Elections 2015 Kulinda kura: Wakili Peter Kibatala afungua kesi Mahakama Kuu

Elections 2015 Kulinda kura: Wakili Peter Kibatala afungua kesi Mahakama Kuu

Its a good move but kwa serikali ya ccm yenye kutoa mwongozo hata kwa mahakama sitegemei jipya.
 
Mkuu wala liberal approach haihitajiki kwani kifungu kipo wazi kabisa kuwa kukaa mita mia mbili toka sehemu ya kupigia kura sio kosa. Ila haisemi mkiwa hapo muwe kwa ajili ya kulinda kura. Kwa hiyo watu wakae mita hizo mia mbili ila polisi wakija wasiseme tupo hapa tunalinda kura hata kama mioyoni mwao lengo ni kulinda kura.


Kwa hiyo shida ni kusema tunalinda KURA basi? Nawashauri CHADEMA/UKAWA wasiseme tunalinda KURA na wasiende kukaa umbali wa mita 200 tunatakiwa tusimame mita moja. Kila mwana UKAWA awahi kituoni mapema kwenye mstari lakini asipige KURA inapokaribia zamu yake arudi nyuma mpaka wana ccm wote, wazee na wanawake wamalize ndipo mafansi wa UKAWA wapige KURA cha kuzingaatia ni kuhakikisha kuwa kwenye foleni kabla ya muda wa kufunga vituo. Maana CCM wameandaa vurugu ili serikali ya 2015/20 iwe ya mseto na KWA KUMPA lOWASA UWAZIRI MKUU tuwe makini sana na hawa jamaa.
 
Pita huku na mimi nipite huku tuwabane sasa hawana pumzi imewaishia.
 
Hawa jamaa naamini kila mahali huwa wanatutia aibu kabisa sujui wakoje bana yaani hovyo sana.
 
Je tayari ameshapangiwa jaji? kwa sababu kwa maana ya hati ya dharura ilibidi Jjai kiongozi awe tayari amempangia jaji wa kusikiliza na ilibidi tayri wale jamaaa wawe wamepewa au kupelekewa documents mabalimbali za kesi. Kwa sababu mkumbuke Tuna siku tano tu za kazi kuanzia jumatatu. Na wale lazima wataomba ruhusa ya kujibu kisha ipangwe kusikilizwa, na pengine wanaweza kuja na mapingamizi ya kisheria nayo pia lazima yasikilizwe. Na tatizo lingine la sheria zetu hakuna tafsiri sahihi ya Htai ya dharura. Ndio maana lazima tufanye mmabadiliko ili tuweze kuboresha na kujenga mahakama vizuri.
 
Watakutana na wanasheria nguli wa serikali ndipo tutaona ukweli,hapo ni hoja ndito zitawapa ruhusa kulinda kura napo bado ni ngumu

Serikali always huwa haishindi kesi kwa sababu hoja zao ni za kipuuzi hivyo mawakili wanashindwa kuzitetea
 
Utabiri wangu unakaribia kutimia.

Msishange Mahakamu Kuu ikaamua kuahirisha uchaguzi mpaka hukumu itakapotolewa pamoja na shauri hilo kufunguliwa kwa hati ya dharura.
 
Utabiri wangu unakaribia kutimia.

Msishange Mahakamu Kuu ikaamua kuahirisha uchaguzi mpaka hukumu itakapotolewa pamoja na shauri hilo kufunguliwa kwa hati ya dharura.


Kwa lipi ?
Wafungua shauri wahakuomba uahirishaji wa Uchaguzi nani aje na hoja hiyo?
Joto la Nchi kisiasa limekwisha panda kwa kiasi kikubwa sana!
Kama Mahakama nayo itaingia Mtego wa Serikali CCM juu yao! Maana ni Majuzi tu majeraha ya Escrow haijaisha.

Ukiacha hali Mabilioni ya pesa zimekwisha tumika mpa sasa ,pamoja na hali tete ya Uchumi na ukame unaonyemelea kila kona ya Nchi-itakuwa kosa la mwaka kama Jaji yoyote atafikiria na kuruhusu mianya ya aina hiyo.

KATIBA MPYA WAMEIFINYANGA FINYA SASA IMEBAKI HAINA MWENYEWE HADI KWENYE UCHAGUZI HAYA SIKU 11 SIYO MBALI
 
Kwa lipi ?
Wafungua shauri wahakuomba uahirishaji wa Uchaguzi nani aje na hoja hiyo?
Joto la Nchi kisiasa limekwisha panda kwa kiasi kikubwa sana!
Kama Mahakama nayo itaingia Mtego wa Serikali CCM juu yao! Maana ni Majuzi tu majeraha ya Escrow haijaisha.

Ukiacha hali Mabilioni ya pesa zimekwisha tumika mpa sasa ,pamoja na hali tete ya Uchumi na ukame unaonyemelea kila kona ya Nchi-itakuwa kosa la mwaka kama Jaji yoyote atafikiria na kuruhusu mianya ya aina hiyo.

KATIBA MPYA WAMEIFINYANGA FINYA SASA IMEBAKI HAINA MWENYEWE HADI KWENYE UCHAGUZI HAYA SIKU 11 SIYO MBALI
Kumbuka mawakili wa serikali/Tume lazima nao waandae utetezi na usishangae wakaomba muda kuandaa utetezi huo

Isitoshe kuna washitakiwa wawil ambao ni NEC na Raisi(serikali).Sasa hapo itategemea kama NEC itajitetea kivyake na serikali nayo itajitetea kivyake.


Tusubiri maana Mahakamani hakuna kesi rahisi hasa kukiwa na mawakili makini kwa pande zote mbili zinazohusika katika kesi.

Japo hii kesi tunaiona rahisi,lakini msishangae mambo yakawa tofauti.

Najua NEC na serikali watashindwa tu katika hii kesi ila ukweli huu hauzui ucheleweshaji wa maamuzi ya mahakama zetu.
 
nawapongeza sana ukawa. tunaomba mahakama itende haki kwa maslahi mapana ya taifa letu. tunahitaji uchaguzi huru na wa haki na wenye amani.
 
Kwa hiyo shida ni kusema tunalinda KURA basi? Nawashauri CHADEMA/UKAWA wasiseme tunalinda KURA na wasiende kukaa umbali wa mita 200 tunatakiwa tusimame mita moja. Kila mwana UKAWA awahi kituoni mapema kwenye mstari lakini asipige KURA inapokaribia zamu yake arudi nyuma mpaka wana ccm wote, wazee na wanawake wamalize ndipo mafansi wa UKAWA wapige KURA cha kuzingaatia ni kuhakikisha kuwa kwenye foleni kabla ya muda wa kufunga vituo. Maana CCM wameandaa vurugu ili serikali ya 2015/20 iwe ya mseto na KWA KUMPA lOWASA UWAZIRI MKUU tuwe makini sana na hawa jamaa.

zezeta!
 
Nashukuru leo nimepima mita 200 toka kituo changu cha kupigia kura hatua zimeishia bar.Hapo itakua mwendo wa bia huku nalinda kura.
 
Back
Top Bottom