Kumbe anayemuoa Flora Mbasha ni member wa humu JF: Hongera sana mdau, imarisheni uhusiano na JF

Kumbe anayemuoa Flora Mbasha ni member wa humu JF: Hongera sana mdau, imarisheni uhusiano na JF

Unamtafutia kick sio,kwani kuna aliyeomba kujua kama yupo humu au hayupo?mwambie kama kick atapata kupitia kwa hili hili gubegube analochukua siku likimpeleka kortini kwa kumtamani mdogo wake au atakopozaa na mchungaji ktk wale atakoenda kuburudisha kwenye makongamano yao.ila naamini huyu daudi yupo humu kwa id nyengine maana jana kuna uzi hapa alikuwa anatokwa povu hatari,kitu kama Nang'wanapi sikumbuki vizuri ila na hapa lazima atakuja.
 
Mmmmh jamani

Nimekua na sasa nayaona

Hivi walokole toka lini wameanza kufunga ndoa Mara mbili mbili?
Kwani huyo ni mlokole au ni muimbaji wa nyimbo za injili ??au ukiwa muimbaji wa nyimbo za injili ni lazima uwe mlokole ??
 
Mmmmh jamani

Nimekua na sasa nayaona

Hivi walokole toka lini wameanza kufunga ndoa Mara mbili mbili?
Halafu naona kakijana bado kadogo nadhani hakajafika hata miaka 30.!
Maskini kwa jinsi nnavyosikiaga kuhusu huyu mdada sijui kama huyo dogo ataweza kumkojoza sawasawa..!!,
 
Vijana wa siku hizi hawataki kusumbuana na vijana wenzao. Wanataka kubebwa mgongoni na kupelekwa tu chumbani. Longo longo ya sitaki nataka ya nini? Umri ni namba tu, mashine haizeeki
Ni kweli..! Lakini sio kwa huu mfupa uliomshinda fisi.!
Kweli kuna "kukojozwa" mtu kweli hapo.?![emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
View attachment 502692 Nimemnasa kwenye radar zangu
Anaitwa Daudi kusekwa


====+++======++++++======+++
Headlines za staa wa muziki wa Injili Tanzania Madam Flora kukaribia kufunga ndoa baada ya kutengana na aliyekuwa mumewe Emmanuel Mbasha zimekuwa zikichukua nafasi siku za hivi karibuni.

Leo April 29, 2017 millardayo.com imezipata picha 11 ambazo Madam Flora yupo na mumewe mtarajiwa ambaye anaitwa Daudi Kusekwa. Wawili hao wanatarajia kufunga ndoa April 30, 2017 jijiniMwanza.

Hizi hapa picha…

20170427_123842.jpg


20170427_124005.jpg


20170427_124036.jpg


20170427_124107.jpg


20170427_124118.jpg


20170427_124143.jpg


20170427_124150.jpg


20170427_125223.jpg


20170427_125224.jpg


20170427_130646.jpg
Ukweli wa tabia ya mtu haiwezi kujificha. Inawezekana vipi mtu mwenye akili timamu kwenda kupiga picha kwenye chuma cha kulala hotelini? Unataka kuwaambia nini watazamaji? Jinsi ulivyobobea kwenye uzinzi na sasa unataka kumwingiza kijana wa watu kwenye uasherati? Huyu mtu anayejiita mchungaji ambaye atafunga ndoa ya namna namna hii atakuwa naye ni mchungaji mamboleo na mchumia tumbo.
 
Back
Top Bottom