Kumbe ACT-Wazalendo wamepanga nyumba ya Maalimu Seif

Kumbe ACT-Wazalendo wamepanga nyumba ya Maalimu Seif

Kinachobishaniwa ni kutanguliza jengo hilo moja kubwa au majengo ya ofisi ndogo yaliyotapakaa nchi nzima karibu na wanachama na yanayojengwa na hao hao wanachama kwa nguvu zao wenyewe kwenye maeneo yao! Wanaofahamu historia ya nchi hii watakumbuka kwamba kazi za kujitolea ilikuwa sehemu moja ya mikakati ya kujenga nchi na utaifa mara baada ya uhuru. Ari hii ya kujitolea ilififishwa na matukio mengi ya kisiasa ya kipindi hicho. Kwa hakika kitendo tu cha kuwaunganisha wanachama, kuwaelimisha, kuwapanga na kuwashawishi kujenga ofisi kwenye eneo lao ni hatua kubwa sana katika ujenzi wa chama cha siasa. Chama cha siasa pekee kilichowahi kujaribu kufanya kazi kama hii angalau kwa muda mfupi ni TANU (ASP?).
[emoji1545][emoji1752][emoji818][emoji817][emoji817]
Hayo wanayojenga kwa nguvu zao wanafanya vyema. Sasa Chama kijenge HQ KWA PESA ZA RUZUKU NA MIRADI. Mimi sisemi cdm wajenge nchi nzima. Lakini at least makao makuu ijengwe kwa pesa za chama.miaka 30 hamna jengo la.HQ? Halafu mnataka wote tuimbe sifa na mapambio? C'mon watanzania are not stupid to that extent bwana.
 
Back
Top Bottom