Kumbe anayemuoa Flora Mbasha ni member wa humu JF: Hongera sana mdau, imarisheni uhusiano na JF

Kumbe anayemuoa Flora Mbasha ni member wa humu JF: Hongera sana mdau, imarisheni uhusiano na JF

Hayo ndiyo maisha ya binadamu la kushangaza nini?????Tuzungumze tuandike mambo ya msingi wadau wakisoma wakune vichwa na kufikiri na kubuni kwa ustawi wa JamiiF.
 
Kama ni member humu bila shaka atasoma koment, naomba nikuombe kitu ki1 bwana kusweka, huyo mtoto wa flora kula wewe acha uzabezabe wa wanaume wa dar, kula kuku na mayai yake kuonesha urijali wako.
Akipata mshubaki mpya hachelewi kumsingizia kambaka mwanae hafai huyo mama kwani ya mbasha yalikuaje
 
Mimi siamini kama ni kweli kwa sababu zifuatazo:
1. Iweje ndoa hiyo ifungwa siku ya J2?? Au ni wasabato siku hizi?
2. Huyo mtumishi anayekwenda wafungia ndoa, akili zake ziko sawa kweli?? Ukristo gani jamani huo?? Uache mume (Kwani yeye Flora ndo aliomba hiyo talaka.) Hata mwaka bado ati tiyari anaoa tena. Huoni hawa waliyaanza maisha hata alipokuwa na Mbasha??
3. Je, huyu ndiye babake yule mtoi tuloambiwa ni wa Gwaji??
4. Madam F, umepatapi ujasiri wa kuitangaza injili iokoayo kwa nyimbo za injili hata baada ya kumtaliki Mbasha??
Acha kulitukanisha jina kuu la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Ukristo wa aina yako haupo
usijali ndugu hakuna tena upako hapo na tunasubiri muda tu kwani Mungu hadhihakiwi
 
Sijui mzee wa kuliamsha dude anaona wivu, ila sitoshangaa siku wakikumbushia enzi, kwa maana hawara hana talaka, ukimtaka unampata.
 
Kuolewa mara mbili si hoja hoja ni kuolewa na mtoto mdogo ndio nini kama si kuharibu watoto wa wenzake?! Aibu aibu halafu eti mlokole uchafu mtupu! Kwani Peter naye mtoto mdogo aliyemzalisha mtoto wa mwisho hakufa kumuwowaaa?! Kha ulokole huu watakaochomwa wengi haluuu!

Holier-than-thou wa JF mnashangaza kwa ulimbukeni ulionao.

Huyo mshikaji ana utotoni gani?

Ana muharibu vipi huyo mtoto kama mama yake ameridhia kumuoa au wewe ndio mama yake?

Na mafundisho gani ya kilokole yanayosema kuwa mwanamke kuolewa na mwanaume ambae ni mdogo kiumri ni uchafuu!?

Wewe hapo umeolewa kwanza au bado unatumia sur name jina la baba yako na hapa umeshikwa na wivu baada kuona mwenzako kavalishwa pete.
 
Nimejaribu kusoma comments naona nyingi mnamponda Mara chalii anoa mtu mzima mbona mi sion tatizo coz on the other side mtu anaamua kufanya Yale yanayompendeza na huwezi kuishi kwa matamanio ya watu unaishi utakavyo.. Give the man a break age it's just a number love doesn't care about that let em be
May yo wedding be full of joy n happiness
Ukiona mtu anaponda jua ni mchaga!imewauma sana kijana wao kutupiwa virago!acheni msukuma afaidi![emoji38]
 
Flora kazeeka,emmanuel mbasha naye ni kama alikuwa mdogo kwa flora,huyu ni mdogo zaidi,

Inasemekana alianza kuzisaka ndizi tangu anasoma msingi,alikuwa anatoroka kwao

Ni Mjukuu wa Marehemu Moses Kulola(RIP)
 
Mkubwa sana yani kanipita almost 5yrs
Safi sana shem![emoji122] [emoji122] [emoji122] .....ila siku hizi mnatubaka sana na Mungu anawaona!!......Kama Miss Natafuta anasubiri umri uende ili aje kubaka vijana wadogo!![emoji1]
 
"Mlokole" anafunga ndoa mpya huku mumewe bado yu hai na madam akiwa na katoto kadogo. Tena inaonekana amemzidi umri pakubwa yule bwana mdogo. Yaani hapa dogo anaolewa na hili Nyangumi.
Yaani Bedford inavuta Nissan march
 
885bbe5363f05da8717a97f59b510472.jpg
62ce62909e89885333f71334d0537a3b.jpg


Wabongo tuache maneno mengi! Huyo ni rais wa ufaransa umemuona na kifaa chake??
Wewe usituletee mambo ya ufaransa hapa. Umeambiwa kwamba jamaa mlokole au mke wake?? Jamaa pia wanamponda vilevile
 
Kila la kheri kwenye ndoa yenuuu migegedano memaaa[emoji4] [emoji125]
 
Wanaume wanaobakwa JF kwa style ya mahusiano kama haya pia wapo!
 
Back
Top Bottom