Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,760
- 3,733
Na BAM pia hukuiona? Kata kichwa hicho kitakupeleka gizaniNimeona Economics, Accountancy haikuonekana.
Ndiyo Dr Minyoo, njoo nikuondolee safura waliokujaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na BAM pia hukuiona? Kata kichwa hicho kitakupeleka gizaniNimeona Economics, Accountancy haikuonekana.
Ndiyo Dr Minyoo, njoo nikuondolee safura waliokujaa.
Haya ...Kilaza huyo!
Bam anapata F[emoji23][emoji23]
Humu kila mtu ana akiliNdio shida zetu watu weusi..COMPARISON & JUDGING.. " huyu ana akili, huyu hana", "huyu yuko hiv, huyu yuko vile".
What is this all for??
How does this help ?
End of a day u need to avail something on table for your loved ones regardless u had 1 or 0.
So alidisco au?Jamaa namkumbuka first year pale IFM 2011/2012 , tumetoka kwenye paper ya QM namkuta pale screen saver (geti la Makumbusho) kajiinamia namuuliza vipi bro, anasema hesabu ngumu sana, sikuwahi muona tena baada ya Ile sem 1 pale chuoni
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani unaona Kuna BAM Tena unasema EGM . Unawahi wapi? Dr minyooo
Accountancy yenyewe ana FNimeona Economics, Accountancy haikuonekana.
Ndiyo Dr Minyoo, njoo nikuondolee safura waliokujaa.
We uliyepata A unaendeaje hapo ofcn? Liquidity ratio yako vip, liability haijazid Asset kweli?Kilaza huyo!
Bam anapata F[emoji23][emoji23]
Kasoma Vingunguti enzi Zile wanafaulu wachache SanaSasa si alikuwa anasoma huku anafanya mziki kuna interview aliwahi kufanya hta hyo 3 amejitahidi.
Sijui mana mimi nilikuwa computer science yeye nadhani mambo ya social protection kama sio Bank and financeSo alidisco au?
[emoji3516]
NASHAURI WAENDE T.I.A, ISW, MNMA, MU N.K. WAKAANZE UPYA.
WATAJIPATIA SHAHADA ZAO SAFI KABISA!!!
Sure mkuu,[emoji3516]
NASHAURI WAENDE T.I.A, ISW, MNMA, MU N.K. WAKAANZE UPYA.
WATAJIPATIA SHAHADA ZAO SAFI KABISA!!!
Huyo Mrap anapenda sana Muziki na ndugu zake inaonesha Wana wezo walipambania sana kumwezesha lakini Muziki umemkataaBen paul, M-rap lion wote wali disco IFM
Hamna mambo mengi kivp? Kwamba degree zinagawiwa holela?Sure mkuu,
Me nimesoma T.I.A pale hamna mambo mengi yan mtu aki disco T.I.A basi ujue huyo ana matatizo ya akili
Sure mkuu,
Me nimesoma T.I.A pale hamna mambo mengi yan mtu aki disco T.I.A basi ujue huyo ana matatizo ya akili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann??Watu wa siku hizi!dv3 ndio kipanga?wenzenu tulikuwa tunajificha ndani Kwa muda ukipata huyo dv
Sasa huyo Bernard alibakiwa na nini mpka anaitwa kipangaNaona wengi wanabeza tu,
Je uwezo mkubwa wa kukariri ndio kiwango cha akili?
Ili tukuite unaakili lazima tuondoe maarifa yote uliyopata darasani, kile kinachobaki ndio akili..
Je umeshajiuliza utabaki na nini?
Debe tupu.