Kumbe Ali Kiba aliomba msaada kwa Wema kumkabili Diamond! Wema atoboa

Hahahaha sasa sipati picha baada ya collabo la KingKiba na Christian Bella likitoka june, walah kuna watu watapotea humu JF

utapata picha vizuri baada ya Collabo ya Dai Na psquare kutoka bila KusahU ile Video ya diamond Ft iyanya ambayo ipo tu inasubiria muda wake wa kwenda mtv , Channel 0 na Trace
 
Mkuu kwel bora ulale tu hizi siku maana baada ya KTMA huu muda unaochezea kukesha kumpiga majungu Jing utaukumbuka coz pale itakuwa hakuna kulala maana juzi tu baada ya tuzo 1 hukulala kabisa je baada ya tuzo 7? Hahahaha

Tupo utaona kama mtapata hata 3. Usidhani record aliyoweka diamond kuchukua 7 ilikua kazi rahisi hivo
 
Hahahaha sasa sipati picha baada ya collabo la KingKiba na Christian Bella likitoka june, walah kuna watu watapotea humu JF

Watapotea kidogo sasa.. wew huoni tangu siku ya tuzo adi jana ndo wameanza kurudi? Hawa naona washaanza kuelewa tumejitahidi sana lakin vichwa ngumu wachache ndo wamebaki
 
Yeah si tunaomba kura za ndani local, na yie nendeni tena BET tuwaomboe kura hahahhaha

eti unacheka... we unafikiri huyo ally anaweza akawa hata nominee wa Mtv?? na ile video yake anayokunya Bafuni
 
Usilete aibu hapa DNA inapima sex ya mtoto tumboni pia.

Wew nawe sijui unakurupuka wapi kama jipu la mata.koni kajipange upya uje.. upooo?
Nani kaingelea jinsia heheheeheee katapikie kwenye shimo la choo. Mtajua wenyew DNA inapima mavi au mkojo
 
eti unacheka... we unafikiri huyo ally anaweza akawa hata nominee wa Mtv?? na ile video yake anayokunya Bafuni

Hatujakataa mkuu, sasa nyie ambao mpo nominated hadi Mtv kwanini mnalialia kwa kiba?

Kwa taarifa tu mpaka sasa Video ya mwana ndiyo inayoongoza kura dhidi ya video ya ntampata wapi ya DNA platinumz, sasa hautamini siku utakapotangaziwa kuwa hiyo video ya mwana ndiyo video bora ya mwaka.

#KingkibaForever
 
Wema kweli kamuumbua kwa kweli, sijui kwanini hakumezea. Ila kama haujapangiwa kung'aa kimwenyewe ndio haya yanakuja labda angelipia tangazo tusingejua. Imebidi nicheke

JF haiachagi kunifurahisha kuna usernames zikijisimamia lazima zingine zisepe kwa kila kisingizio.
 

Mkuu unafaa kuwa professor ameshaelewa tayari sema atahamiaje kule si ataonekana msaliti?
 

Sisi #TeamKiba yetu kazi tu hahahhaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…