Kumbe anayemuoa Flora Mbasha ni member wa humu JF: Hongera sana mdau, imarisheni uhusiano na JF

Dogo anabemendwa yeye anafurahia

Vijana wa siku hizi hawataki kusumbuana na vijana wenzao. Wanataka kubebwa mgongoni na kupelekwa tu chumbani. Longo longo ya sitaki nataka ya nini? Umri ni namba tu, mashine haizeeki

mbona kama kijana anamwoa bibi yake

Huyu Mtoto anataka kuchomeka kwenyeashimo ya wakubwa, atababuka, shauri yake

mwanae wa kumzaa kabisa

Halafu huyu kijana si km mdogo wake tu

Maskini kaka Wa watu anaenda kubakwa

Mbona kama katoto kwa Flora?Au macho yangu?

Mbona dogo anaonekana kama yuko na shangazi yake, hawa match

Hhyu mwanamke anamzidi huyu mwanaume kwa umri


Wabongo tuache maneno mengi! Huyo ni rais wa ufaransa umemuona na kifaa chake??
 
Guys, sioni sababu ya kujadili hapa, Tukianza kujadili Mahusiano ya mmoja mmoja wenu hapa kuna mambo tutayaona ya ajabu kiliko hili tunalo Jadili.

Lets call it life maze na mabo yanasonga mbele.

Maddam Flora Mungu akujalie Maisha mema katika ndoa yako
 
Ila psychologically tu Jamaa anaonekana atapelekeshwa mno na Flora. Sura yake imejaa uwoga mtupu na hana confidence ya kutukuka.
Flora pia anaonekana ni aina ya wanawake wanaopenda kuendesha wanaume. Hata mbasha nilimsoma alikuwa wa type ya huyu jamaa wake wa sasa.
 
Kaka hayupo comfortable kabisa. Kama kakaa na dada yake.

Ndoa njema kwao!!
 
unaonekana umekwiva mnooo!!!
[emoji39]
 
Picha mbona kama wanaakti, alafu serengeti boi, ila kambi popote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…