Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli alikuwa cuf ya maalim seifKiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU...
Tena ni mtu wa hovyo sn huyo mzeeBashiru ni moja ya mapandikizi toka nchi jirani yaliyoingizwa kwenye mfumo wetu ili Tanzania iende chini ya empire ya wale watu...
Kila mtu atavuna alichopandaHakuna jiwe litaachwa bila kufunuliwa madamu wenye chama chao wamerudi. Ndo tutajua yupi kiroboto na yupi kunguni.
Haa Hii BhaghoshaLazima asemwe alikuwa mtu wa hovyo kabisa
Ndiyo hivyo mkuuHaa Hii Bhaghosha
Mkuu wewe umekuja lini kutoka mwezini- mbona siyo siri hata JPM alisema pamoja na U - CUF wake yeye ameona ndiye awe katibu mkuu wa CCM. Bashiru na Poleple walikuwa CCM kwa mkopoKiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU...
Na hilo nalo hujui? Duh.hujui hata sifa zinazomfanya mtu awe mbunge??? Hao covid 19 wanazo??? Unataka watu lazima tujadili utoto wako???Hivi wale wabunge wa covid-19 waliingia bungeni kwa tiketi ya chama gani?
Raisi wa chadema ndo cheo gani? Mwambie wakutume vizuri ya kuandika kilaza weweKWELI, mpaka kada wa CCM (Lowassa) Kawa raisi wa CHADEMA! Huu ndio Uzuri wa kuwa mtanzania.
Huyo Msigwa alivyo sema atakaye muunga mkono Lowasa akapimwe akili, je alivyo baadae yeye akaja kumuunga mkono, alikuja na cheti kutoka milembe cha kuonyesha amepima akili?Bulembo angeweza kuwa na hoja kama angetoa kadi ya uanachama ya Bashiru inayo onesha alijiunga na CUF lini, nje ya hapo ni mmoja ya wanasiasa wanaooiga kelele bila kuwa na facts...
Na hayo ndio maendeleo ya Watanzania.Hakuna jiwe litaachwa bila kufunuliwa madamu wenye chama chao wamerudi. Ndo tutajua yupi kiroboto na yupi kunguni.
Ngoja inyeshe 😁😁Kiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU...
Mare umesahau mlikuwa mna mshangilia raisi, raisi, raisi, Lowassa, Lowassa, raisi, CHADEMA, CHADEMA. Sikuhizi bado Lissu mnamshamgilia hivyo hivyo. Akili zako kidogo nini? Umeisha sahau! Lo! Sasa nimekukumbusha wewe kilaza.Raisi wa chadema ndo cheo gani? Mwambie wakutume vizuri ya kuandika kilaza wewe
Ni Sawa na Hangaya. Wengi ndani ya Chama na serikalini hawamuungi mkono ila unafiki umewatawala waweze kulinda matumbo yao.Wana ccm wengi hawakumuunga mkono Bashiru ila sema hawakuwa na sehemu ya kusemea kipindi hicho.
Nawaza na kuwazua hiviii 2025 general election watakuw na tabia zao zilezile za UNYAMA UNYAMA, kwakweli MDA wa CCM kuitawala hii Tanganyika umekwisha aiseee, maana hii sio Tanzania ni TanganyikaMwisho wao ndio tayari umewadia
Hao ndiyo aina ya viongozi tulio nao.Ni Sawa na Hangaya. Wengi ndani ya Chama na serikalini hawamuungi mkono ila unafiki umewatawala waweze kulinda matumbo yao.
Mkuu kumbuka kuwa muda ukifika hakuna mtu yeyote yule awezae kuuzuia.Nawaza na kuwazua hiviii 2025 general election watakuw na tabia zao zilezile za UNYAMA UNYAMA, kwakweli MDA wa CCM kuitawala hii Tanganyika umekwisha aiseee, maana hii sio Tanzania ni Tanganyika
Bro kipind cha utawala wa Meku, forces was applied sanaaaaa bro kwan unadhan watu walitaka kuishi kwa mashakaMare umesahau mlikuwa mna mshangilia raisi, raisi, raisi, Lowassa, Lowassa, raisi, CHADEMA, CHADEMA. Sikuhizi bado Lissu mnamshamgilia hivyo hivyo. Akili zako kidogo nini? Umeisha sahau! Lo! Sasa nimekukumbusha wewe kilaza.