Kulingana na namna Rais Samia anavyoupiga mwingi. Basi aishi miaka mingi (Milele)

Kulingana na namna Rais Samia anavyoupiga mwingi. Basi aishi miaka mingi (Milele)

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Wakuu amani iwe nanyi. Baada ya kushuhudia mateso makuu ya kimwili na kiroho katika awamu ya Tano, naam amani imerejea rasmi maana naiona milango ya mafanikio ikifunguka mmoja baada ya mwingine.

Katika awamu hii ya sita nimeshuhudia Kwa macho yangu namna maisha ya wengi yalivyobadirika.

Vijana Sasa wanazidi kujumuishwa kwenye mipango ya maendeleo lakini pia amani ya mioyo imerejea. Binafsi ni mhanga wa siasa za awamu ya Tano kwani mambo yangu mengi yalikwama kutokana na sera na mfumo mbaya wa uongozi wa awamu Ile ya Tano.
 
Milele akiwa huko kwao hakuna neno (Sio Busara kumuombea / kufurahia kifo cha binadamu)..., ila katika uongozi !!!! labda huo mwingi akaupigie huko pengine...
 
Kuupiga mwingi kama ilivyo kufurahia unachojisikia ni mtazamo na hisia binafsi. Ninauheshimu. Ila sasa ili kumsaidia Mama tuhakikishe wanaokiri anaupiga mwingi wawe walau watanzania zaidi ya milioni 25. Halafu ili la kumlinganisha na JPM awamu ya tano ni kummaliza tu Mama kisiasa.
 
Kuupiga mwingi kama ilivyo kufurahia unachojisikia ni mtazamo na hisia binafsi. Ninauheshimu. Ila sasa ili kumsaidia Mama tuhakikishe wanaokiri anaupiga mwingi wawe walau watanzania zaidi ya milioni 25. Halafu ili la kumlinganisha na JPM awamu ya tano ni kummaliza tu Mama kisiasa.
Najua unaumia kuondokewa na JPM lakini nakuomba tu mkuu ukubaliane na hali maana dunia ndiyo ilivyo.
 
Wakuu amani iwe nanyi. Baada ya kushuhudia mateso makuu ya kimwili na kiroho katika awamu ya Tano, naam amani imerejea rasmi maana naiona milango ya mafanikio ikifunguka mmoja baada ya mwingine.

Katika awamu hii ya sita nimeshuhudia Kwa macho yangu namna maisha ya wengi yalivyobadirika.

Vijana Sasa wanazidi kujumuishwa kwenye mipango ya maendeleo lakini pia amani ya mioyo imerejea. Binafsi ni mhanga wa siasa za awamu ya Tano kwani mambo yangu mengi yalikwama kutokana na sera na mfumo mbaya wa uongozi wa awamu Ile ya Tano.
Mama Rais Samia abarikiwe sana
 
Najua unaumia kuondokewa na JPM lakini nakuomba tu mkuu ukubaliane na hali maana

Najua unaumia kuondokewa na JPM lakini nakuomba tu mkuu ukubaliane na hali maana dunia ndiyo ilivyo.
Kuumia hapana,kifo ni hakika kwa kila chenye uhai,ninamkumbuka tu mnapolinganisha awamu kwakuwa yapo mema ya awamu ya 6 kama ambavyo yapo ya awamu nyingine. Ndio maana Mama yetu Samia aliwahi sema ataenzi na kuendeleza mema ya awamu zote.
 
Wakuu amani iwe nanyi. Baada ya kushuhudia mateso makuu ya kimwili na kiroho katika awamu ya Tano, naam amani imerejea rasmi maana naiona milango ya mafanikio ikifunguka mmoja baada ya mwingine.

Katika awamu hii ya sita nimeshuhudia Kwa macho yangu namna maisha ya wengi yalivyobadirika.

Vijana Sasa wanazidi kujumuishwa kwenye mipango ya maendeleo lakini pia amani ya mioyo imerejea. Binafsi ni mhanga wa siasa za awamu ya Tano kwani mambo yangu mengi yalikwama kutokana na sera na mfumo mbaya wa uongozi wa awamu Ile ya Tano.
Unajua maana ya milele?
 
Rekebisha hapo kwenye Aishi mile hapako sawa
 
Back
Top Bottom