Kumbe Ali Kiba aliomba msaada kwa Wema kumkabili Diamond! Wema atoboa

Kumbe Ali Kiba aliomba msaada kwa Wema kumkabili Diamond! Wema atoboa

Wewe acha kumuwekea Ali k maneno wewe unaongozwa mno na hisia badala ya Ku reason.
Na leta hizo evidence za kiba kushindana na huyo domo wake maana Kiba kaanza mziki kabla ya domo kwahyo asifanye mziki kisa aoge kuambiwa anashindana na domo? That's really nonsense and poor argument kabisa. Think out of box hata kama unampenda huyo domo wengine wasifanye mziki kisa domo.

Biashara ni biashara tu kwani ni wapi palipoandikwa alipopitia domo wengine hawaruhusiwi kupita hahaaaaa acheni kuchekesha nyie. Loh its a free country mwacheni kiba afanye yake mbona akina Wema na Jokate wana watu marafiki wengne , kwahyo wasiwe marafiki kwa kua domo kapita. Hyo sababu ni very low and it doesn't make sense.
Sasa kama si level ya diamond mnahangaika naye nini yeye anafanya yake nyie ndo mnajisumbua kuhangaika naye.

siku zote huwa nakuona ni mstaarabu na ni mmoja kati ya GT's humu
but with this post duuu ....????
si busara kumwita mwenzio domo sehemu kama hiii...kwani ukimwita Diamond au Dia unapungukiwa nn?


tatizo kubwa ninaloliona kwa watu wengi ni kutokuwa tayari kukubali ukweli ... Diamond ndio mwanamuziki aliekuwa juu kuliko wote bongo kwa sasa...na sababu kubwa ninayoiona directly iliyomuweka hapo alipo ni bidii na kuwa na uchu wa mafanikio(nukta)

Alli Kiba ni mwanamuziki mwenye uwezo wa kuimba viZuri zaidi kuliko Diamond hili halina ubishi,
Ila tatizo kubwa la Alli Kiba ni Umwinyi kuridhika na mafanikio bila ya kuweka juhudi zaidi... Yaani ukimwangalia Alli huwez amini eti alishawahi kukaa studio na kutoa wimbo na mtu Kama Rkelly...kwangu mm pale ndio ilikuwa platform ya yy kusimama kimataifa

kwa sasa Kiba ni wa kawaida lililobaki ni jina tu....huwezi kama promota uandae shoo kubwa mkoani lets say (Mbeya/Mwanza) ya one man na utegemee kupata faida hiyo ni True
Japokuwa Alli anaweza kurudi na kuwa mkali sana tu kama ataweka bidii

Kosa kubwa linalofanywa na watu wanaomsapoti Kiba ni kumponda Daimond wazwaz tena bila sababu za msingi ... Hili ni kosa kubwa sana kwenye ushindani hauwez kumshusha mtu kwa style hiyo
Kwani kufanya hivyo ni kumjenga zaidi tena huku ww unajishusha

Hata vitani hauwezi hata siku moja ukashinda vita kwa kufanya propaganda za hivyo mtakula kichapo kitakatifu.

(ni mtizamo tu katika kujenga)
 
Unajua hata humo ndani kwenu ulipo sasa na kiba unaweza kumgeukia na kumshauri kuwa ajaribu kufanya yake na pia mpe haadi kuwa wewe na wenzako mtamsapoti yeye bila kutumia jina la Diamond platnumz na kumtukana na kumuombea mabaya.

Kiba mwambie aonyeshe kazi zake tuzione au keshaondoka kwenda kurekodi muvi ya cheketutwa? Kumbuka tunaisubiria

D mtoto wa Tandale ananifurahisha hadi raha maadui waliotaka ashuke wanazidi kujitokeza na bado tutawasikia wengi maana hawajui nyota sio pesa tu nyota inakuja na nguvu nyingi jamani.


Kumekucha, wasanii msio Diamond acheni kulala mnaota kupata nyota yake kaeni chini msali na kuombea zenu ziwajie na kumbukeni wakati mnawika yeye alikua anauza mitumba so ana akili ya biashara pia

Pole sana siwezi soma post ndefu kama reli...unaniandikia waraka au wosia.... Diva Beyonce ukipata muda nisaidie kusoma na hii maana mwandiko wa huyu bint siuelewagi kabisa...yani team ndomo ata shule hawajaenda
 
Last edited by a moderator:
Diva Sijui unajitoa ufahamu au unajifanyisha, hivi kwa akili ya kawaida kati Diamond na Kiba nani yuko juu kwa sasa.


Sawa mi ni shabiki Diamond na wewe ni nani wa Kiba.?

Tatizo mnadanganya Kiba kuwa msanii mkubwa kwa Tanzania bila kuonyesha vigezo vyake.

Naheshimu uwezo wa Kiba ila Diamond yuko juu, napenda kiba apande ila sio kwa mbinu za kipuuzi kama zako.

Ndo mana ukawa idawa na mimi nikawa Diva kila mtu akipendacho na akionacho kuwa ni bora. Wewe unamuona domo yuko juu level za Jay z to me it's normal hatuwezi kufanana.
Tena umeshikilia swala la njia za kipuuzi zipi kila msanii na mambo yake ulitaka asiimbe asiombe kura kwa mafans kisa domo alikua anaombaga kura.
Nani kamdaganya Kiba kuwa ni msanii wa kimataifa yeye anafanya mziki wake ajiskiao na hashindani na mtu ndo mana kamwe huwezi kukuta akifanya mashindano ya kijinga na hapaniki hovyo.Kiba atakua yule yule hata muongeeje. Kweli tuzo aliyopata imewachefua sana eeh.
Endeleeni kumusupport mwanamziki wenu wa international mwacheni kiba mwanamziki wa Tanzania tu.
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaa nothing new mbona hata wewe umejitoa ufahamu kumshabikia upendacho. Kwahyo na wewe umetoa akili ukatumia matope au? Hahaaaaa teh teh

Shost achana na hawa team ndomo maana wanaongea pumba tuu....stres za tuzo zinawatesa na bado
 
Nasubiria the rise of Ali Kiba sasa

Kiba alikuwa wa Naksh Naksh mrembo bwana!mziki ni wakati,zako zikipita huna mpya tena hata uungwe mkono na nani!!haya mambo huwaga yanamwisho!

Watu walishamkubali sana tu na akasimama imara sana kipindi kile!Laikini bila sababu akaamua kukaa chini kwenye mbio kali kama hizi,kwanini watu wasikupite????

Sasa hivi anadandia difenda(Wema)ili amuwahishe alikochelewa kwa uzembe wake!!so sad kwa kweli!!
 
Pole sana siwezi soma post ndefu kama reli...unaniandikia waraka au wosia.... Diva Beyonce ukipata muda nisaidie kusoma na hii maana mwandiko wa huyu bint siuelewagi kabisa...yani team ndomo ata shule hawajaenda

Ukweli unauma unajijua upo nae hapo au sio dadaake bae siku nyumbani mmeibiwa ulikuwepo. (Nataka wasio jua wajue y nakuambia mwambie K)

Unakimbia nini?

Shule umeenda wewe, ninakujua ukitaka kukimbia unaleta mambo ya shule, mara hauelewi lugha.

Hongera zako wewe uliyeenda shule ya PHD ya wasiosikia na wasioona kwa kukataa ukweli ulio wazi.

Ooh nilisahau tena hivi tuzonya juzi labda nimepitwa amefanya interview vipindi gani kuiongelea yaani vya redio na TV?

Si unajua tena star mkubwa nchini si Kiba mnasema yes wapi wamemshabikia naaneno mazuri unajua tena kazi zake zipo hadi muda aliopata kusubiria tuzo ndani ya gari aliweza. As aliogopa akiongea jukwaani atatetemeka as ana mengi ya kujisifia kwa kazi yake miaka hii so akatuma mtu asaidie.
 
Last edited by a moderator:
MBULAMATALI wewe ni nani wa kunipangia cha kusema domo ni jina linalotamkwa kila sehemu celebrity forum ka utani kwahyo umeona Wa kiba tu wakimponda domo hao wengine hujawaona eeeh. Pole sana endeleni kujifariji nyie wenye jina kubwa duniani nzima eeh hao wanaomponda Ali kiba hujaona eeh. After all ungekua great thinker usinge base upande mmoja kusifia ukipendacho na kuacha kwingine ni kosa. Nakuona huna jipya sipo Jf kumsifia mtu wala kufurahisha watu I speak what I believe basi hayo mengine ni yenu.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana siwezi soma post ndefu kama reli...unaniandikia waraka au wosia.... Diva Beyonce ukipata muda nisaidie kusoma na hii maana mwandiko wa huyu bint siuelewagi kabisa...yani team ndomo ata shule hawajaenda

Hahaaaa umenichekesha ujue mamito cute b loh mwenyewe sina mda wa kusoma bandiko lenye hisia kuliko uhalisia. Tena kila point eti chuki kushushwa loh!na too much negativity siwezi.
 
