Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha inyeshe tuone panapovuja.Kiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU...
Ahahaha chama gan hiko mkuu CCM, CUF AU CHADEMAChama Cha majinga
kama hili liliwezekana mengine yote yanawezekana.Kiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU...
Kama dola ya kirumi iliyotawala dunia yote haikudumu, itakuwa hicho kikundi chenu cha wahuni na wachawi? Mtatoka tu!Endelea kujipa , CCM itatawala milele
Kama CDM imekufa CCM mnateseka nini? Si mshangilie mle bata[emoji1787]Mbona MaCHADEMA hamumshangai Dr. Slaa amepewa Mpaka ubalozi. CHADEMA ilishakufa sasa subiri Mbowe aondoke mgawane lile pagala la ufipa.
Enzo za utawala wa Rais Magufuli ilikuwa ni unafik, unyama unyama na force Nd ilitumika kuliko katiba, kuliko Sheria kuliko busara , kwahyooo mm sikushangaa Kwa Lowasa kuwa hvyooo
Umekalia propaganda za kishenzi kabisa .Unajua gharama za kuendesha serikali 3 wewe? Hao kabudi na polepole wanatoa hela zao mfukoni kuendesha iyo serikali ya 3??
Mkuu Sio leo Wala kesho,labda miaka 1000 ijayo!!Kama dola ya kirumi iliyotawala dunia yote haikudumu, itakuwa hicho kikundi chenu cha wahuni na wachawi? Mtatoka tu!
Mtatoka tu! Sooner than you think.Mkuu Sio leo Wala kesho,labda miaka 1000 ijayo!!
Alikuwa juu ya kila kitu mazee
Chama Cha Mazuzu. Siku sio nyingi muujiza mkubwa kabisa Utatokea ndani ya chama hicho
Mko mbioni MDA sio mrefu mtatoka tuuuuMkuu Sio leo Wala kesho,labda miaka 1000 ijayo!!
Alafu tatzo la CCM Wana viongozi wasiojielewa , wasioelewa maana halisi ya democracy , tukianzia kwenye wajumbeee Nd usiseme maboyaaaaa kinomaMtatoka tu! Sooner than you think.
Mtatoka tu! Sooner than you think.
Unyasi mkavu😀Si tu alimteua mwanachama wa CUF kuwa Katibu Mkuu bali pia aliteua 'Kiroboto' kuwa Katibu Mwenezi.
Yeah! Pale Omukajunguti ndipo ulikuwa ujengwe uwanja wa ndege wa Kimataifa wa East Afrika nasikia ukapelekwa Chattle!Mkuu kutokana na shughuli zangu za kila siku nilijikuta nafika nyumbani kwa Bulembo .
Ni pale ukitoka Omukajunguti kuna kutuo cha afya kinamilikiwa na roman Catholic na kijiji cha kina Bulembo pia kinaitwa hivyo hivyo jina la Bulembo.
Wote wanegeuka kuwa mazezeta hata kula na kipofu hawajui!Alafu tatzo la CCM Wana viongozi wasiojielewa , wasioelewa maana halisi ya democracy , tukianzia kwenye wajumbeee Nd usiseme maboyaaaaa kinoma
Marehemu huwa hasemwi vibaya ila ukweli yule marehemu alikuwa crazy. Na ndio maana hata yeye mwenyewe alikiri kuwa kichaa.Mkuu mbona ile siku ya kuteuliwa na jiwe alisema kabisa kuwa nakuteua ingawa wewe ni CUF lkn nataka ukachape kazi