idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Nimekubali unampenda Kiba, ila kama shabiki wake ni vema umpe mbinu za kukuza kiwango chake.Ndo mana ukawa idawa na mimi nikawa Diva kila mtu akipendacho na akionacho kuwa ni bora. Wewe unamuona domo yuko juu level za Jay z to me it's normal hatuwezi kufanana.
Tena umeshikilia swala la njia za kipuuzi zipi kila msanii na mambo yake ulitaka asiimbe asiombe kura kwa mafans kisa domo alikua anaombaga kura.
Nani kamdaganya Kiba kuwa ni msanii wa kimataifa yeye anafanya mziki wake ajiskiao na hashindani na mtu ndo mana kamwe huwezi kukuta akifanya mashindano ya kijinga na hapaniki hovyo.Kiba atakua yule yule hata muongeeje. Kweli tuzo aliyopata imewachefua sana eeh.
Endeleeni kumusupport mwanamziki wenu wa international mwacheni kiba mwanamziki wa Tanzania tu.
Sawa mimi ni team Diamond lakini napenda msanii wangu apate changamoto kutoka sehemu mbalimbali.
Mwambieni Kiba atoe nyimbo nzuri, atafute Uongozi wenye maono.
Maana wimbo wake wa hapo kati Sijui unaitwaje ukiachana na mwanaDar,mwambieni autolee video
Kama hana za hela video ya Godfather sauzi mwambieni tumchangie.
Last edited by a moderator: