Kulivyo Geita tofauti na mabilioni ya dhahabu yaliyopo

Kulivyo Geita tofauti na mabilioni ya dhahabu yaliyopo

Nadhani Kanda ya ziwa wangedai uhuru wao ile Kanda inazalisha Dhahabu kuanzia Geita, Mwanza, Simiyu,Shinyanga hadi Mara .

Shinyanga ilikuwa na bado inazalisha Madini ya Almasi lakini Mkoa ni wa kipuuzi sana.

Bado Kanda ya ziwa wanaziwa Victoria inamaana kazi za uvuvi zinafanyika kwa wingi.

Bado Mkoa wa mara inambuga ya Serengeti.

NB: Mikoa ya Mwanza, Geita, Mara, Shinyanga, Mbeya, Lindi, Arusha, Moshi,, Tanga haikupswa kuwa ilivyo Leo ni ujinga tu wa maccm.
Kiukweli ukiitoa kanda ya kati ambayo kutokana na hali yake kutokuvutia ukuaji wa kiuchumi haswa kwa wakati huo hadi the late Nyerere akaamua kuweka makao ya nchi ili paendelee..

Mikoa mingi tu in economic advantage kubwa mfano macho yetu sote yapo northern circuit ya utalii lakini ukiangalia hata southern circuit kuna vivutio na vyanzo vingi vya utalii. Bado kuna madini na kila kitu ila tu utegemezi kwa serikali kuu ndio tatizo huanzia

Kama alivyosema ChoiceVariable , tukifanya decentralization nzuri na mapato yakagawanywa kutokana na mahitaji na mapato ya mkoa husika, hiyo miji itaendelea

Hivyo, tukisema kila sehemu yenye potential ijiengue na kujitenga kama nchi, si ajabu Tanzania ikabaki na dodoma tu . Hivyo tiba sahihi ni kuzipa nguvu local government authorities kwenye kujiamulia kiasi
 
Kiukweli ukiitoa kanda ya kati ambayo kutokana na hali yake kutokuvutia ukuaji wa kiuchumi haswa kwa wakati huo hadi the late Nyerere akaamua kuweka makao ya nchi ili paendelee..

Mikoa mingi tu in economic advantage kubwa mfano macho yetu sote yapo northern circuit ya utalii lakini ukiangalia hata southern circuit kuna vivutio na vyanzo vingi vya utalii. Bado kuna madini na kila kitu ila tu utegemezi kwa serikali kuu ndio tatizo huanzia

Kama alivyosema ChoiceVariable , tukifanya decentralization nzuri na mapato yakagawanywa kutokana na mahitaji na mapato ya mkoa husika, hiyo miji itaendelea

Hivyo, tukisema kila sehemu yenye potential ijiengue na kujitenga kama nchi, si ajabu Tanzania ikabaki na dodoma tu . Hivyo tiba sahihi ni kuzipa nguvu local government authorities kwenye kujiamulia kiasi
Mambo ya kijinga kama haya ndio husababisha mashirika yetu yanakufa au ku under perform eg Tanesco,Dart nk

Kifaa kikihitakika au staff mpaka michakato ya kiserikali mara sheria kanuni nk urasimu mwingi.

Ona hii ya TPA Kwa mfano 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C29h0OfODKl/?igsh=MWF5dGJhc2Q1MmRjdg==

Jambo la kuchukua uamzi Kwa ngazi ya Wilaya linasubiria approval ya Wizara,mambo ya kijinga ndio maana hatuendelei.
 
Mambo ya kijinga kama haya ndio husababisha mashirika yetu yanakufa au ku under perform eg Tanesco,Dart nk

Kifaa kikihitakika au staff mpaka michakato ya kiserikali mara sheria kanuni nk urasimu mwingi.

Ona hii ya TPA Kwa mfano 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C29h0OfODKl/?igsh=MWF5dGJhc2Q1MmRjdg==

Jambo la kuchukua uamzi Kwa ngazi ya Wilaya linasubiria approval ya Wizara,mambo ya kijinga ndio maana hatuendelei.

