hehehehehapo hotelini walienda tu kupiga picha ama walilala pia?????
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Naona upo katika ubora wako.Ukitaka Kuujua umri wa Florah Mbasha tegea akiwa Katoka kuamka
Kwani huyo ni mlokole au ni muimbaji wa nyimbo za injili ??au ukiwa muimbaji wa nyimbo za injili ni lazima uwe mlokole ??Mmmmh jamani
Nimekua na sasa nayaona
Hivi walokole toka lini wameanza kufunga ndoa Mara mbili mbili?
Walokole inawezekana...unahama mchungaji tuu..Hawana system ya uongozi..Mmmmh jamani
Nimekua na sasa nayaona
Hivi walokole toka lini wameanza kufunga ndoa Mara mbili mbili?
[emoji38] [emoji38]Maskini kaka Wa watu anaenda kubakwa
Halafu naona kakijana bado kadogo nadhani hakajafika hata miaka 30.!Mmmmh jamani
Nimekua na sasa nayaona
Hivi walokole toka lini wameanza kufunga ndoa Mara mbili mbili?
Mboni hata huyo naye nasikiaga eti ni "furii masoni"Huyu mwanamke hana tofauti na akina Shilole, aanze kuimba bongo fleva tu.
Muziki wa injili awaachie akina Shusho.
Ni kweli..! Lakini sio kwa huu mfupa uliomshinda fisi.!Vijana wa siku hizi hawataki kusumbuana na vijana wenzao. Wanataka kubebwa mgongoni na kupelekwa tu chumbani. Longo longo ya sitaki nataka ya nini? Umri ni namba tu, mashine haizeeki
Hivi ni kwanini mtu hujiheshimu unapiga picha za faragha unazijaza kwenye mitandao ya kijamii kama binti wa miaka 16?
Alafu kwa ushauri nyie mabinti mkiolewa na waume wapya msilazimishe awe ana act kama x husband alivyokua anafanya.
Hao ni walokole mamboleo.Mmmmh jamani
Nimekua na sasa nayaona
Hivi walokole toka lini wameanza kufunga ndoa Mara mbili mbili?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Maskini kaka Wa watu anaenda kubakwa
Swali muhimu sanahapo hotelini walienda tu kupiga picha ama walilala pia?????
Ukweli wa tabia ya mtu haiwezi kujificha. Inawezekana vipi mtu mwenye akili timamu kwenda kupiga picha kwenye chuma cha kulala hotelini? Unataka kuwaambia nini watazamaji? Jinsi ulivyobobea kwenye uzinzi na sasa unataka kumwingiza kijana wa watu kwenye uasherati? Huyu mtu anayejiita mchungaji ambaye atafunga ndoa ya namna namna hii atakuwa naye ni mchungaji mamboleo na mchumia tumbo.View attachment 502692 Nimemnasa kwenye radar zangu
Anaitwa Daudi kusekwa
====+++======++++++======+++
Headlines za staa wa muziki wa Injili Tanzania Madam Flora kukaribia kufunga ndoa baada ya kutengana na aliyekuwa mumewe Emmanuel Mbasha zimekuwa zikichukua nafasi siku za hivi karibuni.
Leo April 29, 2017 millardayo.com imezipata picha 11 ambazo Madam Flora yupo na mumewe mtarajiwa ambaye anaitwa Daudi Kusekwa. Wawili hao wanatarajia kufunga ndoa April 30, 2017 jijiniMwanza.
Hizi hapa picha…