Kumbe Bashiru Ally, Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM ni Mwanachama wa CUF?

Kumbe Bashiru Ally, Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM ni Mwanachama wa CUF?

Kiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU...
kama hili liliwezekana mengine yote yanawezekana.

cdm.jpeg
 
Kama aliteu Na kusema hadhalani na leo watu wanajisheua kana kwamba ndo wanajua basi ni wahuni hao ma marofa.

Watanzania wengi huwa hawajui jana ilikuwaje na ndo maana hawawezi kujikosoa hata wenyewe.
 
Mkuu kutokana na shughuli zangu za kila siku nilijikuta nafika nyumbani kwa Bulembo .

Ni pale ukitoka Omukajunguti kuna kutuo cha afya kinamilikiwa na roman Catholic na kijiji cha kina Bulembo pia kinaitwa hivyo hivyo jina la Bulembo.
Yeah! Pale Omukajunguti ndipo ulikuwa ujengwe uwanja wa ndege wa Kimataifa wa East Afrika nasikia ukapelekwa Chattle!

Sema akina Bulembo ni familia kubwa sana, hayo maeneo sindo anatoka pia Jamal Malinzi?
 
Alafu tatzo la CCM Wana viongozi wasiojielewa , wasioelewa maana halisi ya democracy , tukianzia kwenye wajumbeee Nd usiseme maboyaaaaa kinoma
Wote wanegeuka kuwa mazezeta hata kula na kipofu hawajui!
 
Back
Top Bottom