Kumbe anayemuoa Flora Mbasha ni member wa humu JF: Hongera sana mdau, imarisheni uhusiano na JF

Kumbe anayemuoa Flora Mbasha ni member wa humu JF: Hongera sana mdau, imarisheni uhusiano na JF

Picha kama walikuwa wanajiandaa kuku kuchi kuchi mubashara
..maana si kwa mapicha hayo,room kawaida huwa selfie sasa hawa wameita na camera man kabisa,Kuna movie ina actiwa hapa....sio bure.
 
Hakika namuombea flora Mungu ambariki! Sio mnafiki anajua mwanadamu na si mtawa hawezi kukaa hivyo bila mwanaume maisha yake yote, heri awe na mmoja! Wanaomkashifu Flora wajitazame upya je wao ni wakamilifu hadi kumuhukumu flora? Wengi ni wazinzi wakimataifa bado wanamyooshee kidole
 
Mficha uchi hazai, mwacheni auanike wautandije azae, maisha mafupi haya
 
Huyu Flora sijui nini kimemkuta...!!
 
Hivi huyu naye si mdogo kwake kiumri kama alivyokua Mbasha. Inaonekana Flora anapenda sana viserengeti boys
 
Huyu dogo naye boya mbna anaonekana chalii mdogo kabsa uoe bibi kizeee..kisa pesa hata hvyo hana pesa za kesema huyo dem
 
hapo hotelini walienda tu kupiga picha ama walilala pia?????
Walienda kusoma novel
View attachment 502692 Nimemnasa kwenye radar zangu
Anaitwa Daudi kusekwa


====+++======++++++======+++
Headlines za staa wa muziki wa Injili Tanzania Madam Flora kukaribia kufunga ndoa baada ya kutengana na aliyekuwa mumewe Emmanuel Mbasha zimekuwa zikichukua nafasi siku za hivi karibuni.

Leo April 29, 2017 millardayo.com imezipata picha 11 ambazo Madam Flora yupo na mumewe mtarajiwa ambaye anaitwa Daudi Kusekwa. Wawili hao wanatarajia kufunga ndoa April 30, 2017 jijiniMwanza.

Hizi hapa picha…

20170427_123842.jpg


20170427_124005.jpg


20170427_124036.jpg


20170427_124107.jpg


20170427_124118.jpg


20170427_124143.jpg


20170427_124150.jpg


20170427_125223.jpg


20170427_125224.jpg


20170427_130646.jpg
 
Mmmmh jamani

Nimekua na sasa nayaona

Hivi walokole toka lini wameanza kufunga ndoa Mara mbili mbili?
Huyo siyo mlokole.anahisi ameokoka kumbe hata hakuwaki kuokoka.Mlokole aliyekutana na Yesu kweli anabadilishwa tabia na anafanya yanayompendeza Mungu.
 
Nimesoma mahali ya kwamba bw harusi ana miaka 24 tu eti.
 
Maskini kaka Wa watu anaenda kubakwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 502692 Nimemnasa kwenye radar zangu
Anaitwa Daudi kusekwa


====+++======++++++======+++
Headlines za staa wa muziki wa Injili Tanzania Madam Flora kukaribia kufunga ndoa baada ya kutengana na aliyekuwa mumewe Emmanuel Mbasha zimekuwa zikichukua nafasi siku za hivi karibuni.

Leo April 29, 2017 millardayo.com imezipata picha 11 ambazo Madam Flora yupo na mumewe mtarajiwa ambaye anaitwa Daudi Kusekwa. Wawili hao wanatarajia kufunga ndoa April 30, 2017 jijiniMwanza.

Hizi hapa picha…

20170427_123842.jpg


20170427_124005.jpg


20170427_124036.jpg


20170427_124107.jpg


20170427_124118.jpg


20170427_124143.jpg


20170427_124150.jpg


20170427_125223.jpg


20170427_125224.jpg


20170427_130646.jpg
 
Back
Top Bottom