Last edited by a moderator:
Kiba alikuwa wa Naksh Naksh mrembo bwana!mziki ni wakati,zako zikipita huna mpya tena hata uungwe mkono na nani!!haya mambo huwaga yanamwisho!

Watu walishamkubali sana tu na akasimama imara sana kipindi kile!Laikini bila sababu akaamua kukaa chini kwenye mbio kali kama hizi,kwanini watu wasikupite????

Sasa hivi anadandia difenda(Wema)ili amuwahishe alikochelewa kwa uzembe wake!!so sad kwa kweli!!

Kwa wema anajisumbua tu watu mpaka wametoabna video ila wamebuma anapoteza muda aisee
 
Ukweli unauma unajijua upo nae hapo au sio dadaake bae siku nyumbani mmeibiwa ulikuwepo. (Nataka wasio jua wajue y nakuambia mwambie K)

Unakimbia nini?

Shule umeenda wewe, ninakujua ukitaka kukimbia unaleta mambo ya shule, mara hauelewi lugha.

Hongera zako wewe uliyeenda shule ya PHD ya wasiosikia na wasioona kwa kukataa ukweli ulio wazi.

Ooh nilisahau tena hivi tuzonya juzi labda nimepitwa amefanya interview vipindi gani kuiongelea yaani vya redio na TV?

Si unajua tena star mkubwa nchini si Kiba mnasema yes wapi wamemshabikia naaneno mazuri unajua tena kazi zake zipo hadi muda aliopata kusubiria tuzo ndani ya gari aliweza. As aliogopa akiongea jukwaani atatetemeka as ana mengi ya kujisifia kwa kazi yake miaka hii so akatuma mtu asaidie.

Huu waraka mimi sisomi ukiniquote andika mistari miwili tuh... pole unachosha nguvu zako...niache kupiga kura nisome waraka..
Haloooo ya tuzooooo...
 
Ila wema kamuumbua Kiba jamani angekaa tu kimya au Kiba hakuutambua mchango wa Wema???

Kamuumbua kinoma m nilisoma hyo bongo5 nikaona dah kweli kiba kafeli. Yan anamfata X wa adui yake na kumuomba ampost IG hahaha na wema hana dogo nae si angechuna tu tujue aliamua kwa mapenzi yake.
 
Kabla hujafa hujaumbika usimuudhi maulana
tena usiombe ya kakufika ya juzi sio ya jana

Wewe nawe sijui una matatizo gani kuniandikia uchuro...ebu niache mie yamewashinda kivyenu maulana ana husika nini apa? Unamwita Mungu kwenye umbea aje anichambe au?
 
Kamuumbua kinoma m nilisoma hyo bongo5 nikaona dah kweli kiba kafeli. Yan anamfata X wa adui yake na kumuomba ampost IG hahaha na wema hana dogo nae si angechuna tu tujue aliamua kwa mapenzi yake.

Wema hakufanya kwa mapenzi alifanya kwa aibu tu sababu alimuomba ila wema hana dogo jamani kaona Kiba kashindwa kumshukuru ikabid aseme ukweli
 
Wewe nawe sijui una matatizo gani kuniandikia uchuro...ebu niache mie yamewashinda kivyenu maulana ana husika nini apa? Unamwita Mungu kwenye umbea aje anichambe au?

Hahaaa watafta visingizio hao mtu wao si super star international kwanini wanahangaika na mwanamziki asiye international.
 
Wema hakufanya kwa mapenzi alifanya kwa aibu tu sababu alimuomba ila wema hana dogo jamani kaona Kiba kashindwa kumshukuru ikabid aseme ukweli

Ajui kwamba Wema deep down anampenda mondi miaka nenda rudi" hahaha mfalme juha kweli anakazi kacheza dili na kichaa wema haha mambo hadharani
 
Back
Top Bottom