Kulingana na biblia, malaika ni viumbe wa kutisha sana.

unadhani hiyo spirit haina umbo mbele za Mungu?
ninachohisi malaika hawana maumbo kwetu sisi wa macho nyama ila katika ulimwengu wa kiroho wanayo ndiyo maana wana majina yao idents zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…