KULIPA PARKING WAKATI WA KUTOKA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI.

KULIPA PARKING WAKATI WA KUTOKA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI.

Chance ndoto

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2017
Posts
4,363
Reaction score
10,265
Wakuu za jumapili, Sijafika muhimbili muda mrefu yapata miezi sita toka mara ya mwisho nimefika pale.
Jana nilipata emergency na kumpeleka mgonjwa wangu hospitali ile, nikafatilia kila kitu, na ilipofika jioni Nikaamua kutoka na kurudi nyumbani wakati mgonjwa wangu akiwa anaendelea na matibabu, nilikaa kwa kipindi cha masaa matano toka niingie maana kuna vipimo network walisema ilisumbua, nimependa mabadiriko ya entrance yao, nikaingia nikapata kadi kama zile tunazopata mlimani city.
Hamadi! Nafika geti la kutokea kuscan kadi, imesoma 5000! Kheeee.
Kuangalia ile risiti vzuri haina VAT wala malipo yyte ya TRA.
Ndugu zangu, huu utaratibu wa kulipa parking pale umeaanza lini? Kwa lengo gani? Je! Uliangalia gharama tunazozipitia tukiwa pale ndani? Au ndio, ukiwa na gari utaweza kulipa tu?
Nilienda na gari mbili, zote zilisoma 5000, na hata ya jamaa yangu, kijana mzito aliyekuja nisapoti ilisoma hivo hivo. Na iliyo mbele yetu ilisoma hivo.
Muhimbili dili hili la nani? Na kwanini muweke sehemu kama hiyo?
 
Wewe jamaa mbona unatia aibu! Umetoka wapi? Hilo gari lako sijui magari yako yanakolala hayachukui nafasi? Unakuja na mgari wako mjini unakuta parking nzuri imefagiliwa unakuja kupaki bure? Huna hela usimiliki gari! Lipa hela ya pango kwa muda uliokaa!
 
Wewe jamaa mbona unatia aibu! Umetoka wapi? Hilo gari lako sijui magari yako yanakolala hayachukui nafasi? Unakuja na mgari wako mjini unakuta parking nzuri imefagiliwa unakuja kupaki bure? Huna hela usimiliki gari! Lipa hela ya pango kwa muda uliokaa!
Wala sija tia aibu. Nalalamikia utaratibu huo. Hospitali ina watu wengi, wa level tofauti. Wapo wanatoka mbali. Huoni hili halijakaa sawa. Kuna mtu anaingia emergency leo. Anatoka kesho yake. Unadhani ataweza charges hizi.
 
Ulishazoea zile laminated card sio...

Mfumo wa parking umewekwa kuongeza mapato lakini si kwamba parking za hapo ndani MNH zote zimeboreshwa...

Wakuu za jumapili, Sijafika muhimbili muda mrefu yapata miezi sita toka mara ya mwisho nimefika pale.
Jana nilipata emergency na kumpeleka mgonjwa wangu hospitali ile, nikafatilia kila kitu, na ilipofika jioni Nikaamua kutoka na kurudi nyumbani wakati mgonjwa wangu akiwa anaendelea na matibabu, nilikaa kwa kipindi cha masaa matano toka niingie maana kuna vipimo network walisema ilisumbua, nimependa mabadiriko ya entrance yao, nikaingia nikapata kadi kama zile tunazopata mlimani city.
Hamadi! Nafika geti la kutokea kuscan kadi, imesoma 5000! Kheeee.
Kuangalia ile risiti vzuri haina VAT wala malipo yyte ya TRA.
Ndugu zangu, huu utaratibu wa kulipa parking pale umeaanza lini? Kwa lengo gani? Je! Uliangalia gharama tunazozipitia tukiwa pale ndani? Au ndio, ukiwa na gari utaweza kulipa tu?
Nilienda na gari mbili, zote zilisoma 5000, na hata ya jamaa yangu, kijana mzito aliyekuja nisapoti ilisoma hivo hivo. Na iliyo mbele yetu ilisoma hivo.
Muhimbili dili hili la nani? Na kwanini muweke sehemu kama hiyo?
 
Leo nimeingia kituo cha mwendokasi hapa moroko kwenda wash room narudi nadaiwa mia 3 nikachoka kbsaa

Sasa mzee baba huduma ya choo si unajua ina mambo ya usafi, maji na bitu kama tissue paper...
 
Back
Top Bottom