Kulingana na biblia, malaika ni viumbe wa kutisha sana.

Manoa, baba yake Samson, aliwahi kuonana na malaika (Manoa) akiwa shambani na mke wake. Manoa alimuuliza jina malaika kuwa anaitwa nani. Malaika naye akamuuliza swali Samson akasema "why do you want to know my name? It's beyond understanding"!.

Nimekwoti lugha nyingine hapa kwa sababu maneno "It's beyond understanding" hayana tafsiri inayolandana nayo vizuri katika lugha ya Kiswahili
 
Nje ya uelewa wako.
 
Fix tu..😂
Eti wanamabawa hayo mabawa wanayatumia na huko kwenye vacuum au..?
Eti wanatisha! Sasa wanatisha nani hiyo ndo kazi yao au..?
Labda watakuwa wanayatumia wakifika kwenye anga letu
 
Mungu aliviumba vimtukuze, malaika wengine ni kama burning fire.

Maumbo yao hayaelezeki,ndio maana kuna manabii wanaita viumbe/wanyama yaani walishindwa kuvielezea namna vilivyo.
Hawana miili. Ni roho
 
Malaika ni roho hivyo hawana maumbo maalum, ila huamua kuvaa umbo lolote wanapowatokea wanadamu kulingana na jambo lililowaleta.

Kipindi cha sodoma na gomora walipoenda nyumbani kwa Lutu walitamaniwa na wanaume; ingekua walivaa maumbo ya kutisha kila mtu angekimbia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]hata huyo Lutu angekimbia pia
 
Kwenye maono Ezekieli aliwaona wakiwa kwenye hali zao halisi.
 
Nasindikiza na video kabisa😆

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…