Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Kwa kizazi cha sasa anaweza kuwa. Lakini wale waliomaliza miaka ya sabini na themanini divisheni three wala si kipanga chochote. Hata divisheni wani kama ina tarakimu mbili, wakati ule, mhusika hakuwa kipanga
Weka div1 waione uondoe ubishi
We una 1 bana
Ova
-kwanza kabisa, sio Twilimba, ni Twilumba hapo umeonyesha wewe ni Kilaza First ClassAngalia unavyozidi kudhihirisha ukilaza wako!
Twilimba ndiye mleta uzi huu?
Maana umesema mleta mada ndiye aliyeleta hoja ya asset na liability!
Huyo Twilimba nilishamjibu kuwa alichokosema hapa kwenye huu uzi siyo mahali pake, aanzishe uzi unaohusu hilo nikamjibu huko, ametulia! Jambo ambalo hata wewe nimeshakueleza lakini kwa ukilaza, ukihiyo na uzwazwa wako unaendelea kushupaza shingo hapa eti nikujibu!
Ukitaka majibu, anzisha uzi nitakuja kukujibu huko!
Unazungumzia suala la kutumia Id fake, wewe hutumii fake?
Nikujuze tu hii ID ninayoitumia ipo kwenye data base za nida basi,so usidhani natumia copy za watu kama ulivyofanya wewe limbukeni!
Kuna Mtu advance alipata four ya 18 akaenda kusoma Mamtoni Bachelor na Masters Kwa Sasa ni mkurugenzi Yuko njema kinoma nomaPata one, pata na hela.
-kwanza kabisa, sio Twilimba, ni Twilumba hapo umeonyesha wewe ni Kilaza First Class
-mimi Kwenye hoja yangu nimekuja nimesahihisha kuwa ni Twilumba ndiye aliyeleta Hoja ya Asset na liability, baada ya wewe kukejeli na kudharau ufaulu wa Ben Paul
-Twilumba hawezi kuanzisha uzi Kwa ajili yako, Ili mkabishane naye huo ni Ujinga, hoja inaletwa hapa hapa na inajibiwa hapa hapa Kama Huwezi kubali huwezi Kujibu
-Wewe unatumia ID fake halafu unajifanya ni kichwa kumbe, yawezakuwa ni darasa la Saba,
-Hiyo ID haipo kwenye database ya NIDA, haipo ni Uongo kabisa, NIDA hawaandikishi jina Moja, ni kuanzia majina mawili
Mi Niliipata aiseeeJf kila mtu kapata div1
Ova
- ni kweli kuwa hukuwa makini na ulikuwa hujui kama anaitwa Twilumba, pia wewe ni Kilaza, Kwa sababu huko makini.Nilivyoandika Twilimba, usidhani sikuona kwamba ni Twilumba!
Kiufupi wewe na yeye nimeshasema ni vihiyo tu!
Halafu angalia ulivyo zwazwa, kwenye hii comment ulisema aliyeleta hoja ya asset na liability ni mleta mada[emoji1427].View attachment 2597887
Baada ya kuona uzwazwa wako ndio unasema Twilumba ndio alikuja na hoja ya asset na liability ambapo nilishamwambia hiyo hoja haina nafasi hapa maana si mahali pake, akaelewa ndio maana humuoni akiendeleza ligi!
Umesema nimekashifu ufaulu wa Ben, hivi kupata Bam F ni kufaulu?
Kumbuka hakuna sehemu nimezungumzia div 3 yake inayokaribia 4.
Kutumia ID fake unatumia wewe ambaye umeiga kwa ulimbukeni wako, ambapo hata maana ya hiyo Id unayotumia pengine hujui ama utakuwa na tabia za huyo uliyeiga jina lake na kulitumia kama ID yako hapa!
Nimeshakujulisha kuwa situmii ID fake kama wewe!
Hilo ID ninayotumia ni miongoni mwa majina yangu yaliyo kwenye data base za NIDA.
