Hii "Self"ni ya Seif Hamad, lilitumika na CUF Maalimu baada ya ugomvi na Lipumba.
Baada ya CUF Maalimu kuhamia ACT makao makuu yamehamia hapa. Tumefanya vikao vingi hapa katika uchaguzi Kinondoni. Sasa lina rangi ya ACT.
Hakuna ugomvi tuna jibu nia OVU tu ya CCM na washirika wake. - Godbless Lema.
NB: Kwanini wanadanganya kuwa imejengwa na chama.
Baada ya CUF Maalimu kuhamia ACT makao makuu yamehamia hapa. Tumefanya vikao vingi hapa katika uchaguzi Kinondoni. Sasa lina rangi ya ACT.
Hakuna ugomvi tuna jibu nia OVU tu ya CCM na washirika wake. - Godbless Lema.
NB: Kwanini wanadanganya kuwa imejengwa na chama.