utoe taarifa ili kupata ulinzi wa polisi. Sasa mkusanyiko wa kulinda kura utakuwa pale kila mtu kivyake thus informal one.
 
Usichokijua ni kuwa sheria ya Uchaguzi inasema siku ya kupiga kura hakutakuwa na mikusanyiko ya kisiasa.Mikusanyiko yote ya kisiasa mwisho wake ni siku ya mwisho wa kampeni ambayo ni tarehe 24 octoba 2015.Ukikusanya watu wako siku hiyo ya uchaguzi wawe wana UKAWA au CCM wakajikusanya mahali ni kosa kisheria.

Pili kwa mujibu wa sheria zinazohusu mikusanyiko ni lazima kutoa taarifa polisi kuwa kutakuwa na mkusanyiko mahali fulani na kwa lengo gani. Hivyo kama kurtakuwa na watu wenye lengo la kukusanyika popote inabidi wawasilishe maombi yao polisi wakijieleza wao ni akina nani ili wapewe ulinzi wa polisi

Tatu kuna sheria ya ardhi.Unaposema utakusanyika hapo kwenye mita 200 hilo eneo ni mali ya baba yako au mama yako? Huyo mwenye miliki ya hiyo ardhi karidhia? Hivyo kama kuna watu watakaotaka kukusanyika ni lazima wapeleke kibali cha mwenye eneo kuwa karidhia eneo lake litumike kwa mikusanyiko.Na kwamba mikusanyiko hiyo haitakuwa kero wala bugudha kwa wakazi wa eneo husika,majirani n.k Maana kama watu watajiamulia kukusanyika hiyo mita mia 200 bila mwenye eneo lake kuridhia ina maana ni uvamizi wa ardhi ya mtu bila ridhaa yake.Na huo ni uvunjifu wa amani kwenye eneo la watu.Hivyo Mahakama lazima iangalie maslahi ya wenye maeneo maeneo yao yasije vamiwa SIKU YA KUPIGA KURA NA KUKALIWA KWA MABAVU na hao wanaojiita walinda kura.

Polisi kwa kuliona hilo kuwa kutakuwa na uvunjaji sheria kwa watu kuvamia maeneo ya watu na kujikusanya wakasema kila mtu aende kwake asubirie kwake.Sababu vituo vya kupigia kura haviko mbali na makazi ya watu.Kwa nini watu wakae kwenye viwanja vya watu? Mahakama iliangalie hilo

Kwangu sikubali mtu akusanyike WALA KUWEKA MAKALIO YAKE KWENYE ENEO LANGU NITAITA DEFENDER NA GARTI LA WASHA WASHA HARAKA WAJE NA MABOMU NA VIRUNGU WAONDOE WAVAMIZI KWENYE ENEO LANGU.

Hawa akina KIBATALA wanataka kuleta vurugu na ugomvi kati ya wenye maeneo na hao watu anaotaka wakusanyike hizo mita mia mbili sababu sio kwao ni kwa watu.

Eti bila haya lowasa na mbowe wanatoa amri mkimaliza kura kaeni mita 200.Hilo eneo wanaloamrisha watu wakae ni la baba yake au mama yake lowasa au mbowe.Sheria ya ardhi iheshimiwe majaji msimamie hilo kwa maslahi ya wenye maeneo yao.Mkiwakubalia mnawaweka wenye maeneo matatizoni.

Umepata wapi uhalali wa kuwatetea wenye maeneo wote Tanzania! Je kama kuna bar jirani watu wasiende pale. Je kama nyumbani kwangu ni jirani kabisa na kituo cha kupigia kura halafu mimi ni ukawa nikawakaribisha watu pale tunywe ni kosa. Je kama mahali hapo ni puplic road inakuwaje. Nasema siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Oh!, bahati mbaya nabishana na layman, I'm sorry.
 
Enheeeee sasa jk atajua kuwa wananchi tumeamua, wasisahau pia kosa la kutoa data za wapiga kura milioni 28 ambazo sio sahihi, watumie sheria ile iliyopelekwa bungeni kwa mswaada wa dharula na ambao aliusaini haraka sana na kwa mbwembwe nyingi.
 
Huu ndio uzuri wa chadema kudadeki ! Hatumwi mtoto dukani .
 
Enheeeee sasa jk atajua kuwa wananchi tumeamua, wasisahau pia kosa la kutoa data za wapiga kura milioni 28 ambazo sio sahihi, watumie sheria ile iliyopelekwa bungeni kwa mswaada wa dharula na ambao aliusaini haraka sana na kwa mbwembwe nyingi.
 
Ukiwa na mtoto sijui anajiita UKAWA ni bora ukabadilishana na Lowassa akakupa kuku unywe mchuzi.Ili awe anamdekia barabara na kulinda kura.Yaani mtu asifanye kazi akakae kituoni anamlindia KULA Fred Lowassa.AKILI AU TOPE???!!Huyu Kibatala yupo kazini nadhani analipwa na FISADI LOWASSA.

Hatumdekii MAGUNYOFO wala nini,TUNAMDEKIA LOWASA,na kura tunalinda.EBO.
 
Nchi gani ulinzi unafanywa na mob.Mahakama isipotezewe muda.Polisi wafanye kazi zao.

POLISI wakifanyayao na sisi walindakura tutafanyayetu!kwani petroli hazitauzwa sikuhiyo?
 
..,
Kaa nyumbani kwako lakini sio kulinda kura.usitumie vibaya uhuru wako kwa kuhamishia UKAWA yote humo

Tumekwambia kua kurazetu lazima tulinde,mbona sikuzingine walikua hawajakomalia hivi?kuna nini nyuma ya pazia?nikuulize kitu hao mapolisi mnaotegemea kwani umeambiwa wauza petrololi nao watafungiwa?ngoma droo subiri uone.
 
Tumekwambia kua kurazetu lazima tulinde,mbona sikuzingine walikua hawajakomalia hivi?kuna nini nyuma ya pazia?nikuulize kitu hao mapolisi mnaotegemea kwani umeambiwa wauza petrololi nao watafungiwa?ngoma droo subiri uone.

Nyuma ya pazia unajua mwnyewe ni vurugu za UKAWA
 
Tumekwambia kua kurazetu lazima tulinde,mbona sikuzingine walikua hawajakomalia hivi?kuna nini nyuma ya pazia?nikuulize kitu hao mapolisi mnaotegemea kwani umeamua wauza petrololi nao watafungiwa?ngoma droo subiri uone.

Nyuma ya pazia unajua mwnyewe ni vurugu za UKAWA
 
Back
Top Bottom