-ArkadHill
JF-Expert Member
- Nov 1, 2023
- 845
- 1,501
Kumeanza kuchangamka sasa. Slogan ni ile ile tetea ugali wako mapema.
Sisi Watanzania hakika tulirogwa. Makofi tafadhali.
Sisi Watanzania hakika tulirogwa. Makofi tafadhali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ZipoKumeanza kuchangamka sasa. Slogan ni ile ile tetea ugali wako mapema.
Sisi Watanzania hakika tulirogwa. Makofi tafadhali.
View attachment 3224961
Watanzania kazi tunayo.Kumeanza kuchangamka sasa. Slogan ni ile ile tetea ugali wako mapema.
Sisi Watanzania hakika tulirogwa. Makofi tafadhali.
View attachment 3224961
Zipo sana.Kumeanza kuchangamka sasa. Slogan ni ile ile tetea ugali wako mapema.
Sisi Watanzania hakika tulirogwa. Makofi tafadhali.
View attachment 3224961
Kwa nini anavaa kofia ya wakomunisti wa red army wakati yeye ni bepari?Zipo
Kama vile anataka kulia ni wazi kabisa nafsi inamsutaMbona kama anongea kwa jazba sana tofauti na watu wa pwani ilivyozoeleka?!
Hii inchi sasa imeshakua ya wachache, yaani wa koo fulani tu, acha tuone.Zipo sana.
Kuna mheshimiwa alienda Kijiji Fulani akawaambia atajenga daraja kwenye Barbara kuu ya kuingilia kijijini hapo.
Wanakijiji wakamwambia mheshimiwa hatuna mto Wala mfereji hapa kijijini.
Mheshimiwa akaropoka. Nitaleta greda nichimbe mto niweke daraja.
Watu:: we we weeeeee🎵🎶🎵🎵🎶
😂🤣😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
THIS IS AFRICA.
Illiteracy na ufukara ni vitu vibaya sana mkuuYaani raisi atoe BILLION 2. 5 kwaajili ya daraja kijijini huko hata dsm ni haiwezekan
Mungu atusaidie
Uongo hadi yeye mwenyewe anajistukia kimoyo moyo anasema hapa wapiga kura ni wapumbavu kwel kwel
Wananchi wameingiwa mioyoni😂😂😂 ila hii nchiKumeanza kuchangamka sasa. Slogan ni ile ile tetea ugali wako mapema.
Sisi Watanzania hakika tulirogwa. Makofi tafadhali.
View attachment 3224961
Wengine tushasahau rami, yaan barabara ya Ntyuka Dodoma imejengwa zaidi ya miaka sita na ahiishi, Anthony Mavunde anakula tu kuku kwa MrijaKumeanza kuchangamka sasa. Slogan ni ile ile tetea ugali wako mapema.
Sisi Watanzania hakika tulirogwa. Makofi tafadhali.
View attachment 3224961
Hiyo ndio maana ya kuleni kwa urefu wa kamba zenuWengine tushasahau rami, yaan barabara ya Ntyuka Dodoma imejengwa zaidi ya miaka sita na ahiishi, Anthony Mavunde anakula tu kuku kwa Mrija
Nachukia mm jamanHiyo ndio maana ya kuleni kwa urefu wa kamba zenu
hili tapeli bila kupepesa machoKumeanza kuchangamka sasa. Slogan ni ile ile tetea ugali wako mapema.
Sisi Watanzania hakika tulirogwa. Makofi tafadhali.
View attachment 3224961
😂😂😂@grahams gombea ubungeZipo sana.
Kuna mheshimiwa alienda Kijiji Fulani akawaambia atajenga daraja kwenye Barbara kuu ya kuingilia kijijini hapo.
Wanakijiji wakamwambia mheshimiwa hatuna mto Wala mfereji hapa kijijini.
Mheshimiwa akaropoka. Nitaleta greda nichimbe mto niweke daraja.
Watu:: we we weeeeee🎵🎶🎵🎵🎶
😂🤣😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
THIS IS AFRICA.