OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Chukulia mfano wa bar, guest and chakula. Ukiingia sehemu hizo ukalipia huduma ya msingi basi huduma ya choo unaipata bure. Maana yake huwezi kulipia chumba gest halafu ukitaka kunya unalipia tena choo.
Hali ni tofauti katika stendi za Magufuli, Nanenane na Msamvu. Bila shaka ile 200 nayolipa getini sio kwamba stend inajiendesha kibiashara, lah hasha bali ni gharama za uendeshaji mf usafi nk. Sasa ni ujuha kulipa 200 getini hakafu ukienda kunya unalipishwa 300 tena.
Kwa stend ambazo hazitozi getini ni sahihi kwa sababu choo inabidi kijiendeshe. Lakini hawa wa getini ilitakiwa iwe huduma ya bure kwa watumiaji wa huduma za stend.
Ajabu ni kwamba Chama cha Walaji kiko kimya kinashindwa kuona mambo madogo kama hayo.
Ushauri wangu ni kwamba kanuni na miongozo itolewe kuondoa ada hizi mara moja katika bajeti ijayo. Kinyume na hapo basi na wengine turuhusiwe kutoza huduma za choo kwenye guest, bar nk
Hali ni tofauti katika stendi za Magufuli, Nanenane na Msamvu. Bila shaka ile 200 nayolipa getini sio kwamba stend inajiendesha kibiashara, lah hasha bali ni gharama za uendeshaji mf usafi nk. Sasa ni ujuha kulipa 200 getini hakafu ukienda kunya unalipishwa 300 tena.
Kwa stend ambazo hazitozi getini ni sahihi kwa sababu choo inabidi kijiendeshe. Lakini hawa wa getini ilitakiwa iwe huduma ya bure kwa watumiaji wa huduma za stend.
Ajabu ni kwamba Chama cha Walaji kiko kimya kinashindwa kuona mambo madogo kama hayo.
Ushauri wangu ni kwamba kanuni na miongozo itolewe kuondoa ada hizi mara moja katika bajeti ijayo. Kinyume na hapo basi na wengine turuhusiwe kutoza huduma za choo kwenye guest, bar nk