Kumbe Bashiru Ally, Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM ni Mwanachama wa CUF?

Kumbe Bashiru Ally, Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM ni Mwanachama wa CUF?

Bulembo angeweza kuwa na hoja kama angetoa kadi ya uanachama ya Bashiru inayo onesha alijiunga na CUF lini, nje ya hapo ni mmoja ya wanasiasa wanaooiga kelele bila kuwa na facts.

Tupo kwenye dunia ambayo hoja inajibiwa kwa hoja bora zaidi na sio kelele za propaganda nyepesi.

Juzi, Rev. Peter Msigwa katoa changamoto nzuri, kwanini wanashindwa kujibu hoja za Polepole, cha ajabu Bulembo nae anarejea/kutumbukia kwenye genge la .... ambao wanapungukiwa na facts kwenye kujibu hoja.
Kwenye siasa za tanzania chini ya ccm hoja kwa hoja hiyo kitu ilishazikwa kitambo
 
Siku Tanganyika itakapo jitambua na kupata serikali na Rais wake ndipo zimwi hili litakapofikia ukomo wake. Ni jambo la kutumainisha kusikia Prof Kabudi na Polepole walitaka serikali tatu. Kiongozi mstafu mwandamizi anaomba mdahalo wa kitaarabu na Polepole.
 
Lakini Mkuu Bulembo ni wa Kyaka(karibu na Uganda) na Bashiru ni wa Katerero yaani Kapigio ahahahah!

Bulembo kaongea utoto sana pale aliposema 'Polepole hana hela na mimi na mzidi kwa hela'

Nikajisemea moyoni, yaleee yaliyotabiliwa yametimia..CHAMA HIKI KISHAKUWA CHA MATAJIRI.

Kwaheri Ukoloni kwaheri Uhuru!
Mkuu kutokana na shughuli zangu za kila siku nilijikuta nafika nyumbani kwa Bulembo .

Ni pale ukitoka Omukajunguti kuna kutuo cha afya kinamilikiwa na roman Catholic na kijiji cha kina Bulembo pia kinaitwa hivyo hivyo jina la Bulembo.
 
Kiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU?

Ukweli huu umebainishwa na Bulembo aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazee wa CCM, ambayo iliwahi kushutumiwa na Kamati ya kuchunguza mali za CCM kwamba imetafuna hela na kuua shule za jumuiya hiyo.

Haya kwangu ni maajabu ya hatari sana !
Bashiru ni moja ya mapandikizi toka nchi jirani yaliyoingizwa kwenye mfumo wetu ili Tanzania iende chini ya empire ya wale watu!

Ndugu yake Mburundi mwenzie alimteua hadi kuwa Katibu Mkuu kiongozi ili rasmi Tiss iendeshwe na pandikizi la nchi jirani!

Bashiru sio tu alikuwa cuf Ila sio raia wa Tz
 
Siku Tanganyika itakapo jitambua na kupata serikali na Rais wake ndipo zimwi hili litakapofikia ukomo wake. Ni jambo la kutumainisha kusikia Prof Kabudi na Polepole walitaka serikali tatu. Kiongozi mstafu mwandamizi anaomba mdahalo wa kitaarabu na Polepole.
Unajua gharama za kuendesha serikali 3 wewe? Hao kabudi na polepole wanatoa hela zao mfukoni kuendesha iyo serikali ya 3??
 
Ni lini kakoko amekutwa na kashfa za uizi .tuache kushabia vitu
Mnabisha tu lakini hamna mnachokijua. Hukusoma ripoti ya CAG 2019/20?

 
Kiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU?

Ukweli huu umebainishwa na Bulembo aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazee wa CCM, ambayo iliwahi kushutumiwa na Kamati ya kuchunguza mali za CCM kwamba imetafuna hela na kuua shule za jumuiya hiyo.

Haya kwangu ni maajabu ya hatari sana !

Kwenye Utawala Wa Meko Chochote Kiliwezekana
 
Kiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU?

Ukweli huu umebainishwa na Bulembo aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazee wa CCM, ambayo iliwahi kushutumiwa na Kamati ya kuchunguza mali za CCM kwamba imetafuna hela na kuua shule za jumuiya hiyo.

Haya kwangu ni maajabu ya hatari sana !
hata Magufuli alisema Bashiru ni kutoka Cuf
 
Kiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU?

Ukweli huu umebainishwa na Bulembo aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazee wa CCM, ambayo iliwahi kushutumiwa na Kamati ya kuchunguza mali za CCM kwamba imetafuna hela na kuua shule za jumuiya hiyo.

Haya kwangu ni maajabu ya hatari sana !
Kifo cha dikteta kimesaidia sn kujua maovu mengi
 
Chadema si ndo washamba kabisa mtu atoke CCM wamfanye agombee uraisi kwa chama chao hata mwaka hajamaliza
 
Back
Top Bottom