Kumbe Ali Kiba aliomba msaada kwa Wema kumkabili Diamond! Wema atoboa

Kumbe Ali Kiba aliomba msaada kwa Wema kumkabili Diamond! Wema atoboa

Hahaaaa umenichekesha ujue mamito cute b loh mwenyewe sina mda wa kusoma bandiko lenye hisia kuliko uhalisia. Tena kila point eti chuki kushushwa loh!na too much negativity siwezi.

Huyu binti anatafuta kiki tuu hana lolote...waraka anamwandikia nani?.yaan sijausoma ata kidogo maana siku zote anaandikaga point less
 
Last edited by a moderator:
MBULAMATALI wewe ni nani wa kunipangia cha kusema domo ni jina linalotamkwa kila sehemu celebrity forum ka utani kwahyo umeona Wa kiba tu wakimponda domo hao wengine hujawaona eeeh. Pole sana endeleni kujifariji nyie wenye jina kubwa duniani nzima eeh hao wanaomponda Ali kiba hujaona eeh. After all ungekua great thinker usinge base upande mmoja kusifia ukipendacho na kuacha kwingine ni kosa. Nakuona huna jipya sipo Jf kumsifia mtu wala kufurahisha watu I speak what I believe basi hayo mengine ni yenu.

Sio domo tuu mamy anaitwa ndomo kibuyu.. asikutishe mtu
 
Last edited by a moderator:
Team ndomo na bosi wao hawana jipya wanachojua ni new id tuu.....
Kiba anawaumiza roho sanaaa jamani lol... na wataolewa mwaka huu

New I'd ndo wanaona mkombozi wao. Hujui kuwa wameajiriwa Ku create nyingi ili wamshambilie kiba vizuri mtandaoni. Watafungua sana Mpaka wachoke hawajiamini hadi kwa msanii ambaye hajavuka border. Teh teh international my foot loh!
 
Nimeitoa insta picha hii
 

Attachments

  • 1432672682195.jpg
    1432672682195.jpg
    51.9 KB · Views: 109
Huyu binti anatafuta kiki tuu hana lolote...waraka anamwandikia nani?.yaan sijausoma ata kidogo maana siku zote anaandikaga point less

Hahaaa zaidi ya kitabu nakwambia. Leo wanaanza kumuona Wema mzuri walivokua wanamshambulia kwa matusi ya kila namna. Wasio na msimamo ka bendera fata upepo.
 
ahahahaa nakuambia watu wana roho ngumu!!!mie siwezi kubeba kisichobebeka waallah!!

Ningumu sana kuwa shabiki wa kiba ukaenjoy. Mtu anatoa nyimbo kama hataki mpaka ajisikiee anajivuuuta yan. Akaiga kuvujisha nyimbo nae kama diamond maskini watu wakavipotezea hivo vinyimbo alivyovujisha
 
New I'd ndo wanaona mkombozi wao. Hujui kuwa wameajiriwa Ku create nyingi ili wamshambilie kiba vizuri mtandaoni. Watafungua sana Mpaka wachoke hawajiamini hadi kwa msanii ambaye hajavuka border. Teh teh international my foot loh!

Yaani wanatuogopa lol. Kwani ni lazma kua na new id? Watafungua mpaka wachoke lakini kiba mbele kwa mbele
 
Hii taarabu ndo ilimpeleka boda na mwanza hapa juzi kati na sa iv ana sho 5 za boda sasa twende kwenye chekecha sasa hata video imeshindikana

Boda ya kigodoro tu inayosikilizwa only coastal area. Video ya chekecha hata ikitolewa mwakani haina shida. Huyo mtu wenu anaye work under pressure za kushushwa ndo anajiharibia#Teamkibaforever
 
Ningumu sana kuwa shabiki wa kiba ukaenjoy. Mtu anatoa nyimbo kama hataki mpaka ajisikiee anajivuuuta yan. Akaiga kuvujisha nyimbo nae kama diamond maskini watu wakavipotezea hivo vinyimbo alivyovujisha

Sio kua anatoa nyimbo kahataki yaan uwezo wake ndo umeishia hapo muumsamehe bure
 
Ningumu sana kuwa shabiki wa kiba ukaenjoy. Mtu anatoa nyimbo kama hataki mpaka ajisikiee anajivuuuta yan. Akaiga kuvujisha nyimbo nae kama diamond maskini watu wakavipotezea hivo vinyimbo alivyovujisha

Kisicho riziki hakiliki!!kilichobaki atamtongoza WEMA kabisa maana kila mbinu imeshindikana!!

OOoops nilisahau kama hana mshiko!!sisi tunakaza tuu aibu wataona waoo!!
 
Yaani wanatuogopa lol. Kwani ni lazma kua na new id? Watafungua mpaka wachoke lakini kiba mbele kwa mbele

Na bado wakaendeleze ule Uzi wa makavu live. Wao si international kwanini wanahangaika na Kiba ka kuku anayetaka kutaga.
 
Boda ya kigodoro tu inayosikilizwa only coastal area. Video ya chekecha hata ikitolewa mwakani haina shida. Huyo mtu wenu anaye work under pressure za kushushwa ndo anajiharibia#Teamkibaforever

Yaan kiba ndo ana pressure hatari chezea kuomba kwa wema sema tu uwezo hana angekua nao mbona ingekua balaa mijini
 
Na bado wakaendeleze ule Uzi wa makavu live. Wao si international kwanini wanahangaika na Kiba ka kuku anayetaka kutaga.

Mamaaa ule uzi umefutwa alafu umeblokiwa...labla wafungue upya wachezee vichambo
 
Back
Top Bottom