manga mseke
JF-Expert Member
- Jan 30, 2015
- 470
- 90
Hapo mnajisumbua tu miter 200 viwanja 2 vya mpira si bora billable tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru leo nimepima mita 200 toka kituo changu cha kupigia kura hatua zimeishia bar.Hapo itakua mwendo wa bia huku nalinda kura.
Na wale waliopeleka malalamiko icc na un vipi tayari wamewakilisha?
Nyerere aliwahi kusema "Wamarikani wanatulaumu kwa kuwa Makondoo kwa kukubali kila kitu tunachoambiwa na Warusi, lakini na wao wanataka tukubali kila wanalo tuambia, sisi tumekataa kuwa kondoo Kwa mtu yeyote" Kukaa kimya bila ya kulalamika kwa mabaya unayotendewa ni UKONDOO!!Chadema kwa kulalamika,angekuwa mke angeachika siku ya ndoa
kila la kheri my learned brother,I hope High Court watatoa tafsiri liberally kuhakikisha haki inapatikana
Mkuu wala liberal approach haihitajiki kwani kifungu kipo wazi kabisa kuwa kukaa mita mia mbili toka sehemu ya kupigia kura sio kosa. Ila haisemi mkiwa hapo muwe kwa ajili ya kulinda kura. Kwa hiyo watu wakae mita hizo mia mbili ila polisi wakija wasiseme tupo hapa tunalinda kura hata kama mioyoni mwao lengo ni kulinda kura.
Sheria ukiisoma lazima usome na sheria zingine.Sheria nyingi hazisimami peke yake.Kwa mfano kama kuna sheria ina sema mtanzania yuko huru kwenda popote.Usije ukasema inasema naweza kwenda popote ikiwemo msikitini mfano wewe ni mkristo ukaenda msikitini na viatu sababu kuna sheria inasema ruksa kwenda popote.Inabidi ujue na sheria zingine KUWA SALAMA.
Sheria ukiisoma lazima usome na sheria zingine.Sheria nyingi hazisimami peke yake.Kwa mfano kama kuna sheria ina sema mtanzania yuko huru kwenda popote.Usije ukasema inasema naweza kwenda popote ikiwemo msikitini mfano wewe ni mkristo ukaenda msikitini na viatu sababu kuna sheria inasema ruksa kwenda popote.Inabidi ujue na sheria zingine KUWA SALAMA.
Hatumdekii MAGUNYOFO wala nini,TUNAMDEKIA LOWASA,na kura tunalinda.EBO.