Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Mzaliwa wa Machame, Uswaa.Hivi Kulwa ni mzaliwa wa Siha au wameshagawana nchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzaliwa wa Machame, Uswaa.Hivi Kulwa ni mzaliwa wa Siha au wameshagawana nchi?
Ubunge unalipa.Why mtu uache kufundisha chuo ukawe mbunge?..sijawahi elewa
Huko hai anajulikana nyumbani kwake tu,mtu anaitwa manganaMhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang'ana, amepata ajali katika eneo la Boman'gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea wilayani Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Nyie mnadhani Kukaa mule Bungeni kunatosha tu kuwa na 'Upako' pekee wa akina Mwamposa na Gwajima? Ndumba nazo ni lazima sana tu!
=======
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang’ana amepata ajali katika eneo la Boman’gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea Wilaya ya Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Kwa mujibu wa mashuhuda, ajali hiyo ilitokea majira ya saa 10:00 jioni njia panda ya kuelekea Siha ambapo dereva wa pikipiki aliigonga gari yake kwenye eneo la mlango wa dereva na kusababisha kuvunjika kwa kioo ambacho vipande vyake vilimuingia sehemu za mwili ikiwemo kichwani.
Baada ya taratibu za kisheria kukamilika katika Kituo Cha Polisi Cha Boma Ng’ombe, Kulwa alieleza kusitisha zoezi la kwenda kuchukua fomu huku akiwatakia kila la kheri wote waliojitokeza kuchukua fomu katika jimbo hilo.
Amesema atasubiri mpaka mwaka 2025, kwa sasa ataendelea kuwa mwanachama mtii, muaminifu na mzalendo kwa nchi yake.
Ana tamaa sana na hana huruma na vijana wasio na ajira wapo mwaka wa 5 mtaani hawana ajira ila yeye anaacha ajira anakimbilia siasa, huo ni mfano tu, wengine watafuata.Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang'ana, amepata ajali katika eneo la Boman'gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea wilayani Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Nyie mnadhani Kukaa mule Bungeni kunatosha tu kuwa na 'Upako' pekee wa akina Mwamposa na Gwajima? Ndumba nazo ni lazima sana tu!
=======
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang’ana amepata ajali katika eneo la Boman’gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea Wilaya ya Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Kwa mujibu wa mashuhuda, ajali hiyo ilitokea majira ya saa 10:00 jioni njia panda ya kuelekea Siha ambapo dereva wa pikipiki aliigonga gari yake kwenye eneo la mlango wa dereva na kusababisha kuvunjika kwa kioo ambacho vipande vyake vilimuingia sehemu za mwili ikiwemo kichwani.
Baada ya taratibu za kisheria kukamilika katika Kituo Cha Polisi Cha Boma Ng’ombe, Kulwa alieleza kusitisha zoezi la kwenda kuchukua fomu huku akiwatakia kila la kheri wote waliojitokeza kuchukua fomu katika jimbo hilo.
Amesema atasubiri mpaka mwaka 2025, kwa sasa ataendelea kuwa mwanachama mtii, muaminifu na mzalendo kwa nchi yake.
Hayo majina ni ya kusomea au? Maana yote ni ya kanda pendwa. Pole zake nyingi maana kazi ni kubwa sana huko Siha ila ndiyo chakani.Mzaliwa wa Machame, Uswaa.
Haipendezi kwa kuwa kila binadamu anataka staha, lakini tungekutajia jina la mama yake mzaliwa wa Masama na baba yake na wote wako wanaishi.Hayo majina ni ya kusomea au? Maana yote ni ya kanda pendwa. Pole zake nyingi maana kazi ni kubwa sana huko Siha ila ndiyo chakani.
Haina tatizo Mkuu. Siku zote mimi natetea shemeji zangu kaskazini na iko wazi. Nilishangaa tu jina hilo maana sikuamini mtu wa mbali kusafiri kugombea ugenini?Haipendezi kwa kuwa kila binadamu anataka staha, lakini tungekutajia jina la mama yake mzaliwa wa Masama na baba yake na wote wako wanaishi.
