Hardbody
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 4,139
- 4,640
Mkuu hii naichukua kama reference ntaangalia Jaji atatoa maamuzi gani sijasoma sheria lakini naona kama iko wazi haki ni ipi na batili ni ipiNaona objection ya upande wa utetezi ina nafasi kubwa ya kutoboa kwasababu;
1. Maelezo ya mshtakiwa wa kwanza na wa pili yote yamethibitisha walikamatwa bila kufuata sheria ( PGO) hawakukamatwa bali walitekwa, na zaidi ilithibitika hata polisi wetu hawavijui vizuri vifungu vya kwenye PGO.
Nitashangaa tu iwapo maamuzi ya jaji yatakuwa vinginevyo mana hii nchi hii kuna "inavyotakiwa kuwa na ilivyo" Ni vitu viwili tofaut kabisa.