Kumbe Ali Kiba aliomba msaada kwa Wema kumkabili Diamond! Wema atoboa

Yaani humu kweli kiba ndo habari ya mjini.... nani asiyemjua wanampigia promo kila kona..

Naona wameshaanza kuelewa kuwa kimbunga cha King kinatisha mwanzo walijipa moyo kuwa ni upepo tu unapita ila sasa mpaka paa la nyumba limeanza kubebwa ndo wanashtuka, hahahhaha
 
daah ndo nafika jamani
eti niulize kuna ubaya kiba kumuomba wema ampigie promo...?!!!!au vp jamaniiiii....!!!
 
Ila kuna watu wajinga sijawai kuona

Hivi mlikuaje? Lazima mlikuwa waizi mlipopata nafasi mkizani mtakuwa juu kumbe hakuna kitu.

Maana mtu unakaaje hadi unaleta ubishi bila kuonyeshea kitu?

Inabidi muogopwe ujambazi hata kuua mnaua

Nimeona Tuzo ya Wema humu. Lol
 
daah ndo nafika jamani
eti niulize kuna ubaya kiba kumuomba wema ampigie promo...?!!!!au vp jamaniiiii....!!!

Hakuna ubaya. Lkn nahisi hakutarajia wema kuja kuongea kwenye media kua kiba aliomba. Alijua itaishia juu kwa juu
 
Next : South Africa > Nigeria > Ghana > Togo > Angola.
Wakati wengine wanapiga ruti za Kkoo Posta Mwenge KunduUchi hahah

ahhhaaaa!ngoja nilale aisee maana muda umekwenda!see you next time!!love you
 
Next : South Africa > Nigeria > Ghana > Togo > Angola.
Wakati wengine wanapiga ruti za Kkoo Posta Mwenge KunduUchi hahah

Sisi hatujakataa kuwa nyie upo kimataifa zaidi ndiomana hadi BET mkafika,

swali sasa ni kwanini mnatumia nguvu kubwa kupambana na huyu mwanadar Kiba ambaye nyie mnasema route zake ni kariakoo na kunduchi,

hivi kweli nyie wenzetu ambao level zenu ni wakina Psquare na Davido ni haki kulia lia kuwa mtoto wa kariakoo kawahujumu kisa tuzo 1 tu?
 
Tutaheshimiana tu mkuu, si walibeep sasa king kaamua kuwapigia japo wao voda king Airtel.

Waache wahorojeke tu hapa.
Sisi tunapiga kura.

Mada za kijinga kijinga....uwoga usio na maana.
 
Ukiona mtu anahangaika na wasiojielewa ujue naye ana tatizo kubwa mno la kisaikolojia na nidhamu ya woga. Kujidai uko top of the world still unahangaika na underground huo si zaidi ya ujuha wenyewe. Teh teh kwa msaada tafteni mwana saikolojia awasaidie mkubali tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…