Kumbe Bashiru Ally, Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM ni Mwanachama wa CUF?

Kumbe Bashiru Ally, Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM ni Mwanachama wa CUF?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU?

Ukweli huu umebainishwa na Bulembo aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazee wa CCM, ambayo iliwahi kushutumiwa na Kamati ya kuchunguza mali za CCM kwamba imetafuna hela na kuua shule za jumuiya hiyo.

Haya kwangu ni maajabu ya hatari sana.
 
Nakumbuka magufuli alisema kuna watu ccm walisema ameteua mtu toka cuf kuwa katibu mkuu. Leo ndo sasa tunawajua waliosema hivyo.
Wana ccm wengi hawakumuunga mkono Bashiru ila sema hawakuwa na sehemu ya kusemea kipindi hicho.
 
Back
Top Bottom