- ni kweli kuwa hukuwa makini na ulikuwa hujui kama anaitwa Twilumba, pia wewe ni Kilaza, Kwa sababu huko makini.
-kuhusu kuwa hoja ya asset na liability ililetwa na mleta mada Mimi nilisha sahihisha awali, kuwa ni Twilumba,ila wewe kwa uzito wa akili zako ukaona jina jingine
- Ameacha kuendeleza ligi Kwa sababu amekuona huna akili kama yeye, hawezi kubishana na Watu wa IFM kama wewe.
- Kwa hiyo Hilo jina liko kwenye database ya NIDA?, Kwa hiyo kwenye database ya NIDA tukiingia tutakuta jina lako la Freyzem, Kwa kusema kuwa Hilo jina unalo peke Yako? Hiyo bado ni ID fake bado Wenye ID zao original ni kama kina Pasco Mayala, Kina Zitto Kabwe,nk ambao wametumia majina Yao full sio wewe unayejificha Nyumba ya ID na kujifanya una akili kumbe umesoma TIA
So kama aliyeleta mada ya asset na liability amenywea kwa kutambua sina akili kama yeye...(maana ametambua yeye ni kihiyo na zwazwa kwa kuleta mada mpya sehemu isiyostahili) wewe unaendelea kushupazia shingo kitu gani kama wewe si taahira na mpumbavu?
Umeone ujitetee kwa kukosa hoja kusema sijui hawezi bishana na watu wa IFM...sawa!
Wewe si zao la Teku? Kama unabisha leta vielelezo hapa!
Kuhusu suala la ID nimeshalimaliza, hiyo yako unayotumia kwa kuiga nimekuuliza kama unajua undani wake, na nina uhakika lazima utakuwa na tabia za huyo mwenye hilo jina unalotumia kama ID yako hapa!!
Pole sana!
-Suala la ID umelimaliza kwa upande wako lakini kwa upande wangu naona hujajibu chochote zaidi ya kuleta hoja 'taka taka'
- wewe ndiye taahira na Mpumbavu Kwa sababu, unashindwa kujibu hoja unajikita kwenye mambo ambayo hujaulizwa,
- ndiyo kakuona Huna Maana
- Mimi nimesoma Nairobi, University of Nairobi sijasoma kwenye Vyuo vikuu vyenu vya Tanzania, Mimi sio Level Yako, Kwa hiyo unataka Nilete vyeti vyangu hapa vya UoN?
-database ya NIDA Huwa hainaga jina moja, acha Ujinga wako
-
O levl dar sec amesoma na stereo singa singa the Advance kasoma azaboyHpn alisoma dar sec, nna ndg yng alisoma nae hpo dar sec. Kuna kipind alipost pia picha yake ya zmn akiwa hpo dar sec na sio Azania.
Dokta amezinguaYani unaona Kuna BAM Tena unasema EGM . Unawahi wapi? Dr minyooo
Wengine walipata MADIVESHENI ZIRO wapo humu na wao wanakenua wanajifanya werevu.Humu kila mtu ana akili
Kila mtu anajua
Sasa na wao watuweke matokeo yao
Humu
Ova
Hahaha.Jf kila mtu kapata div1
Ova
Mleta uzi angetuwekea sasa matokeoHahaha.
Humu pamejaa MAZIRO MATUPU. Wanajichetua tu.
Wenyewe wanajiita GREAT THINKERS [emoji1787][emoji1787][emoji119]
Nchi ngumu sana hii watu huangalia matokeo na sio sababu ya hayo matokeo lakini pia maisha baada ya hayo matokeoNdio shida zetu watu weusi..COMPARISON & JUDGING.. " huyu ana akili, huyu hana", "huyu yuko hiv, huyu yuko vile".
What is this all for??
How does this help ?
End of a day u need to avail something on table for your loved ones regardless u had 1 or 0.