Kumbe anayemuoa Flora Mbasha ni member wa humu JF: Hongera sana mdau, imarisheni uhusiano na JF

Huyu binti yuko desperate mpaka sasa.
 
Duu dogo angejua Ngwajima mzee wa misukule alikula hadi kachoka.
 
miondoko hiyo huyo pastor wa kilokole anayeenda kuwafungisha ndoa, mbona kama wameshagusishana sehemu zao tayari kabla ya ndoa?
Hahaaaaaa nilitaka kusema kitu hapa
 
Wacha wazini tu. Flora kahararisha zines kwa mujibu wa biblia.anakula anachofanya.
 
"Mlokole" anafunga ndoa mpya huku mumewe bado yu hai na madam akiwa na katoto kadogo. Tena inaonekana amemzidi umri pakubwa yule bwana mdogo. Yaani hapa dogo anaolewa na hili Nyangumi.
 
Mbona dogo anaonekana kama yuko na shangazi yake, hawa match
 
mkuu vipi na hapo kwako maji yanatoka kem kem?
 
Hhyu mwanamke anamzidi huyu mwanaume kwa umri
 
Ninekuwa nikisema kuokoka ni mpaka pale utakapo shinda majaribu yote mpaka siku ya mwisho inakukuta ukiwa na msimamo thabiti juu ya Mungu...
Ona sasa aliye okoka anafunga ndoa ya pili baada kushindilana ile ya kwanza. Uvumilivu uko wadi? Kusameheana kuko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…