Kumbe anayemuoa Flora Mbasha ni member wa humu JF: Hongera sana mdau, imarisheni uhusiano na JF

mwanae wa kumzaa kabisa

Vijana wa siku hizi hawataki kusumbuana na vijana wenzao. Wanataka kubebwa mgongoni na kupelekwa tu chumbani. Longo longo ya sitaki nataka ya nini? Umri ni namba tu, mashine haizeeki
 
Walokole wanafunga tu hata jumapili
 
Nimejaribu kusoma comments naona nyingi mnamponda Mara chalii anoa mtu mzima mbona mi sion tatizo coz on the other side mtu anaamua kufanya Yale yanayompendeza na huwezi kuishi kwa matamanio ya watu unaishi utakavyo.. Give the man a break age it's just a number love doesn't care about that let em be
May yo wedding be full of joy n happiness
 
hapo hotelini walienda tu kupiga picha ama walilala pia?????
Ha aha ahaa... Maswali mengine bhana!! Sasa ng'ombe keshafika machinjioni kinachobaki ni nini?
Baada ya mpiga picha kutoka kulichoendelea pigia mstari tu[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…