Ndio maana vitu kama hivi nina miaka sivifuatilii maana vinatia hasira tu mkuu
 
Hii nchi sijui shida hipo wapi yani kuwepo kwa mgodi mkubwa hapo geita na kiwango cha dhahabu inayotoka ni tofauti na mkoa wenyewe hapa geita mjini.
nyumba za ovyo kwa wananchi,mazingira mabovu hakuna mipango miji na matukio yaliyopo huku hakuna toofauti na kongo kule goma.
nimefika ila mpaka naona aibu yani ni kama mgodi hupo porini hapa geita mjini. boresheni geita ijivunie kinacho toka
vipi raia mzunguko wa ela upo?
 
Geita ni kama Kahama tu. Miji ipo ovyo ovyo tu kama vile hakujawahi kuwa na Mipango Miji. Wanachoambulia ni fedha na miundo mbinu kidogo inayotolewa na mabeberu wanaochimba dhahabu kupitia changa la macho liitwalo Corporate Social Responsibility (CSR).
 
Mfumo wa kapu Moja la mgawanyo wa Rasilimali ndio shida.

Ndio maana hata Mbeya inachangia Pato la Taifa namba 3 ila Sasa kulivuo hakufananii na Trilioni 10 wanazotoa Kwa Taifa Kila mwaka.

Pesa zinachukuliwa na kujenga Dar,Arusha na Sasa Dom na Mwanza.

Kuna haja ya kuandika Upya kanuni ya mgawanyo wa Rasilimali za Taifa
Unaisingizia mwanza bureee.....saivi mgawanyo ni Arusha,Dodoma na dar
 
Geita ni kama Kahama tu. Miji ipo ovyo ovyo tu kama vile hakujawahi kuwa na Mipango Miji. Wanachoambulia ni fedha na miundo mbinu kidogo inayotolewa na mabeberu wanaochimba dhahabu kupitia changa la macho liitwalo Corporate Social Responsibility (CSR).
bora kahama ila geita ni pa ovyo nipo huku kikazi .kwanza usilinganishe geita na kahama bora ukasema kigoma na geita
 
Airport ya maana hamuna, ijekua nyota tano! Kuifananisha Mwanza na kaarusha ni kosa kubwa sana, uchadema unaifanya arusha isiendelee.
Usibishe mkuu bila uthibitisho.

Ni kweli kabisa, five stars hotels kwa hapa nchini zinaptikana mikoa miwili ambayo ni Dar Es Salaam na Arusha. Sijasema mimi, ni takwimu za Serikali.

Na ingeshangaza kwa Jiji la Arusha kukosa hoteli ya five stars. Ule ni mji wa kitalii. Si ajabu kuwa na hoteli kubwa kuzidi Mwanza.

Na Mwanza nayo ina uzuri wake. Tokea mwaka 2006 mpaka sasa, mikoa yangu pendwa ni Mwanza na Arusha.
 
Airport ya maana hamuna, ijekua nyota tano! Kuifananisha Mwanza na kaarusha ni kosa kubwa sana, uchadema unaifanya arusha isiendelee.
KILIMANJARO INTERNATIONAL AIRPORT ipo jirani na Jiji la Arusha. Sidhani kama Arusha inao uhitaji wa Airport kubwa wakati KIA si mbali nako.

Arusha Airport unatosheleza kwa ndege za kawaida. Madege makubwa yanatumia wa KIA.
 
Hii nchi sijui shida hipo wapi yani kuwepo kwa mgodi mkubwa hapo geita na kiwango cha dhahabu inayotoka ni tofauti na mkoa wenyewe hapa geita mjini.
nyumba za ovyo kwa wananchi,mazingira mabovu hakuna mipango miji na matukio yaliyopo huku hakuna toofauti na kongo kule goma.
nimefika ila mpaka naona aibu yani ni kama mgodi hupo porini hapa geita mjini. boresheni geita ijivunie kinacho toka
Madini yamekuwa LAANA!
Mapesa yote serikalini HAWARUDISHI WALA KUJISIKIA AIBU KUBORESHA YANAPOTOKA!
HATA VIONGOZI GEITA WAKO KAMA MAZOMBIE!
Bure kabisa...
 
Back
Top Bottom