Askofu Gwajima siku zinavyozidi kwenda anazidi kuwaaminishia watanzania kuwa yeye si mtu wa kuyumbishwa yumbishwa na wachumia tumbo hata kama yupo chama cha CCM , ana uwezo wa kumpinga Mwenyekiti wake pamoja na viongozi wote wa CCM kama sehemu ya misimamo yake pamoja na imani yake. Nguvu hii anayoipeleka moja kwa moja kwa wafuasi wake waliotapakaa nchini kupitia makanisa yake kuwa tusiyumbishwe na misimamo feki ya Serikali kuhusu chanjo ya Korona.
Tafsiri hii inaniambia kuwa Mchungaji Gwajima kama watu wanavyomwita jina la utani Gwaji Boy kama kiongozi wa wafuasi wake ameonesha kutotetereka na kusimamia misimamo thabiti kulingana na miongozo yake ya imani toka hapo awali , hii inaonesha kuwa Gwajima ni binadamu ambaye ni kiongozi kwa imani mwenye misimamo imara ambayo ipo tofauti sana na hii ya wasaka tonge kama kina Mnyika , Tundu Lissu , Mbatia , Zitto Kabwe na viongozi wengine wa kisiasa.
Gwajima akianzisha chama chake cha kisiasa na akaongeza miundombinu na akaweka sera nzuri ambazo zinatekelezeka zenye mlengo wa kutatua matatizo ya watanzania na kwasababu mpaka sasa tayari anawafuasi karibia mikoa yote nchini basi kwa hali hiyo anaweza kuwa kiongozi wa kisiasa mwenye mapinduzi makubwa nchini.
Sifa kubwa ya ushawishi aliyonayo hii ni moja ya kigezo kikubwa kwake.
Nileteeeni Gwajimaaa
Nileteeni Gwajimaaaa
Nileteeeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaa .... maneno ya mwendazake JPM.....
Tafsiri hii inaniambia kuwa Mchungaji Gwajima kama watu wanavyomwita jina la utani Gwaji Boy kama kiongozi wa wafuasi wake ameonesha kutotetereka na kusimamia misimamo thabiti kulingana na miongozo yake ya imani toka hapo awali , hii inaonesha kuwa Gwajima ni binadamu ambaye ni kiongozi kwa imani mwenye misimamo imara ambayo ipo tofauti sana na hii ya wasaka tonge kama kina Mnyika , Tundu Lissu , Mbatia , Zitto Kabwe na viongozi wengine wa kisiasa.
Gwajima akianzisha chama chake cha kisiasa na akaongeza miundombinu na akaweka sera nzuri ambazo zinatekelezeka zenye mlengo wa kutatua matatizo ya watanzania na kwasababu mpaka sasa tayari anawafuasi karibia mikoa yote nchini basi kwa hali hiyo anaweza kuwa kiongozi wa kisiasa mwenye mapinduzi makubwa nchini.
Sifa kubwa ya ushawishi aliyonayo hii ni moja ya kigezo kikubwa kwake.
Nileteeeni Gwajimaaa
Nileteeni Gwajimaaaa
Nileteeeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaa .... maneno ya mwendazake JPM.....