Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 6,696
- 6,734
Ukishangaa ya musa utayaona ya firauniMmmmh jamani
Nimekua na sasa nayaona
Hivi walokole toka lini wameanza kufunga ndoa Mara mbili mbili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishangaa ya musa utayaona ya firauniMmmmh jamani
Nimekua na sasa nayaona
Hivi walokole toka lini wameanza kufunga ndoa Mara mbili mbili?
Nani kakwambia Flora ameokoka au anadhani kila anayeimba nyimbo za injili basi kaokoka?Mmmmh jamani
Nimekua na sasa nayaona
Hivi walokole toka lini wameanza kufunga ndoa Mara mbili mbili?
Anasema wamepishana mwezi mmoja kuzaliwaHalafu huyu kijana si km mdogo wake tu
Comment ya mwanaume wa daslamNimejaribu kusoma comments naona nyingi mnamponda Mara chalii anoa mtu mzima mbona mi sion tatizo coz on the other side mtu anaamua kufanya Yale yanayompendeza na huwezi kuishi kwa matamanio ya watu unaishi utakavyo.. Give the man a break age it's just a number love doesn't care about that let em be
May yo wedding be full of joy n happiness