Uchaguzi 2020 Kulwa Mang'ana asitisha kutia nia ya ubunge Siha baada ya kupata ajali akienda kuchukua fomu

Uchaguzi 2020 Kulwa Mang'ana asitisha kutia nia ya ubunge Siha baada ya kupata ajali akienda kuchukua fomu

Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang'ana, amepata ajali katika eneo la Boman'gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea wilayani Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.


Nyie mnadhani Kukaa mule Bungeni kunatosha tu kuwa na 'Upako' pekee wa akina Mwamposa na Gwajima? Ndumba nazo ni lazima sana tu!

=======

Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang’ana amepata ajali katika eneo la Boman’gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea Wilaya ya Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.

Kwa mujibu wa mashuhuda, ajali hiyo ilitokea majira ya saa 10:00 jioni njia panda ya kuelekea Siha ambapo dereva wa pikipiki aliigonga gari yake kwenye eneo la mlango wa dereva na kusababisha kuvunjika kwa kioo ambacho vipande vyake vilimuingia sehemu za mwili ikiwemo kichwani.

Baada ya taratibu za kisheria kukamilika katika Kituo Cha Polisi Cha Boma Ng’ombe, Kulwa alieleza kusitisha zoezi la kwenda kuchukua fomu huku akiwatakia kila la kheri wote waliojitokeza kuchukua fomu katika jimbo hilo.

Amesema atasubiri mpaka mwaka 2025, kwa sasa ataendelea kuwa mwanachama mtii, muaminifu na mzalendo kwa nchi yake.
Huko hai anajulikana nyumbani kwake tu,mtu anaitwa mangana
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang'ana, amepata ajali katika eneo la Boman'gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea wilayani Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.


Nyie mnadhani Kukaa mule Bungeni kunatosha tu kuwa na 'Upako' pekee wa akina Mwamposa na Gwajima? Ndumba nazo ni lazima sana tu!

=======

Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang’ana amepata ajali katika eneo la Boman’gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea Wilaya ya Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.

Kwa mujibu wa mashuhuda, ajali hiyo ilitokea majira ya saa 10:00 jioni njia panda ya kuelekea Siha ambapo dereva wa pikipiki aliigonga gari yake kwenye eneo la mlango wa dereva na kusababisha kuvunjika kwa kioo ambacho vipande vyake vilimuingia sehemu za mwili ikiwemo kichwani.

Baada ya taratibu za kisheria kukamilika katika Kituo Cha Polisi Cha Boma Ng’ombe, Kulwa alieleza kusitisha zoezi la kwenda kuchukua fomu huku akiwatakia kila la kheri wote waliojitokeza kuchukua fomu katika jimbo hilo.

Amesema atasubiri mpaka mwaka 2025, kwa sasa ataendelea kuwa mwanachama mtii, muaminifu na mzalendo kwa nchi yake.
Ana tamaa sana na hana huruma na vijana wasio na ajira wapo mwaka wa 5 mtaani hawana ajira ila yeye anaacha ajira anakimbilia siasa, huo ni mfano tu, wengine watafuata.
 
Hayo majina ni ya kusomea au? Maana yote ni ya kanda pendwa. Pole zake nyingi maana kazi ni kubwa sana huko Siha ila ndiyo chakani.
Haipendezi kwa kuwa kila binadamu anataka staha, lakini tungekutajia jina la mama yake mzaliwa wa Masama na baba yake na wote wako wanaishi.
 
Haipendezi kwa kuwa kila binadamu anataka staha, lakini tungekutajia jina la mama yake mzaliwa wa Masama na baba yake na wote wako wanaishi.
Haina tatizo Mkuu. Siku zote mimi natetea shemeji zangu kaskazini na iko wazi. Nilishangaa tu jina hilo maana sikuamini mtu wa mbali kusafiri kugombea ugenini?
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang'ana, amepata ajali katika eneo la Boman'gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea wilayani Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.


Nyie mnadhani Kukaa mule Bungeni kunatosha tu kuwa na 'Upako' pekee wa akina Mwamposa na Gwajima? Ndumba nazo ni lazima sana tu!

