Hapa siyo msikitini Sheikh...... Na kama Allah amepanga nafsi ya mtu iondoke kwa sababu yoyote ile basi hakuna cha WHO wala nani zaidi ni kuangalia namna ya kumrejea Allah pekee..
Ningekuwa na uwezo ningeamrisha watu wote wavae fully stara fully hijab fully niqqab. Ili ghadhabu za Allah zipungue zidi yetu.
Tukusaidie nini sasa. Kama umeamua kutochanjwa si basi?Covid-19 Updates: F.D.A.’s Vaccine Approval Leads Pentagon and Others to Add Requirements
The defense secretary will order the country’s 1.4 million active-duty service members to be vaccinated. The federal approval could also have implications for state bans on vaccine mandates.www.nytimes.com
swali ni je imekuwa scientifically approved au politically approved?
..... Na kama Allah amepanga nafsi ya mtu iondoke kwa sababu yoyote ile basi hakuna cha WHO wala nani zaidi ni kuangalia namna ya kumrejea Allah pekee..
Ningekuwa na uwezo ningeamrisha watu wote wavae fully stara fully hijab fully niqqab. Ili ghadhabu za Allah zipungue zidi yetu.
Gwajima anajua chochote kuhusu masuala ya Afya, Tiba au Chanjo ?Gwajima Yuko Sasa ndiyo maana hakuna mwanasayansi aliyetokea mpaka kujibu maswali ya Gwajima,hata Ile tume ya Corona wamekimbia.
Sana Sana wanaishia kusema anapotosha.
Mbona hata wewe mwenye weledi wa kitanzania hujamjibu,zaidi mnashirikiana kupotisha.Gwajima Yuko Sasa ndiyo maana hakuna mwanasayansi aliyetokea mpaka kujibu maswali ya Gwajima,hata Ile tume ya Corona wamekimbia.
Na wanaojitutumua kumjibu Sana Sana wanaishia kusema anapotosha tu.
Kuvaa hivyo ndiyo usafi wa nafsi au ndiyo uchaji Mungu?..... Na kama Allah amepanga nafsi ya mtu iondoke kwa sababu yoyote ile basi hakuna cha WHO wala nani zaidi ni kuangalia namna ya kumrejea Allah pekee..
Ningekuwa na uwezo ningeamrisha watu wote wavae fully stara fully hijab fully niqqab. Ili ghadhabu za Allah zipungue zidi yetu.
Naona huelewi taratibu za dawa.Covid-19 Updates: F.D.A.’s Vaccine Approval Leads Pentagon and Others to Add Requirements
The defense secretary will order the country’s 1.4 million active-duty service members to be vaccinated. The federal approval could also have implications for state bans on vaccine mandates.www.nytimes.com
swali ni je imekuwa scientifically approved au politically approved?
Chanjo inatolewa begani.
Kataa kutumia dawa zote, rudi kwenye mizizi ya miti ambayo utafabyia majaribio wewe mwenyewe, na utaidhinisha mwenyewe.Unafikiri WHO ni malaika?,fahamu hao ni binadamu wana mapungufu pia,wana interest zao,wananunulika ,wanaweza kiuka viapo vyao.
Remember hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Hawezi kuelewa huyoChanjo zote za COVID zimeidhinishwa na WHO kwaajili ya matumizi ya dharula kwasababu maisha ya watu yanapotea na shughuli ,a kiuchumi nyingi zilisimama.
Na bahati nzuri zimepunguza vifo kwa kiasi kikubwa sana.
Jumanne anasema ataweka link ya zoom juu ya mahojiano yake na mgunduzi wa MRN sijui na mhunduzi wa chanjo ya Covid ambayo inaenda huko kwenye MRN.Gwajima anajua chochote kuhusu masuala ya Afya, Tiba au Chanjo ?
Kubishana na Gwajima ni utaahira wa hali ya juu.
Ni sawa na kumchukua Haji Manara akabishane na Elon Musk kuhusu masuala ya Space Exploration. Ni upumbavu tu na kupotezeana muda.
Na simu atupe kule, hata hayo mafuta ya ngozi na nywele yanaweza kuwa na sumuKataa kutumia dawa zote, rudi kwenye mizizi ya miti ambayo utafabyia majaribio wewe mwenyewe, na utaidhinisha mwenyewe.
Acha kutumia dawa zote, subiria maamuzi ya Allah ili uishi au usiishi...... Na kama Allah amepanga nafsi ya mtu iondoke kwa sababu yoyote ile basi hakuna cha WHO wala nani zaidi ni kuangalia namna ya kumrejea Allah pekee..
Ningekuwa na uwezo ningeamrisha watu wote wavae fully stara fully hijab fully niqqab. Ili ghadhabu za Allah zipungue zidi yetu.
Gwajima ni tapeli jasiri sana. Jumanne ni kesho tu wala siyo mwaka 3,000.Jumanne anasema ataweka link ya zoom juu ya mahojiano yake na mgunduzi wa MRN sijui na mhunduzi wa chanjo ya Covid ambayo inaenda huko kwenye MRN.
Hapa nimekuelewa sanaChanjo zote za COVID zimeidhinishwa na WHO kwaajili ya matumizi ya dharula kwasababu maisha ya watu yanapotea na shughuli ,a kiuchumi nyingi zilisimama.
Na bahati nzuri zimepunguza vifo kwa kiasi kikubwa sana.
Wewe ndo tueleze tuanzia hapa ukinibu hili niulize la pili.Mbona hata wewe mwenye weledi wa kitanzania hujamjibu,zaidi mnashirikiana kupotisha.
Mbona hata wewe mwenye weledi wa kitanzania hujamjibu,zaidi mnashirikiana kupotisha.