Hahah we jamaa we we ni mmoja wa watu wanaochangamsha sana jukwaa kwa namna unavo andikaMhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang'ana, amepata ajali katika eneo la Boman'gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea wilayani Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Nyie mnadhani Kukaa mule Bungeni kunatosha tu kuwa na 'Upako' pekee wa akina Mwamposa na Gwajima? Ndumba nazo ni lazima sana tu!
=======
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang’ana amepata ajali katika eneo la Boman’gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea Wilaya ya Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Kwa mujibu wa mashuhuda, ajali hiyo ilitokea majira ya saa 10:00 jioni njia panda ya kuelekea Siha ambapo dereva wa pikipiki aliigonga gari yake kwenye eneo la mlango wa dereva na kusababisha kuvunjika kwa kioo ambacho vipande vyake vilimuingia sehemu za mwili ikiwemo kichwani.
Baada ya taratibu za kisheria kukamilika katika Kituo Cha Polisi Cha Boma Ng’ombe, Kulwa alieleza kusitisha zoezi la kwenda kuchukua fomu huku akiwatakia kila la kheri wote waliojitokeza kuchukua fomu katika jimbo hilo.
Amesema atasubiri mpaka mwaka 2025, kwa sasa ataendelea kuwa mwanachama mtii, muaminifu na mzalendo kwa nchi yake.
Hivi Kulwa ni mzaliwa wa Siha au wameshagawana nchi?
HahaWaambie tena mkuu. Ila kwetu kuna kamsemo; Sikio la kufa hilooo. Wanawaona kina ZZK awamu 2 zote wamo tu wanadhani ni hivi hivi. Pole zao
Why mtu uache kufundisha chuo ukawe mbunge?..sijawahi elewa
Aache Ubwege siku nyingine asikate tamaa mapema kirahisirahisi namna hiyo yaani mlango tu kuchubuka ndio ameogopa?Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang'ana, amepata ajali katika eneo la Boman'gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea wilayani Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Nyie mnadhani Kukaa mule Bungeni kunatosha tu kuwa na 'Upako' pekee wa akina Mwamposa na Gwajima? Ndumba nazo ni lazima sana tu!
=======
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria Tanzania, Kulwa Mang’ana amepata ajali katika eneo la Boman’gombe wilayani Hai wakati akiwa njiani kuelekea Wilaya ya Siha kwa lengo la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Kwa mujibu wa mashuhuda, ajali hiyo ilitokea majira ya saa 10:00 jioni njia panda ya kuelekea Siha ambapo dereva wa pikipiki aliigonga gari yake kwenye eneo la mlango wa dereva na kusababisha kuvunjika kwa kioo ambacho vipande vyake vilimuingia sehemu za mwili ikiwemo kichwani.
Baada ya taratibu za kisheria kukamilika katika Kituo Cha Polisi Cha Boma Ng’ombe, Kulwa alieleza kusitisha zoezi la kwenda kuchukua fomu huku akiwatakia kila la kheri wote waliojitokeza kuchukua fomu katika jimbo hilo.
Amesema atasubiri mpaka mwaka 2025, kwa sasa ataendelea kuwa mwanachama mtii, muaminifu na mzalendo kwa nchi yake.
Ninayoyaona huku niliko ni shida tupu. Kama kuna kipindi uganga unalipa ni hiki.
Hivi rafiki yangu Genta huna ujuzi wowote kuhusu hii kitu teyengeneze fedha?!?
Ubunge unalipa.
Ana tamaa sana na hana huruma na vijana wasio na ajira wapo mwaka wa 5 mtaani hawana ajira ila yeye anaacha ajira anakimbilia siasa, huo ni mfano tu, wengine watafuata.