=======

Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang’ana amepata ajali katika eneo la Boman’gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea Wilaya ya Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.

Kwa mujibu wa mashuhuda, ajali hiyo ilitokea majira ya saa 10:00 jioni njia panda ya kuelekea Siha ambapo dereva wa pikipiki aliigonga gari yake kwenye eneo la mlango wa dereva na kusababisha kuvunjika kwa kioo ambacho vipande vyake vilimuingia sehemu za mwili ikiwemo kichwani.

Baada ya taratibu za kisheria kukamilika katika Kituo Cha Polisi Cha Boma Ng’ombe, Kulwa alieleza kusitisha zoezi la kwenda kuchukua fomu huku akiwatakia kila la kheri wote waliojitokeza kuchukua fomu katika jimbo hilo.

Amesema atasubiri mpaka mwaka 2025, kwa sasa ataendelea kuwa mwanachama mtii, muaminifu na mzalendo kwa nchi yake.
Hahah we jamaa we we ni mmoja wa watu wanaochangamsha sana jukwaa kwa namna unavo andika
 
Inaweza kuwa ajali ya kawaida kabisa, ila sbb imetokea wakati anaenda kuchukua fomu ya ubunge basi ajali hiyo itadhaniwa imesababishwa na uchawi. Ni hisia tu.
 
Mang'ana si jina la kikurya hilo uchagani anafuata nini sasa
 
Hivi Kulwa ni mzaliwa wa Siha au wameshagawana nchi?

Na ndiyo maana umeona wenye Siha yao wametaka Kumaliza ' Biashara ' mapema tu Kwake ya Kumuwahisha ' Kaburini ' sema tu Israeli Kagoma.
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang'ana, amepata ajali katika eneo la Boman'gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea wilayani Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.


Nyie mnadhani Kukaa mule Bungeni kunatosha tu kuwa na 'Upako' pekee wa akina Mwamposa na Gwajima? Ndumba nazo ni lazima sana tu!

=======

Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang’ana amepata ajali katika eneo la Boman’gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea Wilaya ya Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.

Kwa mujibu wa mashuhuda, ajali hiyo ilitokea majira ya saa 10:00 jioni njia panda ya kuelekea Siha ambapo dereva wa pikipiki aliigonga gari yake kwenye eneo la mlango wa dereva na kusababisha kuvunjika kwa kioo ambacho vipande vyake vilimuingia sehemu za mwili ikiwemo kichwani.

Baada ya taratibu za kisheria kukamilika katika Kituo Cha Polisi Cha Boma Ng’ombe, Kulwa alieleza kusitisha zoezi la kwenda kuchukua fomu huku akiwatakia kila la kheri wote waliojitokeza kuchukua fomu katika jimbo hilo.

Amesema atasubiri mpaka mwaka 2025, kwa sasa ataendelea kuwa mwanachama mtii, muaminifu na mzalendo kwa nchi yake.
Aache Ubwege siku nyingine asikate tamaa mapema kirahisirahisi namna hiyo yaani mlango tu kuchubuka ndio ameogopa?
 
Ninayoyaona huku niliko ni shida tupu. Kama kuna kipindi uganga unalipa ni hiki.
Hivi rafiki yangu Genta huna ujuzi wowote kuhusu hii kitu teyengeneze fedha?!?

Ujuzi pekee wa ' Kiuchawi ' nilionao Mkuu ni ule tu wa ' Kuiroga ' Yanga SC yako ili kila ikikutana tu na Simba SC iwe inapokea ' Kichapo ' cha Haja.
 
Ana tamaa sana na hana huruma na vijana wasio na ajira wapo mwaka wa 5 mtaani hawana ajira ila yeye anaacha ajira anakimbilia siasa, huo ni mfano tu, wengine watafuata.

Tena huyu nahisi huyo Mtu aliyetaka Kumpa ' Tiketi ' yake ya upesi kwenda Kuyaanza Maisha yake mapya ' Kaburini ' aliamua Kumuonea Huruma.
 
Back
Top Bottom