Kumbe Ali Kiba aliomba msaada kwa Wema kumkabili Diamond! Wema atoboa

Leo eti mnaanza kumshobokea Wema wakati mlikua mnaongoza kumtukana na kumsifia huyo bibi. Leo ndo mnaona umuhimu wa Wema kwa huyo domo. Hahaaaa mwapenda majungu eeeh aisee kitu its to late sana tu. Jinyongeni kabisa loh

Bibi ni nani?
 
Hayo maneno tu hata kwenye khanga na taarabu yapo. Timu mond acheni visingizio rahisi tafteni njia ya Ku move on mtumieni Zari mliyekua mna mpapatikia ka wa sayari nyingine.

Ila wema kamuumbua Kiba jamani angekaa tu kimya au Kiba hakuutambua mchango wa Wema???
 
idawa unaandika mno hisia na ushabiki umejuaje kiba anashindana na huyo domo wenu. Acheni kuwa vipofu kwani mwanamziki na Ali kiba tu anaimba.
Hahaaaa mnachekesha kweli msitafte mchawi wa mtu kushuka ni yeye mwenyewe.Mwacheni afanye yake kijana.

Domo atashuka tu kwa wakati wake. Tatizo hamtaki kukubali daily visingizio mtu anataka kushushwa. Kama dola ya Rumi ilipotea Uingereza kupoteza uwezo wake kama nchi iliyowahi kuongoza uchumi duniani sembuse mtu. Mpeni mwenzenu mda afanye yake sio kumtaftia visingizio. Jifunzeni kukubali japo ukweli unauma loh!
 

Ahhahaaaa!!yaani wewe sio idawa! bali wewe ni DAWA inayotibu kila ugonjwa!.
 
Last edited by a moderator:

Wema ule msemo wa tenda wema uende zako haujui kabisa amesubiri Kiba amshukuru kaona kimya imebidi amshushue hamna namna
 

Ewaaaaaa!!namna hiyo!
 
Ila wema kamuumbua Kiba jamani angekaa tu kimya au Kiba hakuutambua mchango wa Wema???
Hahaaaaa naona timu mind mumeona hali ngumu baada ya mtu wenu kukosa tuzo mnaanza kutumia kumupa support kiba kwenye KTMA kuomba msamaha kiujanja kwa domo ili amrudie domo apigiwe promo ili ashinde tuzo. Poleni sana aisee jipangeni.
Nimependa njia mnayoitumia kumuomba msamaha Wema kiujanja loh!
 

Hahahahaha ila mwisho wa cku Kiba kachemka
 
Wema ule msemo wa tenda wema uende zako haujui kabisa amesubiri Kiba amshukuru kaona kimya imebidi amshushue hamna namna

Yaani amewachezea akili sana Wema!alingoja ashinde ndipo na yeye apate UJIKO wa kujitangaza zaidi!kwa maana nyingine anamaanisha kwamba bila yeye bongo hapa msanii hawiki!

Yaani Madame ameua Band kinyama!!
 
Ila wema kamuumbua Kiba jamani angekaa tu kimya au Kiba hakuutambua mchango wa Wema???

Hata hajamuumbua ni kawaida tu. Mbona hahaaa haitasaidia kitu sioni shida mtu kuomba support mtu wenu hakutaka support. Kulia lia mtandaoni na Kiba its nonsense and wastage of time.
 
Hahahaaaaa halo ya tuzo weeeeeeeeee......
Team domo mnatapa tapa na muda wote mmeinua masikio kaka popo kusikia wema atasem nini na kiba atasem nini ...halooooooww..
Mwanamziki wa kiume anayependwa tz... Alikiba
Mwigizaji wa kike anayependwa tz ni Wema sepetu....
Endeleeni kutega masikio haibadilishi matokeo..
Alikiba ni msanii anayekubalika ata kama asingepigiwa promo na wema
 

Rafiki hivi domo hana jina lingine.? Mbona wengine umewataja kwa majina yao why domo au ndo jina lake?
 
Hata hajamuumbua ni kawaida tu. Mbona hahaaa haitasaidia kitu sioni shida mtu kuomba support mtu wenu hakutaka support. Kulia lia mtandaoni na Kiba its nonsense and wastage of time.

Hongera zake Kiba ana mikakati hatari anajua kutumia fursa
 
Hahahahaha ila mwisho wa cku Kiba kachemka

Nyie ndo mumechemka. Leo mliokua mnayaita makombo ndo mnaanza kuyaomba msamaha kiujanja? Hahaaaa you better guys take a chill pill loh.Endeleeni kuhangaika na Kiba kwa sababu mnafanya mashindano eeeeh.
 

Ye mwenyewe alijua bila hao asingeweza ndo maana akakikimbiza inbox kujipendekeza
 

Bora we umekubali promo ya Wema ilichangia sio uwezo wa Kiba binafsi
 

Hahaaaa that's the truth whether they accept it or not. Maneno mengine ya wakosaji na kujifariji ili kupunguza maumivu makali ya moyoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…