Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hawezi kukuelewa huyoNimeandika kimkakati mkuu , Mwenyekiti wa kamati ya kuhakiki mali za ccm alikuwa Bashiru Ally
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kukuelewa huyoNimeandika kimkakati mkuu , Mwenyekiti wa kamati ya kuhakiki mali za ccm alikuwa Bashiru Ally
Mkuu jaribu kuangalia scenario mzima ndiyo uje tenaSasa unamuaminije mtu aliyekula pesa za shule
Wote ni ndugu zake wa kanda pendwaSi tu alimteua mwanachama wa CUF kuwa Katibu Mkuu bali pia aliteua 'Kiroboto' kuwa Katibu Mwenezi.
Lowasa ni mwana ccmKama nyie mlivyozoa Lowasa, mtu mliyemwita Fisadi kwa miaka 10!!
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Unajifariji tuu mkuu,mambo ya misuguano ccm ni kawaida.Chama Cha Mazuzu. Siku sio nyingi muujiza mkubwa kabisa Utatokea ndani ya chama hicho
Endelea kujipa , CCM itatawala mileleTunaisubiri siku hiyo isiyo na jina ambayo ikitokea basi watanzania watasherehekea siku 7 mitaani.
Ni kweli kabisa. Hata Polepole hakuwa mwana CCM bali alikuwa CHADEMA. Hata Magufuli mwenyewe alikuwa mwana NCCR Mageuzi.Kiukweli hili sikulijua wakuu , hivi iliwezekanaje mwanachama wa cuf kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU ?
Ukweli huu umebainishwa na Bulembo aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazee wa ccm , ambayo iliwahi kushutumiwa na Kamati ya kuchunguza mali za ccm kwamba imetafuna hela na kuua shule za jumuiya hiyo .
Haya kwangu ni maajabu ya hatari sana !
Itatawala milele nyumbani kwenu kibaigwaEndelea kujipa , CCM itatawala milele
Ni lini kakoko amekutwa na kashfa za uizi .tuache kushabia vituNi kweli kabisa. Hata Polepole hakuwa mwana CCM bali alikuwa CHADEMA. Hata Magufuli mwenyewe alikuwa mwana NCCR Mageuzi.
Anyway mwisho wa siku sisi sote ni watanzania sioni tatizo.
Magufuli alikuwa na vigezo vyake vya kutafuta wasaidizi wenye HULKA kama yake ya ukatili, ubaguzi, ubabe na UWONGO na uwizi.
Angalia hawa wote; Makonda (kuua na dhuluma), Ole Sabaya (kuua na dhuluma), Bashiru (propaganda za uwongo), Chalamila (vurugu na ukosefu maadili), Deus Kakoko (uwizi wa fedha), Kabudi (propaganda za uwongo), Polepole (propaganda na uzinzi), Cyprian Musiba (matusi kuropoka)
Na aliongeza kuwa kama Bashiru ni mwanachama wa CUF ambaye anaweza kudhibiti wizi ndani ya CCM, yeye anamtaka huyo huyo.Nakumbuka magufuli alisema kuna watu ccm walisema ameteua mtu toka cuf kuwa katibu mkuu. Leo ndo sasa tunawajua waliosema hivyo.
Bulembo angeweza kuwa na hoja kama angetoa kadi ya uanachama ya Bashiru inayo onesha alijiunga na CUF lini, nje ya hapo ni mmoja ya wanasiasa wanaooiga kelele bila kuwa na facts.Kiukweli hili sikulijua wakuu , hivi iliwezekanaje mwanachama wa cuf kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU ?
Ukweli huu umebainishwa na Bulembo aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazee wa ccm , ambayo iliwahi kushutumiwa na Kamati ya kuchunguza mali za ccm kwamba imetafuna hela na kuua shule za jumuiya hiyo .
Haya kwangu ni maajabu ya hatari sana !
Lakini Mkuu Bulembo ni wa Kyaka(karibu na Uganda) na Bashiru ni wa Katerero yaani Kapigio ahahahah!Bulembo na Bashiru ni wahaya lkn Bashiru uhaya wake unatiliwa mashaka sana kuwa ni wa burundi
Burembo ni mwana ccm na kiongozi asiyeongozwa na weledi maana hana elimu.Lakini Mkuu Bulembo ni wa Kyaka(karibu na Uganda) na Bashiru ni wa Katerero yaani Kapigio ahahahah!
Bulembo kaongea utoto sana pale aliposema 'Polepole hana hela na mimi na mzidi kwa hela'
Nikajisemea moyoni, yaleee yaliyotabiliwa yametimia..CHAMA HIKI KISHAKUWA CHA MATAJIRI.
Kwaheri Ukoloni kwaheri Uhuru!
Kwani ile kesi yake iliisha?Ni lini kakoko amekutwa na kashfa za uizi .tuache kushabia vitu
Huyo alipewa cheo kutokana na kabila lake,ni muhaya wa Karagwe,misenyeKiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU?
Ukweli huu umebainishwa na Bulembo aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazee wa CCM, ambayo iliwahi kushutumiwa na Kamati ya kuchunguza mali za CCM kwamba imetafuna hela na kuua shule za jumuiya hiyo.
Haya kwangu ni maajabu ya hatari sana !
Pole pole aliposema unayajua ma v8 alimaanisha chama Cha masikini au matajiri.Lakini Mkuu Bulembo ni wa Kyaka(karibu na Uganda) na Bashiru ni wa Katerero yaani Kapigio ahahahah!
Bulembo kaongea utoto sana pale aliposema 'Polepole hana hela na mimi na mzidi kwa hela'
Nikajisemea moyoni, yaleee yaliyotabiliwa yametimia..CHAMA HIKI KISHAKUWA CHA MATAJIRI.
Kwaheri Ukoloni kwaheri Uhuru!
Akili zako za kuokoteza yaani hujui watu wanaongelea kitu gani.Mbona MaCHADEMA hamumshangai Dr. Slaa amepewa Mpaka ubalozi. CHADEMA ilishakufa sasa subiri Mbowe aondoke mgawane lile pagala la ufipa.